KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mimi ni mwanafunzi wa Open University of Tanzania (OUT) na pia ni kiongozi wa serikali ya wanafunzi katika chuo hicho. Ninapenda kuwasilisha changamoto kubwa inayohusu uendeshaji wa serikali ya...
0 Reactions
2 Replies
157 Views
Hapa terminal ya Kivukoni Bus ikitoka Kimara lazima dereva apaki kwa dakika 10 au 20 bila sababu za msingi wakati abiria wapo wa kutosha na kusababissha usumbufu kwa watumiaji. Madereva badilikeni
3 Reactions
24 Replies
254 Views
Anonymous
KERO Responded 
Maeno haya yamekuwa na ukosefu wa maji kwa muda mrefu licha uwepo wa miradi mikubwa ya maji kuzunguka maeneo husika. Hali hii inaathiri sio tu wananchi wa maeneo hao bali pia taasisi za elimu...
1 Reactions
3 Replies
112 Views
Anonymous (aeb0)
KERO Responded 
Sisi Tumeomba mikopo ya halmashauri kupitia mfuko WA vijana,wanawake, wazee na walemavu maarufu kama mikopo ya Asilimia 10% ,Tangu Mwaka Jana mwezi wa nane lakini Hadi Leo hakuna dalili za...
0 Reactions
3 Replies
142 Views
Anonymous
KERO 
Mikopo ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu imeanzishwa kwa lengo jema, hasa katika kipindi hiki ambacho changamoto ya ajira imekuwa kubwa nchini. Mfumo huu umekuwa msaada muhimu kwa wengi...
1 Reactions
1 Replies
141 Views
Anonymous
KERO 
Mkeka wa ajira ulitoka Januari 19 mwaka 2026. Hadi kufikia februari 10 mwaka huu waajiriwa wapya wote walikuwa wameripoti kazini. Halmashauri ya Ushetu mpaka sasa haijalipa posho ya kujikimu kwa...
0 Reactions
1 Replies
81 Views
Anonymous
KERO 
Wadau, wakiwemo baadhi ya wazazi wa wanafunzi katika shule ya sekondari ya wasichana ya 'Competence Girls' Islamic Seminary ' iliyopo Wilaya ya Kigamboni, Mkoa wa Dar es Salaam wameendelea kutoa...
2 Reactions
10 Replies
224 Views
Anonymous
KERO 
Ni zaidi ya mwaka sasa tangu walimu tuliopata ajira mwaka 2025 turipoti kazini, lakini bado hatujalipwa fedha za kujikimu ambazo ni stahiki ya kila mtumishi wa umma. Kwa mujibu wa taratibu za...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous (c6f2)
KERO 
Miaka mitano naitumikia VETA nikifundisha masomo zaidi ya matano kwa laki tatu huku familia ikinitegemea. Kila ajira ikipelekwa, wanaajiriwa wengine.
3 Reactions
15 Replies
265 Views
Anonymous (9058)
KERO 
Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM. Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning...
8 Reactions
26 Replies
756 Views
Anonymous
KERO 
Wananchi tunaoishi Moshono Arusha tunapata sana shida ya usafiri wakati wa asubuhi tunapoenda kwenye shunguli zetu na jioni tunaporudi majumbani. Hali hii imechangiwa na baadhi ya madereva wa...
1 Reactions
5 Replies
118 Views
Anonymous
KERO 
Jeshi la Polisi pamoja na mamlaka nyingine zinazohusika na usalama barabarani zinapaswa kuongeza usimamizi na ukaguzi hasa nyakati za usiku. Kumekuwa na baadhi ya madereva wa daladala wanaotumia...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mtumishi wa Afya, Afisa Tabibu mwajiriwa wa serikali. Naomba ujumbe huu uwafikie Baraza la Famasia Tanzania. Je! Kwanini Mimi mtumishi wa Afya ninapotaka kufungua Duka la Dawa Muhimu...
3 Reactions
1 Replies
214 Views
Anonymous (76e2)
KERO 
Ninaomba kuwasilisha kilio changu kuhusu kutokuwepo kwa maafisa wa mfumo wa Ajira Portal katika ofisi za Kivukoni, Dar es Salaam, jambo ambalo linasababisha usumbufu mkubwa kwa waombaji wa kazi...
1 Reactions
3 Replies
151 Views
Anonymous (17f5)
KERO 
Mimi ni Mtumishi wa Serikali Kada ya Afya nipo Uyui Mkoani Tabora, nina maoni ambayo pia ni kama kero kwangu na kwa Watu wengi kuhusu mchakato wa Uhamisho wa Njia ya Online kwa Watumishi wa...
1 Reactions
5 Replies
407 Views
Anonymous (6687)
KERO 
JamiiForums, tunaomba utusaidie kupaza sauti zetu kuhusu changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji inayowakabili wakazi wa Misongeni A (Misongeni Juu, eneo la Msikitini). Tumekuwa tukikosa huduma...
2 Reactions
2 Replies
120 Views
Anonymous
KERO 
Tunapenda kuwasilisha kero yetu kama wanafunzi wa masomo ya Ubingwa na Ubingwa Bobezi katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Wakati wa kujiunga na masomo...
0 Reactions
0 Replies
64 Views
Anonymous
KERO 
Kero yetu sisi walimu wa kujitolea au wa mkataba katika shule za msingi kupitia mradi wa gpe, ambao tuliletwa na tamisemi. tupo nchi nzima, lakini mpaka sasa hatujalipwa. mara ya mwisho kulipwa...
0 Reactions
2 Replies
192 Views
Anonymous
KERO 
Ninaomba kuwasilisha ombi kwa Serikali kuhusu hali ya miundombinu katika Shule ya Msingi Bumu iliyopo Mkoa wa Morogoro, Wilaya ya Mvomero, Tarafa ya Mgeta, Kata ya Langali, Kijiji cha Bumu. Hii...
1 Reactions
3 Replies
179 Views
Anonymous
KERO 
Sisi ni watumishi wa afya katika Nkaiti Health Center, iliyopo Minjingu, Halmashauri ya Wilaya ya Babati, Mkoa wa Manyara, eneo la ndani karibu na Hifadhi ya Tarangire. Tunaomba sana msaada wa...
2 Reactions
1 Replies
97 Views
Back
Top Bottom