Mimi ni Mhitimu wa Diploma ya Pharmacy Muhimbili College of Health and Allied Sciences, nimehitimu mwaka 2023. Nimesoma O-level nina Division 1 ya 14, A-level nina Div 2 ya 12. PCB baada ya kuwa...
Wale Askari wapale Jangwani wanaokamata usafiri kama Bajaj wawe na kauli nzuri na ustaarabu kwa abiria walioko ndani ya usafiri.
Wanawafanya watu kama wezi na kuwatolea maneno machafu na kufanya...
Serikali inahimiza watu kusoma kozi za Sayansi huku kukiwa na nafasi ndogo Sana ya wao kutekeleza walichokisomea.
Watu wa Sayansi Asilia pale UDOM wamesahaulika. Mfano, Bsc. Physics wanasumbuka...
Mimi ni Mfanyabiashara wa eneo la Mwenge karibu na hii Stand mpya ya dalalala, hapa kuna kero moja kwa sisi wafanyabiara,
Kuna matent mukubwa yaliyopo mbele ya maduka ya wafanyabiashara, yameziba...
Subject: A Message from an Egyptian Brother: 25 Days of Silence and Concern at Dar Port
Habari Tanzania,
I am writing this not as an official, but as an Egyptian citizen who has lived and worked...
Huwa najiuliza unapokuwa unaomba mfano B.O au Custom Search ya kampuni kwa nini huwa wanazizuia muda mrefu? Muda ambao ukitoa "kipozeo" badala ya wiki 2 au 3 zinakuwa siku 2 au 3!
Kwanini siku...
Wakazi wa Morogoro, hasa tunaoishi maeneo ya Kihonda na Manyuki, tunakabiliwa na changamoto kubwa ya barabara, hususan kipindi cha mvua. Barabara ya Manyuki inayotokea Mazimbu imeharibika, na...
Halmashauri ya Muheza - Tanga wamekuwa na limbikizo la madeni ya Watumishi hasa Waalimu wanadai pesa za uhamisho, likizo inaenda miaka mitatu hadi minne mtu hajalipwa stahiki zake hivi huwa...
Hospitali ya Muhimbili Mloganzila ni mojawapo ya hospitali kubwa za serikali, lakini imekuwa ikilalamikiwa kwa gharama kubwa za matibabu. Mgonjwa anaweza kulazwa kwa siku mbili tu, lakini bili...
Mimi ni Mkazi wa Kimara, Barabara yetu imefukuliwa tu lakini tangu miaka ya 64 ya uhuru hadi leo hatujawekewa lami, Wananchi tunateseka sana hasa vipindi vya mvua.
Hiyo ni barabara inayotoka...
Wizara ya Mambo ya Ndani idara ya Uhamiaji wamekuwa ni kero sana katika uchakataji ya passport za kusafiria kutokutoka mapema na wakati.
...na ukitembelea Ofisi zao kuuliza nini shida hawana...
Huu ni Muonekano wa Barabara ya Mtaa wa Mitawa, Kata ya Tanga, Manispaa ya Songea, Mkoani Ruvuma. Miundombinu ya Barabara hiyo inayotokea Shule ya Msingi Mitawa imeharibiwa Sana na Mvua...
Ofisi ya Idara ya Uhamiaji Mkoani Arusha mnatuumiza sana, pasipoti unaomba Januari unaambiwa usubiri Miezi 5 mpaka 6 sababu foleni ni kubwa.
Mara karatasi za ku-print zimeisha au kuna Maafisa...
Wananchi wa vitongoji vya Kikungili, Omukajiji, Rushanje na Rwandalo Kata ya Nyaishozi, wilayani Karagwe mkoani Kagera, tunakabiliwa wanalazimika kutumia maji yasiyo safi na salama kutoka kwenye...
Eneo la Machinjio ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mkoani Songwe kuna Daktari wa Mifugo ambaye jukumu lake ni kukagua nyama baada ya ng’ombe kuchinjwa, katika ukaguzi wake amekuwa akiondoa sehemu...
Mimi ni Mwananchi kutokea Pwani, Wilaya Kibaha kero yangu ni kuwa ninachukizwa na ukiukwaji na ukatili tuliofanyiwa na Serikali kuvunja nyumba takribani 2,450 wakidai ni wavamizi waliovamia pori...
Idara ya uhamiaji jamani pameshakuwa kero Tena zaidi ya kero.. Unaenda kufanya mchakato wa Passport ukifika huko wanakujibu kuwa hakuna mtandao Wiki nzima au muda mwingine wanakuambia eti taarifa...
Katika maeneo mengi ya Kariakoo, kumekuwa na ongezeko la nyaya za makampuni ya intaneti zinazofungwa kiholela juu ya nguzo, majengo, na hata kuvuka barabara bila mpangilio. Hali hii, licha ya...
Eneo la Kariakoo gerezani pale njia ya reli limekuwa kero sana kwa muda mrefu kwa kutiririsha maji ya chemba za choo hivyo kusababisha harufu mbaya na maji kutwama pale kwa muda mfrefu
Sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.