KERO Threads

Makanisa ya kiprotestanti, pentekoste maarufu walokole mengi yamejengwa katikati ya makazi ya watu. Siku za ijumaa kuanzia jioni wanapiga mziki mkubwa sanaa, wanaongea kwa vinasa na vikuza...
8 Reactions
71 Replies
722 Views
Kuna bomba la maji limepasuka Arusha Kata ya Oloiren Mwanama Reli Kibaoni. Taarifa ilitolewa tangu mwezi mei kwa simu lakini mpaka leo hakuna hatua zozote zimechukuliwa. Maji yanavuja na...
1 Reactions
3 Replies
98 Views
Anonymous (511c)
KERO 
Kwa muda mrefu sasa benki ya NMB tawi la Chamwino dirisha linalotumika kutoa huduma ni moja tu wakati kuna madirisha mawili ila moja halina mhudumu kwa muda mrefu sasa. Hali hii inasababisha...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Anonymous
KERO 
Ndani ya Rock City Mall Mwanza kuna kero ya kupigiwa muziki mkubwa wakati wa usiku kucha, tunaoishia maeneo yanayoizunguka Mall hiyo, yaani kirumba, Kitangiri na Ghana kelele hizo zimekuwa kero...
0 Reactions
1 Replies
91 Views
Anonymous
KERO 
Wahitimu wa Chuo cha Kilimanjaro College of Health and Allied Science (KICHAS) hatujapata vyeti lakini tukiulizia wanasema chuo chetu kilisahaulika. Wahitimu wa Mwaka 2025, tumeuliza uongozi wa...
0 Reactions
4 Replies
171 Views
Anonymous
KERO 
Uandikishaji ulifanyika kwa siku saba kwa kupita kaya kwa kaya lakini wamelipwa kiasi cha sh. 50000 tu. kwa siku hizo zote. Tunaomba katibu mkuu wizara ya Afya atolee ufafanuzi suala hilo, Kwan...
0 Reactions
0 Replies
74 Views
Maji tunauziwa elfu 40k maji hayatoki hata katika zile siku za mgao! DAWASA hamna wanachotusaidia nje na kureport mara nyingi
0 Reactions
2 Replies
200 Views
Anonymous
KERO 
Sisi wataalamu wa maabara(certificate hadi degree) nchini Tanzania ambao tulifanya Mtihani wa Leseni kuanzia march 15 hadi april 01(certificate hadi degree) tumecheleweshewa kupewa matokeo kwa...
1 Reactions
3 Replies
164 Views
Wakazi na mashabiki mbalimbali wamekuwa wakilalamikia hali ya huduma katika Uwanja wa CCM Kirumba uliopo jijini Mwanza, Tanzania wakisema kuwa ukosefu wa vyoo vya kutosha ndani ya uwanja huo...
4 Reactions
15 Replies
319 Views
Jorgeny Trevoh
KERO Responded 
Habari jamii forums Kuna changamoto ya kupanda kwa mbolea húsusan hizi za ruzuku na wakulima hatujapata taarifa yoyote. Je, serikali imeondoa ruzuku katika mbolea za ruzuku bila kutoa taarifa kwa...
0 Reactions
3 Replies
248 Views
Anonymous
KERO 
KILIBA , TAHLISO, MAMA ASEMEWE - Iacheni DIT Kama TAASISI YA ELIMU YA JUU YA TEKNOLOJIA haiwezi Kuwa TAASISI YA KICHAWA Majuma ya hivi karibuni yamekuwa na kipindi Cha ajabu Kwa sura ya Siasa ya...
5 Reactions
6 Replies
313 Views
MASWA: Zaidi ya miaka 16 tangu kuanzishwa kwake kwa lengo la kuwa hatua ya mpito kuelekea Halmashauri ya Mji, Mamlaka ya Mji Mdogo wa Maswa imeendelea kukumbwa na changamoto za kiutendaji, kifedha...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa ajira mpya Kada ya Afya Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora hatujapewa pesa yetu ya kujikimu na uongoz wanajibu halmashauri haina mfuko mkubwa wa mapato tuendelee kusubiri ikiwa Serikali...
1 Reactions
4 Replies
85 Views
Anonymous
KERO 
Naomba kujua hvi taifa letu like limekuwa dhaifu kiasi ambacho tumeshindwa kutatua changamoto ya mtandao kwenye sekta muhimu kama uhamiaji? Mfano: Ofisi ya uhamiaji morogoro inaweza kukaa wiki au...
0 Reactions
0 Replies
68 Views
Anonymous
KERO 
Mimi na wenzangu ni watumishi wa afya, ajira mpya, katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo. Tumeanza kazi tukiwa na matumaini makubwa, lakini kwa sasa tunapitia changamoto kubwa sana kuhusu fedha...
1 Reactions
6 Replies
115 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa RUWASA ambao tulikua kitengo cha uchimbaji mpaka leo hatuelewi hatima yetu ni nini, kwani toka tusikie kwamba Idara ya Uchimbaji imeondolewa RUWASA na kupelekwa Ofisi za Bonde, na...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Ajira mpya wa Halmashauri ya wilaya ya Same hadi leo hawajalipwa fedha zao za kujikimu, wengine wana mwaka, wengine wanakaribia mwaka lakini hakuna malipo ya fedha zao kujikimu na ni haki yao hata...
0 Reactions
2 Replies
142 Views
Anonymous
KERO 
Ajira Mpya 2025 Simiyu Itilima DC hatujalipwa pesa za kujikimu mwaka sasa, tukiuliza tunaambiwa tupo kwenye mpango na kuonekana watovu wa nidhamu kama vile sio stahiki zetu.
0 Reactions
7 Replies
143 Views
Anonymous
KERO 
Ajira Mpya 2026 Ruvuma - Namtumbo Kada ya Afya hatujapewa fedha ya kujikimu Ajira Mpya 2026 tuliopo Ruvuma Namtumbo Kada ya Afya hatujapewa fedha ya kujikimu ila kada zingine wamepata pesa zao...
0 Reactions
2 Replies
111 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Ajira Mpya kutoka Halmashauri ya Wilaya Kwimba, Mkoa wa Mwanza tuna karibia miezi sita sasa tangu tuajiriwe, lakini kila tukiulizia kuhusu fedha za kujikimu hatupewi jibu lolote, hii hali...
0 Reactions
1 Replies
81 Views
Back
Top Bottom