Mimi ni mojawapo ya mtumishi ambae nimeathiriwa na mfumo huu wa ESS katika upandishaji wa madaraja.
Nimejaribu kufatilia je, ni sehemu gani sijaenda sawa hata sioni ninaandaa azimio la kazi...
Mimi ni mfanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto(ajira mpya).
Mpaka sasa tunadai hela zetu za kujikimu, ila tukifika kwa viongozi wetu wanatupa ahadi ambazo hazijawahi kutimia.
Tayari...
sisi watumishi wa Hospital ya mji kondoa tuna lazimishwa kuchangia mchango wa mwenge shilingi 5,000/= kwa kila mtumishi kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Mji Kondoa.
Mfano, Tarehe...
Nipo kijijini nimeenda kwa Mwenyekiti kumjuza nipo mtaani kwake, kaniambia kuwa natakiwa kutoa shilingi elfu moja ya mchango wa Mwenge. Sasa najiuliza mchango wa mwenge kivipi?
Mwenye ujuzi anijuze.
Ajira Mpya Halmashauri ya Mji Nanyamba hadi leo hatujalipwa pesa zetu za kujikimu, tunaishi maisha magumu na bado yanakuja masuala ya kitaifa kama mwenge tunaambiwa tuchangie wakati pesa zetu...
Wanaohusika na maswala ya mipango miji pamoja na Tanroad tunaomba mtuondolee stendi ya mabasi apa NATA kwani ndo chanzo cha Foleni katika Barabara ya Nyerere, just imagine foleni ya magari...
Ni week ya pili sasa tokea tumeweka appointment kwa ajili ya kipimo cha PET scan katika hospital ya Ocean Road lakini huduma zimesimama kutokana na machine kupata changamoto na mpaka sasa hatujui...
Habari poleni kwa kazi nzuri mnaifanya na inasaidia jamii waweze kupata haki zao kwa nyie kupaza sauti.
Mimi na wenzangu ni Watumishi wa afya Manispaa ya Ubungo, kero yangu ni kwamba tuliajiriwa...
Kumekuwa na ujenzi holela wa nyumba za ibada hasa Makanisa katikati ya makazi na kuendesha ibada zao kwa sauti kubwa
Siku hizi mtu akiwa na hata kiwanja chake kilichopimwa kwa ajili ya makazi...
Tumechoka, tumenyanyasika, na tunapuuzwa kabisa!
Kwa miezi kadhaa sasa, wakazi wa Ilemela Nyagunguro tumekuwa tukiteseka kwa kukosa usingizi usiku kucha kutokana na uchafuzi uliokithiri wa...
Mimi changamoto yangu ni utaratibu huu mpya wa RITA wa kuhitaji uthibitishaji (verification) wa cheti cha kuzaliwa kila mara unapohitaji huduma katika taasisi za umma. Mfano, unapohitaji huduma...
Habari.
Watumishi tuliojiendeleza kielimu tukiwa kwenye halmashauri tunakumbana na changamoto kubwa katika kufanyiwa re-categorization (recate) kutoka kada moja kwenda nyingine.
Maafisa...
Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa tunakumbana na changamoto kubwa ya upatikanaji wa maji safi. Kwa sasa, maji yanapatikana mara moja tu kwa wiki, na hata yanapopatikana hutoka kwa saa chache pekee...
Habari,
Naomba kufichua uovu kuhusu Bar inayoitwa G Seven iliyopo mkoani mwanza sehemu inaitwa Darajani Kata ya mkolani, Bar hiyo imekuwa ikipiga muziki usiku kucha Kwa sauti ya juu.
Jambo hili...
Ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko tunaomba kufikisha kilio chetu kuhusu utata uliojitokeza katika malipo ya fedha za kujikimu baada ya kuripoti kazini.
Tulipokuwa tunaripoti...
Wafanyakazi wa ajira Mpya Kibaha Manispaa tuna Mwaka mmoja na nusu hatujathibitishwa kazini, tunahoji lakini hatupati majibu ya kueleweka.
Tunaokumbaa na changamoto hiyo ni Kada ya Afya na pia...
Kumekuwa na tabia ya madereva wa daladala kupaki magari na kupakia abiria nje ya vituo hususani kituo kidogo cha mabasi Keko Bora (maarufu tameco), Maduka Mawili na Serengeti kwa daladala...
Ajira mpya Kada ya Afya Musoma Mjini hatujapata sitahiki zetu za Pesa ya Kujikimu licha ya pesa hizo kutumwa kwenye halmashauri husika, kila tukifuatilia tunaambiwa suala linashughulikiwa mpaka...
Habari. Mimi ni mfanyabiashara wa salon ya kike katika Manispaa ya Morogoro, salon yangu imefungwabkwa wiki tatu sasa na makufuri ya Manispaa kwa kosa la kutolipia leseni.
Nilienda ofisini kwao...
Kwa Mheshimiwa Rais, Waziri wa Afya na mamlaka husika, mimi ni mkazi wa Mtwara, ninaomba Serikali itafakari kwa kina suala la mtihani wa leseni kwa wahitimu wa Uuguzi na Ukunga unaosimamiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.