Shule ya Msingi MIEMBENI ipo Kijiji cha MIEMBENI, Kata ya Kitanda Halmashauri ya Mbinga Mji, hali halisi ni kuwa haishawishi kabisa suala zima la kufundisha wala kujifunzia.
Madarasa hayana...
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma.
Hatua hiyo...
Walimu tulioajiriwa mwaka Jana ngazi ya Sekondari tulipewa Hela ya kujikimu nusu (Laki Nne) mwaka huu na hatujui nyingine tunamaliziwa lini.
Lakini pia kwa Wale walio ajiriwa mwaka huu (January...
Idara ya Maji Mkoa wa Arusha wanatuma bili za maji hata kama hujatumia hayo maji, niko nje ya mkoa kikazi, mimi pamoja na familia yangu ndani ya miaka miwili lakini kila mwezi napokea bili ya maji...
Hii ni Kigamboni, barabara inaunganisha eneo la Kona ya Chuo na Mwasonga, hilo daraja haliishi maji, yakijaa hapo Watoto hawaendi shule wiki ya tatu sasa.
Yaani ukitaka kwenda Cheka boda...
Kuna kampuni inaitwa Epvate & Fortune International Consulting Ltd wajiriwa wake katika mgodi wa Barrick Bullyaghulu kupitia Kampuni ya Contractor BLY hawachangii michango ya Wafanyakazi ya NSSF...
Mimi ni Mtumishi katika halmashauri ya Kibondo.
Khero yangu kubwa ni Makato yanayokatwa na Chama cha wafanyakazi TALGWU, ambayo kwa kila mwezi ninakatwa 17,660/=
Ila ni miaka zaidi ya 2 imepita...
sisi watumishi wa Hospital ya mji kondoa tuna lazimishwa kuchangia mchango wa mwenge shilingi 5,000/= kwa kila mtumishi kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospital ya Mji Kondoa.
Mfano, Tarehe...
Leo Nimeshangaa Sana Nilipofika Stendi Tajwa Baadaya
Mgeni Wangu Kumkatia Ticket Ya Basi Kuelekea Nyanda Za Juu Kusini.
Nilipofika Mgeni Aingie Stendi Naambiwa Pamoja Na Kukata Ticket Hawezi...
Kwa wale tunaofanya kazi chini ya TAMISEMI kwakweli hii wizara inachosha yaani mtu unahama miaka miwili ila mshahara bado upo huko ulikotoka,unaanza kumbembeleza mkuu wa huko ulikotoka apitishe...
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025.
Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua...
Wakazi wa Sinza Kumekucha, Sinza Makaburini, Sinza Kijiweni na Sinza Mawasiliano tunateseka kwa kelele za baa ya Amell iliyopo kwenye jengo la PSSSF Sam Nujoma.
Ile baa siku ya Ijumaa na...
Habarini wakubwa.
Kulingana na mnyumbulisho wa kodi na tozo za mafuta yanayoingia nchini, bado namuona TASAC anachukua Tsh 3/= kwa kila lita kwa kazi ipi hasa? ..Kumbuka TASAC alipewa majukumu...
Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend.
Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya...
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha...
Habari poleni kwa kazi nzuri mnaifanya na inasaidia jamii waweze kupata haki zao kwa nyie kupaza sauti.
Mimi na wenzangu ni Watumishi wa afya Manispaa ya Ubungo, kero yangu ni kwamba tuliajiriwa...
Mimi ni mkazi wa Mtaa wa Magogoni Wilaya ya Kigamboni, mtaa wetu umekuwa na changamoto za kuwa na bandari kavu karibu na makazi ya watu katika njia zinazoingia mtaani kwetu.
Mojawapo imekuwa...
Morogoro Mjini, Kihonda kwa chambo kuna changamoto ya Barabara kutoka kwa chambo kuelekea Maduka kumi, hili ni Jimbo la Abood, tunapata changamoto kubwa wakati wa mvua.
Kuna hii barabara ya kutoka Kisemvule stendi kuja Mpera mashariki ni mbovu mpaka inapelekea nauli kuongezeka.
Pindi mvua zikinyesha barabara inapitika kwa tabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.