KERO Threads

Anonymous
KERO 
Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila...
1 Reactions
11 Replies
210 Views
Anonymous
KERO 
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi...
12 Reactions
19 Replies
624 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Ubungo Riverside, eneo maarufu kama Kwa Novo. Kwa takribani miezi saba sasa, maji ya DAWASA hayatoki kabisa, jambo ambalo limeleta adha kubwa kwa wakazi wa eneo hili. Kwa sasa...
2 Reactions
6 Replies
82 Views
Ni wiki ya pili sasa wananchi wa Mtaa wa Vibura, Kata ya Vikundi-Kisemvule, Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani tukiwa katika hali ya taharuki kubwa baada ya kupokea taarifa kutoka kwa watu waliokuja...
3 Reactions
53 Replies
655 Views
Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti...
1 Reactions
0 Replies
70 Views
Kuna jambo siwezi kulinyamazia. Kwa muda sasa nimekuwa nikitembelea Soko la Kunduchi jijini Dar es Salaam kufuata samaki na dagaa. Kiukweli, miundombinu ya soko hilo hairidhishi na inaacha maswali...
0 Reactions
2 Replies
103 Views
Airtel mna customer care mbovu kwenye simu. Okay, nikaona nije dukani kwenu, aisee…! Okay tuache ilo. Sasa hizi 5G router zenu za ZLT X25 zina lifespan ya muda gani? Yangu imeanza kimasihara...
9 Reactions
22 Replies
721 Views
Anonymous
KERO 
Mdau hapa. Leo ningependa kuzungumzia changamoto zinazowakumba baadhi ya watumishi wa kujitolea katika ofisi za serikali, hususan maeneo ya kusini mwa Tanzania. Sitapenda kutaja majina ya ofisi...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Anonymous
KERO 
Kuna haja kubwa sasa ya kuzungumzia changamoto inayowakumba Maafisa Ustawi wa Jamii nchini. Pamoja na kwamba Wizara ya Afya na Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia, wanawake na makundi maalumu...
1 Reactions
1 Replies
80 Views
Anonymous (0fd1)
KERO 
Mimi ni mfanyakazi wa Kampuni ya Ulinzi inayoitwa (G4S COMPANY LTD) inapatikana Dar es Salaam, mkabala na ubalozi wa Ufaransa kuna changamoto kadhaa: 1. Hatupewi likizo ya siku 28 kwa mwaka...
5 Reactions
17 Replies
313 Views
Anonymous
KERO 
KERO: MATUMIZI MABAYA YA MAKUNDI YA WHATSAPP WILAYANI SIHA Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Siha. Nina kero kuhusu uwepo wa makundi ya WhatsApp yanayotambulika kwa majina ya Siha Development, Siha...
4 Reactions
12 Replies
405 Views
Anonymous
KERO 
Wananchi wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma tuna changamoto ya huduma duni ya maji safi na salama, huwa tunapata maji mara moja tu baada ya siku tatu hali hiyo huwafanya wengi kushindwa...
0 Reactions
1 Replies
46 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Watumishi Wilaya ya Mpwapwa Sekta ya Afya tangu tumeajiriwa Mwaka 2022 hatukuwahi kulipwa fedha ya kwenda likizo.
0 Reactions
0 Replies
40 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni kuhusu Chuo cha Bandari kilichopo Tandika Jijini Dar es Salaam, sisi tunaosoma kozi fupi ya Reach Stacker tunapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo pale NASACO Bandarini hukuta mashine...
0 Reactions
0 Replies
116 Views
Mimi ni mwananchi wa Arusha kata ya muriet-intel karibu na idara ya maji , ni mwezi sasa wananchi wa mtaa huu hatuna maji kutoka hapo idara ya maji na hili tatizo limeota mizizi sasa maji hakuna...
0 Reactions
0 Replies
21 Views
Anonymous (2ac0)
KERO 
Mimi ni mwananchi nipo mkoa wa Rukwa, Sumbawanga Municipal, Kata ya Sumbawanga, Mtaa wa Makutano. Tunapitia kero mtaani kwetu ya mwekezaji kulipua mabomu kila wakati wa kupasua mawe angali tayari...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Habari za wakti huu ndugu zangu wa BRELA Kwanza kabisa niwaulize hivi Call centre yenu iko Busy sana au wafanyakazi wachache au vyote kwa pamoja maana kasi yenu ya kupokea simu na kushughulikia...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
Anonymous
KERO 
Ni kweli hospital inakusanya mapato kwa wingi lakini sisi watumishi tunadai stahiki zetu kwa muda mrefu tu hatulipwi extra duty na call allowance tangu 2024, 2025 na 2026. Ikitokea zimelipwa ni...
2 Reactions
9 Replies
158 Views
Anonymous
KERO 
Chuo cha ujenzi- ICoT chini ya wizazra ya ujenzi mkoani morogoro kinachotoa coz ya udereva kimekuwa kikiendesha coz hiyo kwa utapeli na kinyume na utaratibu. Wapo wanafunzi wa mwez wa 11, 12 ...
0 Reactions
0 Replies
60 Views
Anonymous (9713)
KERO Responded 
Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuwakopesha vijana ili kuwawezesha kujiajiri, bado kuna kundi kubwa la vijana waliowahi kufanya kazi katika sekta binafsi ambao...
1 Reactions
5 Replies
439 Views
Back
Top Bottom