Ukweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.