DOKEZO Threads

Nipo moshi mitaa ya.rombo.pombe asilimia 80 nilizohakiki kwa kutumia program ya ya.hakiki stemp ya tra.zinaonyesha ni feki.hivi wahusika wako wapi?.₩atu wanauziwa sumu.biashara...
2 Reactions
23 Replies
4K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Wakazi wa Mtaa wa Kawe Jijini Dar es Salaam, wameliomba Jeshi la Polisi Nchini kuongeza ulinzi hasa nyakati za jioni katika maeneo ya Tanganyika Packers ikidaiwa kuongezeka kwa vitendo vya ukabaji...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuna Mwalimu (jina linahifadhiwa) anayefundisha Shule ya Nanhyanga Sekondari iliyopo Tandahimba Mkoani Mtwara, anaweza kudhuriwa na jamii inayomzunguka kwa kuwa wanamtuhumu kwa mambo mbalimbali...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Nilisikia siku nyingi kwamba Kanisa la KKKT Kimara Korogwe tunaloliamini kwa mambo ya kiroho, kijamii na ustawi bora ukiacha ile ahadi ya kutuandaa kwa ajili ya ulimwengu ujao kwamba unatiririsha...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Mashariki na Pwani limeingia kwenye kashfa kubwa ya utapeli baada ya makanisa yake ya Kijitonyama, Salasala, Mwenge, Ubungo na Mbezi Beach kuwauzià...
10 Reactions
129 Replies
11K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni mkazi wa Mkoa wa Tabora, Wilaya ya Kaliua, kero yetu huku ni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kuchelewa kutoa kadi za Uanachama baada ya kutuma maombi. Inauma na inakera kwani...
2 Reactions
4 Replies
961 Views
Anonymous
DOKEZO 
Ni kwa miaka mitatu sasa bodi ya filamu nchini Tanzania imekuwa ikiandaa tamasha la filamu nchini. Na kila mwaka kumekuwa na maneno ya kukatisha tamaa kwa waandaaji filamu nchini kutokana na hisia...
1 Reactions
1 Replies
578 Views
Anonymous
DOKEZO 
Watumishi wa afya Hanang tumesainishwa karatasi za malipo ambazo hazioneshi kiasi tutakacholipwa matokeo yake wengine wamelipwa half per diem na wengine wamelipwa kwa extra duties na wengine...
1 Reactions
3 Replies
604 Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari, Naomba mtusaidie kuizungumzia kero yetu hii ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi hususani Idara ya Elimu. Na hii imekuwa kama kero sugu. Afisa Elimu amekuwa na kawaida ya kuwahamisha walimu...
0 Reactions
1 Replies
409 Views
Anonymous
DOKEZO 
Hivi karibuni Jeshi la Polisi lilitangaza nafasi za ajira katika mikoa tofauti, kilichokuwa kinafanyika ni wale tunaohitaji kuomba tulitakiwa kufanya hivyo kupitia ngazi ya Mkoa. Mkishafanya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Ningependa kuwauliza wizara ya Uchukuzi kupitia Waziri Bashungwa ni lini Kituo cha ukaguzi wa mizigo kilichopo kata ya Misugusugu mkoani Pwani kitahamia Vigwaza kuliko jengwa kituo kikubwa cha...
0 Reactions
0 Replies
307 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kutokana na Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam kupokea idadi kubwa ya wagonjwa, iliamua kuanzisha kitengo maalumu (dawati) la 'NIULIZE MIMI' kama ambavyo baadhi ya hospitali nyingine...
4 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunamuomba kamishna wa mamlaka ya mapato akae na hawa vijana na kuwakumbusha maadili ya kazi. Kabla hatujachukua hatua kali zaidi za kuwavua ngua na adhabu nyingine, meneja na watumishi wake...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Ingawa viongozi wa Mkoa na Wilaya hawataki kutoa taarifa kwa jamii juu ya uwepo wa mlipuko wa ugonjwa wa kipindu pindu. Ni kuwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi Mkoani Simiyu imekubwa na visa wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Juzi watumishi Kada ya ualimu na Afya katika Wilaya za Rombo na Sikonge walilalamika kutolipwa stahiki zao ambazo ni fedha za kujikimu. Hivyo hivyo kadhia hiyo imetukumba sisi watumishi katika...
1 Reactions
2 Replies
763 Views
BigTall
DOKEZO Responded 
Sisi watu wa ajira mpya kada mbalimbali tofauti na Elimu na Afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera hatujalipwa fedha za kujikimu. Mfano Kada ya Maliasili na Mazingira...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kiwango Cha uvuvi haramu katika ziwa Victoria kimefikia hatua ya kuvua vifaranga vya Sangara. Hivi ni vifaranga vya Sangara vikiuzwa soko la Bugashani Bukoba. Je, wataalamu pamoja na kitengo cha...
1 Reactions
6 Replies
475 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mradi wa hostel za wasichana katika shule ya sekondari Langiro umetelekezwa, mradi huu ulivyoanzishwa ni zaidi ya miaka 4 sasa haujakamilika hivyo kusababisha athari kubwa sana kwa watoto wa kike...
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Anonymous
DOKEZO 
Vitambulisho vya ulowezi wanavyopewa baadhi ya wakazi wa Biharamulo mkoan Kagera (na Familia zao) kwa kuwa na asili ya Rwanda ,je Ni sahihi naomba pia vigezo vya mtu kuitwa mlowezi. Hii...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Anonymous
DOKEZO 
Ametoa daivesion bila kueka kibao kua kuna daivesion wageni wakija wanapitiliza na kudondokea kwenye vifusi pia divesion imechimbika mashimo na mkandarasi ashahamisha mitambo yake
0 Reactions
0 Replies
347 Views
Back
Top Bottom