OLS
JF-Expert Member
- Oct 12, 2019
- 419
- 670
Mtandao ya simu imerahisisha huduma ya kulipa vitu mbalimbali ikiwemo malipo ya serikali na biashara binafsi. Ni kawaida kwa sasa kukuta biashara ina LIPA NAMBA ambapo mtu anaweza kulipa kwa namba hiyo.
Hata hivyo katika kutumia lipa namba, kuna gharama ambayo mteja anakatwa, lakini gharama hizi haziko wazi kama gharama za kutuma, kupokea na kutoa fedha, ambazo makato yake utaona yameandikwa.
Naona ni muhimu mitandao yote inayosapoti lipa namba iweke gharama za kila muamala wazi ili mteja achague kutumia lipa namba au kulipa kwa fedha taslimu.
Nawasilisha, nikiwa nimekasirika kwa kukatwa 800Tsh kwa kufanya malipo ya Tsh 15,000
Kwa wenzetu wa Kenya gharama za Lipa Namba ziko wazi, angalia hapa https://www.safaricom.co.ke/images/Downloads/paybill-standard-tariff.pdf
Hata hivyo katika kutumia lipa namba, kuna gharama ambayo mteja anakatwa, lakini gharama hizi haziko wazi kama gharama za kutuma, kupokea na kutoa fedha, ambazo makato yake utaona yameandikwa.
Naona ni muhimu mitandao yote inayosapoti lipa namba iweke gharama za kila muamala wazi ili mteja achague kutumia lipa namba au kulipa kwa fedha taslimu.
Nawasilisha, nikiwa nimekasirika kwa kukatwa 800Tsh kwa kufanya malipo ya Tsh 15,000
Kwa wenzetu wa Kenya gharama za Lipa Namba ziko wazi, angalia hapa https://www.safaricom.co.ke/images/Downloads/paybill-standard-tariff.pdf