Siwatishii. Kwasababu haina maana.
Ila mpo watatu. Wote wa kiume. Mlikaa jumapili mchana (mida ya saa 8) baada ya kuvuka Msolwa Filling Station mkiwa na tochi.
Sasa mlitusimamisha. Mkasema...
Baadhi ya Polisi wanatuibia sana, mara kumi kitengo cha kui-track simu ikipotea kiondolewe rasmi, sio uongo wala nini, mara zote tukiibiwa simu tunaenda kuripoti Polisi. Loss report kwanza kwenye...
Hii ni Shule ya Muhamani Kigoma Vijijini, choo kimejaa na Wanafunzi wamerudishwa nyumbani, Madarasa hayo yanatumika na ni mabovu, Serikali isikie kilio chetu na itusaidie, tunahitaji msaada wa...
Ofisi ya Afisa Utumishi Wilaya ya Kisarawe kuna Afisa utumishi anatoa huduma ya uafisa utumishi wake kwa malipo iwe unaomba akupitishie maombi ya mkopo, iwe unataka ufanyiwe recategoristion kwa...
Ninaandika kuelezea hatari ya usalama barabarani hapa Makongo Juu, Dar es Salaam hali inayohatarisha maisha ya raia na watoto wa shule kila siku. Watu tayari wamefariki hapa. Ninaizungumzia...
1. Tulifanya kazi kipindi cha lockdown kwa sababu ya uchaguzi, tukajitoa muhanga kulitumikia shirika huku tukivuka mabomu na risasi za moto. Lakini cha kushangaza hadi wa leo hatujalipwa hizo...
Nimekuwa nikiandika makala nyingi sana kuhusu kuwepo kwa ongezeko la vijana katika magenge ya kihalifu wilaya ya bunda hasa kata ya bunda mjini.
Kwa kifupi kata ya bunda mjini inaundwa na mitaa...
Ngoja niwasanue wananchi wenzangu
Siku hizi wilaya Bagamoyo (Mapinga, Kerege, Kiaraka), ambapo wengi wetu wafugaji wa kuku ndiyo tunafanyia ufugaji mkubwa)
Nimekuwa naona makundi ya wakina mama...
Wingu zito la sintofahamu limekikumba Chuo Kikuu Huria (Open University of Tanzania) baada ya kuibuka kwa tuhuma nzito zinazodai kuwa zaidi ya wahitimu 300 wa mahafali ya 44 hawakupata matokeo yao...
Kumekuwa na wimbi kubwa la vyuo vya mafunzo ya ufundi hasa vya private na baadhi vya taasisi za dini ambazo hazitendi haki kwa jamii.
Mfano kutoa vyeti feki na huku bado wakiendelea kufanya hiyo...
Habari wana jamvi, poleni na majukumu ya kila siku katika kulijenga taifa letu.
Naomba niende kwenye mada hapo juu, ni hivi:
Shule ya Tunduru Jamhuri Academy ni shule ya serikali inayosajiliwa...
Sisi Wakazi wa Lugagala tunanyanyasika sana ikiwemo kufanyiwa fujo katika mashamba na makazi yetu ya asili. Mpaka wa Vijiji hivii umekuwa kero kwa Watendaji wa Halmashauri Wilaya ya Songea.
Licha...
Kuna vitu vinafanywa na serikali ukiviangalia vinaumiza, vinatia watu hasira, na hata hakuna anayejali, au kuumia kama ambavyo Wananchi tunaumia.
Hapo juu kuna picha nne, ingawa nimeziunganisha...
Mwezi wa saba Mwaka 2025 kuna raia niliona humu mtandaoni amelalamikia changamoto kuhusu njia ya Makongo Juu kuwa na uhaba wa Daladala, akaeleza kuwa asilimia kubwa ya usafiri uliopo huko ni Bajaj...
Naomba unisaidie kuuliza ni lini vijana waliofanya kazi ya kuchukua maoni kwa mfumo wa viva wakati wa uchaguzi mkuu watalipwa pesa zao, kwani bado hawajalipwa na kila wakiuliza hakuna majibu.
Nina ushauri wangu kwa Serikali kuhusiana na barabara ya treni (Reli) ya kuzunguka hapa Mjini Dar es Salaam inatakiwa kufanyiwa marekebisho au maboresho kwani ni muda sasa sijaona ikifanyiwa...
Kama tunavyojua, mara kadhaa tumekuwa tukiwasikia baadhi ya wanasiasa wakidai kuwa wajawazito wanajifungua bure. Kauli hizi zimekuwa zikizua mijadala mikubwa kuhusu uhalisia wake, hasa...
Mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni za kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani, zimeingia dosari baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Mwanga, Ibrahim Mzava, kudaiwa...
Mwenye nyumba Kariakoo (Mtaa wa Sikukuu/Kipata) anataka kuvuruga watu. Hapo nyuma alikuwa anapokea kodi ya TZS 24,000,000/= p.a, lakini yeye analazimisha na mwanasheria wake kuandika kodi ya TZS...
Wakuu habarini za wakati huu, kuna swala limenishtua sana, na sidhani kama ni jambo la kulifumbia macho kwa serikali.
Suala la Elimu hasa maeneo ya vijijini limetupiwa mgongo na serikali.
Shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.