Waziri wa Elimu Kaka yangu Profesa Adolf Mkenda, naandika haya kukujuza haya. Vyuo vya kati vilikuwa kimbilio letu la watoto wanaosoma shule za kata, shule ambazo wanafunzi wanaweza kumaliza mwaka...
Napenda kutoa taarifa hii ili kufichua vitendo vya urasimu na ukiukwaji wa taratibu katika zoezi la utoaji wa nafasi za kujiunga na Shule ya Nyanza English Medium kwa Mwaka wa masomo 2026, hususan...
Najiuliza Hawa mabwanyenye wanao nunua ENEO la Namanga msasani kwenda mpaka Makangira wakiongozwa na huyo Mwamajeshi kutoka upanga OFISI ya Jeshi, na kuporomosha majengo ya ghorofa ni shi ngapi...
Katika shule ya sekondari Bakoba iliyopo kata Bakoba Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera imekuwa na utaratibu wa kuaagiza wanafunzi wote karatasi za Rimu kuripoti nazo kila mwezi Januari kama ilivyo...
Nikiwa kama mmoja wa waratibu wa Klabu za waandishi wa Habari Tanzania tuliyokuwa tunafanya kazi na UTPC tunaomba kupaza saut zetu ili tusaidiwe kupata haki yetu.
Tumekaa bila mshahara tangu...
Wazazi na wanajamii wa shule ya sekondari Fulwe iliyopo Morogoro vijijini tunapata tabu sana na Mkuu wa shule Ndugu David Nduye. Mwalimu huyu ameanzisha michango lukuki hapo shuleni kiasi kwamba...
Hili suala linaumiza sana; nje ya kuwa ni sehemu ya majukumu yake.
Wana vikundi wanaopata mkopo anawadai hela katika kila milioni moja anataka 50,000. Hii si sawa kabisa.
Hawa wana vikundi...
Barabara ya Arusha - Moshi mwaka jana ilikuwa inafanyiwa ukarabati maeneo ya KIA, King'ori na Kikatiti.
Ukiangalia maeneo yaliyokarabatiwa sio yale yenye mashimo sana na kuna maeneo walikarabati...
Husika na kichwa hapo juu,
Mimi ni dereva wa mabasi ya abiria Mkoa wa Rukwa. Nimeshindwa ku-renew leseni yangu kutokana na kukosa cheti cha PSV C PLAIN.
Hivyo, nilipata taarifa kuwa Chuo cha VETA...
👉Wanafunzi wengi nchini hasa kutoka kaya masikini hujiunga chuo kikuu Cha Dodoma UDOM sababu ya ada nafuu na ukubwa wa chuo hiki, japo asilimia kubwa gharama za maisha Jijini Dodoma kuwa juu...
Hili ni swali linalohitaji ufafanuzi: kwa nini vijana waliyoitwa kwenye usaili wa Zimamoto kuanzia tarehe 15 Disemba 2025 hadi tarehe 20 Disemba 2025 hawakupata nafasi ya kwenda kwenye mafunzo...
Leo asubuhi nimekutana na video mbili zinazosambaa sana mitandaoni ambazo kwa kweli zinahuzunisha na kusikitisha. Video hizo zinaonyesha vijana wawili wakipigwa vibaya kwenye miguu yao kwa kutumia...
Siwatishii. Kwasababu haina maana.
Ila mpo watatu. Wote wa kiume. Mlikaa jumapili mchana (mida ya saa 8) baada ya kuvuka Msolwa Filling Station mkiwa na tochi.
Sasa mlitusimamisha. Mkasema...
Baadhi ya Polisi wanatuibia sana, mara kumi kitengo cha kui-track simu ikipotea kiondolewe rasmi, sio uongo wala nini, mara zote tukiibiwa simu tunaenda kuripoti Polisi. Loss report kwanza kwenye...
Hii ni Shule ya Muhamani Kigoma Vijijini, choo kimejaa na Wanafunzi wamerudishwa nyumbani, Madarasa hayo yanatumika na ni mabovu, Serikali isikie kilio chetu na itusaidie, tunahitaji msaada wa...
Ofisi ya Afisa Utumishi Wilaya ya Kisarawe kuna Afisa utumishi anatoa huduma ya uafisa utumishi wake kwa malipo iwe unaomba akupitishie maombi ya mkopo, iwe unataka ufanyiwe recategoristion kwa...
Ninaandika kuelezea hatari ya usalama barabarani hapa Makongo Juu, Dar es Salaam hali inayohatarisha maisha ya raia na watoto wa shule kila siku. Watu tayari wamefariki hapa. Ninaizungumzia...
1. Tulifanya kazi kipindi cha lockdown kwa sababu ya uchaguzi, tukajitoa muhanga kulitumikia shirika huku tukivuka mabomu na risasi za moto. Lakini cha kushangaza hadi wa leo hatujalipwa hizo...
Nimekuwa nikiandika makala nyingi sana kuhusu kuwepo kwa ongezeko la vijana katika magenge ya kihalifu wilaya ya bunda hasa kata ya bunda mjini.
Kwa kifupi kata ya bunda mjini inaundwa na mitaa...
Ngoja niwasanue wananchi wenzangu
Siku hizi wilaya Bagamoyo (Mapinga, Kerege, Kiaraka), ambapo wengi wetu wafugaji wa kuku ndiyo tunafanyia ufugaji mkubwa)
Nimekuwa naona makundi ya wakina mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.