Safari yangu ya kurejea Dar es salaam baada ya kukamilisha kazi yangu Bukoba imeanza asubuhi ya Februari 21, 2026 kwa ndege TC 101, mali ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Kasheshe imeanzia...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliandaa wahudumu wa afya ya jamii kwa kuwagharamia mafunzo yaani Ada, malazi chuoni na chakula na kila kitu kuhusu mafunzo hayo.
Baada ya kumaliza...
Huu ni baahi ya ushahidi wa malalamiko ya watu kutoka katika page ya ZSSF zanzibar.
Watu watokao Bara tunafanyiwa ubabaishaji sana kwenye mfuko huu, raia wa kigeni wakitaka mafao yao wanayapata...
Ujenzi wa kipande cha Barabara ya Kilomita 1.6 kinachopita maeneo kadhaa ndani ya Manispaa ya Bukoba ambacho ujenzi wake ulianza Oktoba 9, 2023 ilipaswa kukamilika tangu October 8, 2024 mpaka leo...
Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo...
Ukilipitia tiketi online, automatically utabakiwa na muamala wa malipo, unapofika stendi uendako kama huna risiti utatakiwa ulipie shilingi mia tatu getini.
Kwani kulipia ticket online na kulipia...
Habari Tanzania !
Nawaomba Wenye mamlaka na usimamizi wa Elimu pamoja na wadau wa elimu hapa Tanzania.
Ikiwapendeza; nawaomba mfanye mabadiliko tena kwenye Shule za Msingi kila Kata - Shule...
Habari Tanzania !
Pole kwa uchovu wa hapa na pale kwasababu ya kulitumikia Taifa letu hili la Tanzania.
Poleni sana wanasiasa na watu wengine wenye njaa za madaraka na Mamlaka kwa mtazamo...
Ukifika Chanika mwisho jijini Dar es Salaam kuna msongamano mkubwa wa magari na watu kutokana na ufinyu wa eneo hilo. Hiyo ni kwasababu eneo hilo halina kituo cha daladala, matokeo yake magari...
Habari za muda huu wadau,
Leo nilikuwa na safari fulani hivyo ikanibidi kupanda daladala kwa umbali mrefu kidogo, Kutoka tegeta mpaka Mbagala.
Baada ya kupanda daladala nikiri kwamba...
Umepita mwezi sasa uwanja wa mpira wa Halmashauri ya mji umezuiliwa kutumika.
Hii ni mara ya pili, mwanzo ilizuiliwa Mkurugenzi akaruhusu mazoezi kufanyika na ukafunguliwa.
Ghafla tu umefungwa...
Barua ya wazi kwa mkuu wa Traffic Police
Kuna zoezi limefanyika Jumamosi ya tarehe 14.02.2026 - Jangwani Road na ni zoezi la dhuluma na kuibia wananchi ambao tayari wanaumizwa na mifumo...
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa fedha za kigeni hapa Tanzania hasa USD ambayo ndio hutumika sana kwa malipo kwa biashara za kimataifa.
Pamoja na kupanda kwa dola na kushuka kwa shilingi kutoka 2375...
Mnamo tarehe 8/04/2024 Majira ya saa 2 Usiku katika Kata ya Iyela Wilaya ya Mbeya Mjini inasadikika Mkurugenzi wa Kampuni ya City Casino raia wa Bulgaria anayeitwa Vasil Dosev Dimitrov, alimchukua...
Awali, vyuo vya afya na tiba shirikishi vya City Colleges vilivo sajiliwa na NACTEVET kutoa kozi za afya kwa ngazi za astashahada na stashada ikiwemo Kigamboni campus, Temeke & Mikwambi csmpus...
Ninalazimika kuibua hoja nzito inayotia shaka kubwa kuhusu mfumo wa manunuzi unaotumika katika Shule ya Nyanza. Umekuwa ni utaratibu kuwa shule hutangaza zabuni kupitia mfumo wa NeST na kuzitoa...
Wakuu nimekutana na hii hoja, nimeona niiweke hapa iwafikie wadau wengi zaidi, na DAWASA kama wanaweza kujibu itakuwa vizuri zaidi.
Majuzi tuliamka tukakuta mita yetu ya maji haipo. Cha...
Kila nayemuuliza anakumbia bili ya maji ya mwezi January inayotumwa mwezi huu imekuwa kubwa kupita maelezo.
Binafsi nyumba nayolipa bili unit 12 bili mwezi huu imekuja unit 125.
Nadhani kuna...
Samia wewe ni Rais lakini pia ni mama huku Makurunge kata ya kiluvya madukani katika wilaya ya kisarawe mkoa wa Pwani wanawake na mabinti wanapitia madhila ya kuvamiwa katika nyumba zao na vijana...
Mkuu wa idara ya biashara Manispaa Kigamboni gawa madaraka kwa wengine wakusaidie kupitisha leseni, haiwezekani maombi yashapita idara zote kuanzia mipango miji kwa siku moja lakini maombi hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.