Sisi Wakazi wa Lugagala tunanyanyasika sana ikiwemo kufanyiwa fujo katika mashamba na makazi yetu ya asili. Mpaka wa Vijiji hivii umekuwa kero kwa Watendaji wa Halmashauri Wilaya ya Songea.
Licha...
Kuna vitu vinafanywa na serikali ukiviangalia vinaumiza, vinatia watu hasira, na hata hakuna anayejali, au kuumia kama ambavyo Wananchi tunaumia.
Hapo juu kuna picha nne, ingawa nimeziunganisha...
Mwezi wa saba Mwaka 2025 kuna raia niliona humu mtandaoni amelalamikia changamoto kuhusu njia ya Makongo Juu kuwa na uhaba wa Daladala, akaeleza kuwa asilimia kubwa ya usafiri uliopo huko ni Bajaj...
Naomba unisaidie kuuliza ni lini vijana waliofanya kazi ya kuchukua maoni kwa mfumo wa viva wakati wa uchaguzi mkuu watalipwa pesa zao, kwani bado hawajalipwa na kila wakiuliza hakuna majibu.
Nina ushauri wangu kwa Serikali kuhusiana na barabara ya treni (Reli) ya kuzunguka hapa Mjini Dar es Salaam inatakiwa kufanyiwa marekebisho au maboresho kwani ni muda sasa sijaona ikifanyiwa...
Kama tunavyojua, mara kadhaa tumekuwa tukiwasikia baadhi ya wanasiasa wakidai kuwa wajawazito wanajifungua bure. Kauli hizi zimekuwa zikizua mijadala mikubwa kuhusu uhalisia wake, hasa...
Mchakato wa uchaguzi wa kura za maoni za kuwania nafasi mbalimbali za Ubunge na Udiwani, zimeingia dosari baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Mwanga, Ibrahim Mzava, kudaiwa...
Mwenye nyumba Kariakoo (Mtaa wa Sikukuu/Kipata) anataka kuvuruga watu. Hapo nyuma alikuwa anapokea kodi ya TZS 24,000,000/= p.a, lakini yeye analazimisha na mwanasheria wake kuandika kodi ya TZS...
Wakuu habarini za wakati huu, kuna swala limenishtua sana, na sidhani kama ni jambo la kulifumbia macho kwa serikali.
Suala la Elimu hasa maeneo ya vijijini limetupiwa mgongo na serikali.
Shule...
WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA (SANA SANA DMO's na DEO's) WAMEKUWA KIKWAZO KWENYE ZOEZI ZIMA LA UHAMISHO WA WATUMISHI KWA KISINGIZIO CHA KUTOKUWA ORIENTED NA MFUMO MPYA WA HUDUMA YA UHAMISHO WA...
Ndugu wasomaji na wanajukwaa naomba mfumo ufiche majina yangu niliyosajilia humu na hili jambo liende public tupate majibu ya serikali.
Tarehe 5 Juni 2025 serikali kupitia sekretarieti ya ajira...
Barabara ya Inyala - Simambwe yenye Kilomita 16.7 Mkoani Mbeya iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa shilingi bilioni 7.05 ikiwa mwaka wa pili sasa tangu kukamilika kwa ujenzi wake tayari imeanza...
Shule Ya Msingi Mbosho iliyopo kata ya Masama Kati Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa Shule kongwe zilizopo Wilayani Hai. Kwa Sasa Shule hii Inakabiliwa na Uchakavu Mkubwa wa majengo...
Wakuu kama alichosema Lema ni kweli basi huyu Georgina Matage ni mwanamke katili kwelikweli. Simjui Georgina Matage ila nashindwa kuelewa ujasiri alionao kuweza kumvua nguo mtu mzima kama Lema...
Mabinti zetu waliopelekwa kufanya kazi uarabuni kutokea Tanzania wanasoma huko uarabuni baada ya kushindwa kuvumilia unyanyasaji wanaofanyiwa na waajiri wao huko Oman.
Inasemekana wazi Hana hao...
Si vibaya kuuliza
Wakazi wa kigamboni kibada na mjimwema hadi cheka nadhani mnajionea sehemu ya barabara imevunjwa vunjwa alafu imechwa hivyo hivyo full vumbi mpaka sasa sijapata jibu kama...
Vidakuzi "Cookies" hufanya kazi ya kukusanya na kufuatilia taarifa zako mtandaoni, mara nyingi bila ya wewe kuona ni data gani zimekusanywa. Lengo lao kuu ni kuboresha na kulenga matangazo...
Katika hali ya kustaajabisha na Kuhuzunisha ambayo haijawahi kutokea, watoto watatu wa kike wajulikanao kwa majina ya Seyo Koila, Kitindi Ngai na Timbayani Salangati walichukuliwa mwaka 2015...
Tabia hii imekithiri na mamlaka hazikemei.
Wanaoongoza kwa plate namba za kugushi ni Polisi tena kwenye gari zao binafsi sio za ofisi.
Leo unaikuta na namba ya kenya, wiki ijayo chassis number...
Wakuu,
Katika nchi ambayo ina uwajibikaji na Polisi inafanya kazi kweli sio kuweka “Patrol za Mtandaoni” kusaka wanaoikosoa Serikali na kuhamasisha uwajibikaji, askari huyu alitakiwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.