DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Leo usiku, majira ya saa mbili hadi saa tatu, nilijikuta nipo kwenye moja ya grocery ndogo katika mji wa Mwandoya, wilaya ya Meatu mkoani Simiyu. Mazingira yalikuwa tulivu kama ilivyo kawaida ya...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kiwanda cha Dawa kilichopo Keko (Keko Pharmaceutical Industries - 1997) ambacho kilichukuliwa na Serikali Mwaka 2019 kinavyoachwa kuteketea bila sababu yoyote huku kikiwa chini ya Serikali kwa...
0 Reactions
2 Replies
347 Views
Anonymous
DOKEZO 
Yas wanatumia vibaya uaminifu tuliowapa, nimeweka pesa kwenye kibubu kuhifadhi tu lakini wawezizua hazitoki na hawana majibu ya kueleweka salio la kibubu ni 0. Lakini wanadai pesa ipo haijatoka...
1 Reactions
5 Replies
136 Views
Anonymous
DOKEZO 
Hii ni barabara kutoka Ubena Zomozi kwenda Ngerengere kwa mujibu wa mkataba ilitakiwa kujengwa ndani ya siku 365 ila mpaka sasa ni miaka 2 inaisha ila hakuna jitihada zozote kumalizika imebaki...
1 Reactions
5 Replies
116 Views
Anaitwa GIDEON MLOKOZI MASHANKARA ana umri wa miaka 30, mkazi wa Tabata Segerea, Kazi yake ni mfanyabiashara wa kuuza magari lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku...
24 Reactions
174 Replies
12K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Nipo katika Mwananyamala Hospital na nakutana na changamoto kubwa ya upungufu wa madaktari. Wagonjwa ni wengi sana na foleni ni ndefu kiasi kwamba watu wanazidiwa hadi kwenye mabenchi ya kusubiri...
0 Reactions
1 Replies
200 Views
  • Redirect
Anonymous (5b87)
DOKEZO 
0 Reactions
Replies
Views
Anonymous
DOKEZO 
Bandari ya Kemondo(Kagera) kumekuwa na matukio yasiyofaa ambapo walinzi katika eneo ilo wamekuwa wakitumia kigezo cha kutokuwa na vitambulisho kuomba rushwa. Lakini pia idara ya ulinzi ya eneo...
0 Reactions
0 Replies
70 Views
Sijui ni wangapi wamewahi kukumbana na na matatizo ya vodabima. Kwa uzoefu wangu, mara tatu imetokea unalipa bima ya gari kupittia vodabima. Unapata ujumbe kuonesha pesa imetoka kulipia bima ya...
4 Reactions
11 Replies
295 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini. Masikini ya Mungu Huyu...
43 Reactions
905 Replies
114K Views
Wild Flower
DOKEZO Responded 
Hivi karibuni mimi pamoja na watu kadhaa wa karibu tumepitia tatizo la kiafya la kummwa na tumbo, kuharaha na wengine kutapika. Huu unaoneka sio ugonjwa wa kawaida ni kama kuna mlipuko wa homa ya...
0 Reactions
3 Replies
200 Views
Anonymous
DOKEZO 
Watumishi wa kada ya uhandisi walioajiriwa tarehe 1 Desemba 2020 katika shule za sekondari za ufundi za serikali wamekuwa wakikumbana na changamoto kubwa katika utumishi wa umma kutokana na...
1 Reactions
0 Replies
139 Views
wasaalam tarehe 02/05/2026 pale UDSM yombo 4 kulikuwa na zoezi la kufanya written interview kwenye kada mbalimbali lakini cha ajabu mpaka leo tarehe 06/05/2026 hawajatoa majibu ya usaili huo...
6 Reactions
31 Replies
482 Views
Anonymous
DOKEZO 
Kiukweli nimesikitika sana UDSM kuficha matokeo ya wrriten interview iliyofanyika tarehe 02/05/2026 pale yombo 4 mapaka sasa matokeo hayajawekwa kwenye website rasmi ya Secretariat ya ajira huku...
0 Reactions
2 Replies
143 Views
Anonymous
DOKEZO 
Halmashauri ya Wilaya ya Igunga, Tabora, tuliajiriwa Mwaka 2017, tangu wakati huo hatujawahi kupata pesa yetu ya kujikimu (subsistence allowance) tumefuatilia sana na kila hatua tumepita barua...
2 Reactions
7 Replies
207 Views
DodomaTZ
DOKEZO Responded 
Nikiwa pamoja na wenzangu zaidi ya 70, tulikuwa tukifanya kazi katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa takribani miaka mitano. Tulielezwa ajira zetu zingekuwa za mikataba ya muda mfupi ya...
3 Reactions
5 Replies
436 Views
Anonymous
DOKEZO 
Nimelazimika kuandika hapa huku nikiwa na huzuni sana kwa kuwa tumevumilia lakini tunaona uvumilivu unaelekea ukingoni. Ni Miezi mitano sasa toka Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Afanye uteuzi...
4 Reactions
13 Replies
559 Views
Tanzania hii hasa Tanganyika hali ni tete kwa sasa nipo Morogoro, nashuhudia mashindan ya kupandisha nauli kwa vyombo vya usafirishaji huku wakida EWURA imepandisha bei ya mafuta, wapo...
7 Reactions
15 Replies
550 Views
Anonymous (3e29)
DOKEZO Responded 
Kuna watu watatu wamepigwa risasi za moto na askari waliokuwepo kwenye msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza walipokuwa wakielekea Kijiji cha Kalilani kilichopo mkoani Kigoma Wilaya ya Uvinza...
1 Reactions
4 Replies
292 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Eneo la wazi la Biafra Kinondoni limebeba kumbukumbu na historia ya makuzi ya watu wengi kwa miongo kadhaa. Wengi wetu tumelikuta kama sehemu ya michezo, mikutano ya kijamii na hata sehemu...
2 Reactions
17 Replies
391 Views
Back
Top Bottom