DOKEZO Threads

WAKURUGENZI NA WAKUU WA IDARA (SANA SANA DMO's na DEO's) WAMEKUWA KIKWAZO KWENYE ZOEZI ZIMA LA UHAMISHO WA WATUMISHI KWA KISINGIZIO CHA KUTOKUWA ORIENTED NA MFUMO MPYA WA HUDUMA YA UHAMISHO WA...
11 Reactions
54 Replies
8K Views
Ndugu wasomaji na wanajukwaa naomba mfumo ufiche majina yangu niliyosajilia humu na hili jambo liende public tupate majibu ya serikali. Tarehe 5 Juni 2025 serikali kupitia sekretarieti ya ajira...
1 Reactions
9 Replies
358 Views
Barabara ya Inyala - Simambwe yenye Kilomita 16.7 Mkoani Mbeya iliyojengwa kwa kiwango cha lami kwa shilingi bilioni 7.05 ikiwa mwaka wa pili sasa tangu kukamilika kwa ujenzi wake tayari imeanza...
1 Reactions
7 Replies
306 Views
Shule Ya Msingi Mbosho iliyopo kata ya Masama Kati Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro ni miongoni mwa Shule kongwe zilizopo Wilayani Hai. Kwa Sasa Shule hii Inakabiliwa na Uchakavu Mkubwa wa majengo...
0 Reactions
1 Replies
189 Views
Wakuu kama alichosema Lema ni kweli basi huyu Georgina Matage ni mwanamke katili kwelikweli. Simjui Georgina Matage ila nashindwa kuelewa ujasiri alionao kuweza kumvua nguo mtu mzima kama Lema...
10 Reactions
26 Replies
1K Views
Mabinti zetu waliopelekwa kufanya kazi uarabuni kutokea Tanzania wanasoma huko uarabuni baada ya kushindwa kuvumilia unyanyasaji wanaofanyiwa na waajiri wao huko Oman. Inasemekana wazi Hana hao...
5 Reactions
35 Replies
781 Views
Si vibaya kuuliza Wakazi wa kigamboni kibada na mjimwema hadi cheka nadhani mnajionea sehemu ya barabara imevunjwa vunjwa alafu imechwa hivyo hivyo full vumbi mpaka sasa sijapata jibu kama...
1 Reactions
4 Replies
339 Views
Vidakuzi "Cookies" hufanya kazi ya kukusanya na kufuatilia taarifa zako mtandaoni, mara nyingi bila ya wewe kuona ni data gani zimekusanywa. Lengo lao kuu ni kuboresha na kulenga matangazo...
4 Reactions
9 Replies
318 Views
Katika hali ya kustaajabisha na Kuhuzunisha ambayo haijawahi kutokea, watoto watatu wa kike wajulikanao kwa majina ya Seyo Koila, Kitindi Ngai na Timbayani Salangati walichukuliwa mwaka 2015...
9 Reactions
100 Replies
3K Views
Tabia hii imekithiri na mamlaka hazikemei. Wanaoongoza kwa plate namba za kugushi ni Polisi tena kwenye gari zao binafsi sio za ofisi. Leo unaikuta na namba ya kenya, wiki ijayo chassis number...
8 Reactions
28 Replies
907 Views
Wakuu, Katika nchi ambayo ina uwajibikaji na Polisi inafanya kazi kweli sio kuweka “Patrol za Mtandaoni” kusaka wanaoikosoa Serikali na kuhamasisha uwajibikaji, askari huyu alitakiwa kuwa...
3 Reactions
31 Replies
948 Views
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala. Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana Nadhani kwa...
19 Reactions
286 Replies
13K Views
Anonymous
DOKEZO 
Katika hali inayoashiria mtandao wa fedha haramu, familia moja yenye uhusiano wa karibu na vigogo nchini Tanzania inadaiwa kuteka mfumo mzima wa uagizaji wa magari ya mtumba kutoka Japan, na...
14 Reactions
27 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Imeoza kwa sababu: 1. Mkurugenzi hana spirit ya Uongozi ndani, japo amekaa sana Tamisemi Kama bunch officer hivyo anashindwa kuwasimamia wasaidizi wake 2.Mkuu wa Idara ya Utumishi (MHRO) ana...
1 Reactions
4 Replies
213 Views
Anonymous
DOKEZO 
THE ISSUE Peachy Village Company Limited, based in Dodoma, Tanzania, has recently faced a dire financial crisis due to unauthorized bank accounts opened in its name. This has led to substantial...
2 Reactions
0 Replies
240 Views
Mimi ni mkulima wa tumbaku wilayan Kakonko, Kigoma. Msimu wa mwaka 2024/2025 tulikuwa na mkataba na MAGEFA GROWERS LIMITED ambapo masoko yote matatu yaliisha mwezi wa sita na ilitakiwa tulipwe...
0 Reactions
3 Replies
267 Views
Habarini, Mida ya mali chakavu za Serikali zinazouzwa kama vile fenicha, magari n.k imekuwa ikifanywa na Watumishi wa Serikali na mhakiki mali ambao kiuhalisia wanaleta urasimu mkubwa kwenye fedha...
1 Reactions
5 Replies
393 Views
Sisi Wafanyabiashara wadogowadogo tuliokuwa tukifanya shughuli zetu za biashara katika eneo lililopo jirani na ofisi za World Oil eneo la Tungi Mnadani, Kigamboni hapa Dar es Salaam. Tulianza...
4 Reactions
96 Replies
4K Views
Kwa siku za hivi karibuni kama kati yetu kuna ambao wamebahatika kwenda kwenye eneo maarufu la kibiashara Kariakoo jijini Dar es Salaam mtaungana na mimi kwamba kuna ujenzi wa majengo mengi ya...
12 Reactions
64 Replies
4K Views
Back
Top Bottom