Kuna siku na mbalamwezi na jogoo nikajiandaa kwenda shule kilomita kadhaa. Kufika shule nilisubiri si chini ya masaa mawili kabla hakukucha. Yaani shule ilikuwa kwenye damu. Wazazi walikuwa hawakagui maendeleo ya wanafunzi na kulikuwa hakutolewi taarifa za maendeleo ya wanafunzi.
Hapo baado tukianza mfuko wa elimu hadi darasa la 12 bila kizuizi itawaje maana nasikia mwanafunzi akifika darasa la 6 ataanza kidato cha kwanza bila mchujo! !!
Jana nimeipata hiyo ya Halima nikamjibu wrong no, lakini baadae wife kapata pia ujumbe km huo nikagundua ni utapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati huo nilikuwa darasa la na mgambo wote niliwafahamu walirudi salama. Kusema kwamba waliwekwa mbele yaweza kuwa si kweli maana wengi wakipelekwa Uganda wakati nduli keshazidiwa nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie form one nilikuwa na 17 yrs, nilichunga ng'ombe kwanza kisha shule. Hapana kuchezewa ovyo na form two enzi hizo.
Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
Makosa mengine yamefanywa na mwajiri hasa kwenye salary slips nyingi wameabalisha mwezi na tarehe za kuzaliwa. Kwa mfano : documents za mfanyakazi zipo sahihi km vile kuzaliwa tarehe 10 February, salary slip unakuta inaonyesha 2/10!! mwaka sahihi lakini tarehe na mwezi tofauti.
Sent from my...
Enzi hizo nilikamatwa na polisi na kunishikiria kwa masaa kadhaa kisa nimenunua vitu vichache kama sabuni za lifeboy na colgate pale Tunduma mpakani na Zambia kwa matumizi yangu ya shule. Hivyo maisha hayakuwa mazuri kivile hasa kwenye kile kipindi cha miezi 18 ya kufunga mikanda baada ya vita...
Nadhani tunawaonea wanajeshi, siku hizi nadhani ni generation ya sasa wenye fani nyingi na walimu wakiwepo wanafanya. Sisi tulikula chumvi kidogo usafiri ilikuwa ajenda baada ya nyumba. Ukifanya utafiti si ajabu kukuta zaidi ya 50% wenye magari hawana nyumba, sidhani km wote watakuwa wajeshi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.