ipi hiyo? ile ya kuoga kwa shower na sabuni mara baada ya tendo au?Mimi hivo hivo sema natumia mbinu ya Zuma.......hahaaaaa
Ohoooo!!!Zamana mm nilikuwa km ww.ila K tamu asikwambie mtu lkn isiteme km ya WOPA
mwendokasi tano kubwa duuh!! hizo sio private parts tena...
Kimoko kimoko mbona hizo namba ziko sawa tu,kwa wale wa kusimamia kama baiskeli ndio wanajiumiza wao.mwendokasi tano kubwa duuh!! hizo sio private parts tena...
40UNAPIGA KELELE SUBIRI WENZIOO WAJE WA MEJAZA 48FT CONTAINER NA BADO WENGINW WAKO NJE WANASUBIRIA KUINGIAWana JF wenzangu napenda ushauri wenu
Mimi nina 35 yrs na ni baba wa watoto wanne. Bahati mbaya nimetengana na mama yao ndani ya miaka 2 iliyopita. Naishi Dar mwaka huu wa15.
Tangu naingia kwa kweli nimetembea na wanawake nisiojua idadi yao wanaeza wakajaa mwendokasi 5 kubwa, Mungu nisamehe. Lakini tangu hapo mwanzoni sikuwahi fanya mapenzi bila kinga miaka yote na nilipokuwa namsikia mwanaume mwenzangu akisema kafanya bila kinga nilimuona mtu wa ajabu na huenda aliefanya nae kamutoa Buguruni au Ambiance.
Sasa baada ya kutengana na mama watoto wangu nilikutana mdada mmoja anafanya kazi Barrick Gold Mining as an expeterate, she is 34. Basi nikaanza nae baada ya kupima ila mimi licha ya kupima sikuwa tayari kufanya bila kinga. Mwisho wa siku nimejikuta nimeenda bila kinga sasa baada ya hapo nimeshindwa kujizuia kila nikikutana nae situmii kinga.
Sielewi ni shetani gani huyu mpaka sasa baada ya kutengana na mama watoto nimetembea na wanawake karibu 40 bila kinga.
Ushauri ndugu zangu awali sikuwa hivo
Public partsmwendokasi tano kubwa duuh!! hizo sio private parts tena...
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Endelea tu kavu kavu mkuu , utakulaje pipi na maganda yake?
Kabla kukushaurii Kwanzaa kabisaa naomba acha uasheratii na uzinzii kwa sababu utakufa uwaache watoto wako wakitesekaa kwa nin usitafte utakaye mpenda alafu umuoe kabisaa!!Wana JF wenzangu napenda ushauri wenu
Mimi nina 35 yrs na ni baba wa watoto wanne. Bahati mbaya nimetengana na mama yao ndani ya miaka 2 iliyopita. Naishi Dar mwaka huu wa15.
Tangu naingia kwa kweli nimetembea na wanawake nisiojua idadi yao wanaeza wakajaa mwendokasi 5 kubwa, Mungu nisamehe. Lakini tangu hapo mwanzoni sikuwahi fanya mapenzi bila kinga miaka yote na nilipokuwa namsikia mwanaume mwenzangu akisema kafanya bila kinga nilimuona mtu wa ajabu na huenda aliefanya nae kamutoa Buguruni au Ambiance.
Sasa baada ya kutengana na mama watoto wangu nilikutana mdada mmoja anafanya kazi Barrick Gold Mining as an expeterate, she is 34. Basi nikaanza nae baada ya kupima ila mimi licha ya kupima sikuwa tayari kufanya bila kinga. Mwisho wa siku nimejikuta nimeenda bila kinga sasa baada ya hapo nimeshindwa kujizuia kila nikikutana nae situmii kinga.
Sielewi ni shetani gani huyu mpaka sasa baada ya kutengana na mama watoto nimetembea na wanawake karibu 40 bila kinga.
Ushauri ndugu zangu awali sikuwa hivo
Wana JF wenzangu napenda ushauri wenu
Mimi nina 35 yrs na ni baba wa watoto wanne. Bahati mbaya nimetengana na mama yao ndani ya miaka 2 iliyopita. Naishi Dar mwaka huu wa15.
Tangu naingia kwa kweli nimetembea na wanawake nisiojua idadi yao wanaeza wakajaa mwendokasi 5 kubwa, Mungu nisamehe. Lakini tangu hapo mwanzoni sikuwahi fanya mapenzi bila kinga miaka yote na nilipokuwa namsikia mwanaume mwenzangu akisema kafanya bila kinga nilimuona mtu wa ajabu na huenda aliefanya nae kamutoa Buguruni au Ambiance.
Sasa baada ya kutengana na mama watoto wangu nilikutana mdada mmoja anafanya kazi Barrick Gold Mining as an expeterate, she is 34. Basi nikaanza nae baada ya kupima ila mimi licha ya kupima sikuwa tayari kufanya bila kinga. Mwisho wa siku nimejikuta nimeenda bila kinga sasa baada ya hapo nimeshindwa kujizuia kila nikikutana nae situmii kinga.
Sielewi ni shetani gani huyu mpaka sasa baada ya kutengana na mama watoto nimetembea na wanawake karibu 40 bila kinga.
Ushauri ndugu zangu awali sikuwa hivo