muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Story za zamani bhana..nyingi zilikuwa fiks na changamsha balaza..
Ila kwa bahati mbaya.serikali iliwatupa.mpaka leo ukikutana nae ni lawama tu kwa serikali.ndo maana hizi serikali hazina baraka.wazee wanalalamika sana,Natumaini ni mmoja wa wazalendo waliotangulizwa mbele kwenye mapambano ya kumn'goa nduli Idd Amin
Mbona hata leo.zikitokea fujo.wanaotangulizwa ni mgambo.ni kawaida.labda ilo neno kuwa chambo ndo sio zuri kulitumia.ila wao utangulizwa mbele.Nilikuwa nimeshaliza shule ya msingi tayari walichukuliwa baba mkubwa kaka yangu mjomba babu takribani watu kumi na nne kwenye ukoo walienda na wote walirudi salama salimini ila wengi kwa sasa wametangulia mbele za haki kuhusu kuwekwa kama chambo wanasema si kweli ni maneno ya wavivu wa kazi nilitamani sana kwenda ila bi mkubwa alikaza kamba mwanzo mwisho nisiende kuliwa na Nduli fashisti dk pr Alhaji king IDD AMIN DADA
Mkuu kama nakuona hivi hua napenda sana wahenga wakisimulia jinsi walivyokuwa manusura kwenya vita vya kageraTulirudi mkuu,mimi nilirudi na cheo cha colonel,
nakumbuka siku tunaichukua jinja,nilikula risasi ya sikio, kutoka kwa mlibya mmoja sniper
Pole sana mkuu kwa kumpoteza mzee wako!Niliwahi kwenda pale Hazina Dar mwaka 2001,nilimpeleka marehemu mzee wengu kufatilia mafao yake,wakati tukiwa kwenye foleni kuna mzee mmoja akawa anamuangalia sana mzee wangu,kwa bahati mbaya mzee wangu alikua ameharibika masikio so akawa hasikii vzr,ikabidi nimuulize kulikoni?akasema anamfananisha kama walikua kwenye kambi moja ya jeshi(Buhemba).nikamwambie sijui,nikamuuliza kama anamkumbuka jina akalitaja jina moja ambalo mzee alikua akilitumia kabla hajabadirisha dini,nikamshitua mzee kwamba huyu mzee anakufananisha,kweli na mzee wangu akamkumbuka bwana,wakacheka sana mpaka mle ndani hazina kwenye babenchi ikawa kama ukumbi wa burudani..ikabidi nimpeleke nje ili wakapige story zaidi,dahhhh..yani nilishangaa wakakumbushana hiyo vita..wakawa wanauliza wenzao waliokua nao kwenye uwanja wa mapambano..ilikua burudani sana maana nilikua naona kama imetokea juzi tu.But wengi wao wamechoka sana kimaisha na wana hali mbaya si mchezo.Babangu kafa 2010 akiacha kibanda tu cha vyumba viwili ingawa alikua mzalendo sana na jeshi.Nikiwa darasa la 4 aliwahi kuniuliza ningependa kufanya kazi gani nikiwa mkubwa?nikamwambia nataka kuwa mwl,dah,nilichezea vitasa vya haja na akasema siku nikiwa mwl nisikanyaje kwake maana hizo ni kazi za kike.Alipenda wototo wake wote tuingie jeshini,but bi mkubwa hakua hakitaka habari za jeshi maana zilimfanya kuishi peke yake kwa miaka miwili wakati mzee akiwa Uganda na pia hakuna faida kwenye familia kutokana na mzee kufanya kazi hiyo.
But now naona mambo yamebadirika sana jeshini maisha poa tu.
Binafsi nimewaona wapiganaji wa vita hii kama 11 akiwemo mzee wangu but ni wawili pekee walio hai na mmoja wapo ni mlemavu wa macho..yani wengi waliathirika sana kiafya.Marehemu mzee wangu alikua akitoka usaha masikioni.
Mkuu umenikumbusha mbali!......Mayunga,Herman Lupogo(amphibian) huyu battaliani yake ilipewa jina hili maana walilala kwenye maji kwa zaidi masaa nane,John Walden,Tumainieli Kiwelu,Imrani Kombe,Kanali Makunda(Torpedo),Kanali Tumbi(radi) huyu alikuwa mkuu wa kikosi cha mizinga ndio alimtesa Iddi Amini akapewa jina la Radi,Kanali Kitete(Supersonic), Kanali Bayeke,Major Robert Mboma wakati huo alikuwa mkuu wa kikosi cha anga,Brig David Musuguri(kamanda Mutukula),Nsimanyi,Mwita Ernest Kiaro,Abdala Twalipo,Mike Marwa
Hawa na wengine ndio waliomtoa Nduli wengine nimewasahau na wengine wametangulia mbele za haki mungu awarehemu walipo na ambao wako bado hai mungu azidi kuwaimarisha kiafya......
Wonderful pole sana kwa kumpoteza mzee wetu japo na mimi si wongo ni mhenga kidogo lakini mzee wako atakuwa ni kaka yangu mkubwa sana.Ila story yako ya ushuhuda imenifurahisha sanaNiliwahi kwenda pale Hazina Dar mwaka 2001,nilimpeleka marehemu mzee wengu kufatilia mafao yake,wakati tukiwa kwenye foleni kuna mzee mmoja akawa anamuangalia sana mzee wangu,kwa bahati mbaya mzee wangu alikua ameharibika masikio so akawa hasikii vzr,ikabidi nimuulize kulikoni?akasema anamfananisha kama walikua kwenye kambi moja ya jeshi(Buhemba).nikamwambie sijui,nikamuuliza kama anamkumbuka jina akalitaja jina moja ambalo mzee alikua akilitumia kabla hajabadirisha dini,nikamshitua mzee kwamba huyu mzee anakufananisha,kweli na mzee wangu akamkumbuka bwana,wakacheka sana mpaka mle ndani hazina kwenye babenchi ikawa kama ukumbi wa burudani..ikabidi nimpeleke nje ili wakapige story zaidi,dahhhh..yani nilishangaa wakakumbushana hiyo vita..wakawa wanauliza wenzao waliokua nao kwenye uwanja wa mapambano..ilikua burudani sana maana nilikua naona kama imetokea juzi tu.But wengi wao wamechoka sana kimaisha na wana hali mbaya si mchezo.Babangu kafa 2010 akiacha kibanda tu cha vyumba viwili ingawa alikua mzalendo sana na jeshi.Nikiwa darasa la 4 aliwahi kuniuliza ningependa kufanya kazi gani nikiwa mkubwa?nikamwambia nataka kuwa mwl,dah,nilichezea vitasa vya haja na akasema siku nikiwa mwl nisikanyaje kwake maana hizo ni kazi za kike.Alipenda wototo wake wote tuingie jeshini,but bi mkubwa hakua hakitaka habari za jeshi maana zilimfanya kuishi peke yake kwa miaka miwili wakati mzee akiwa Uganda na pia hakuna faida kwenye familia kutokana na mzee kufanya kazi hiyo.
But now naona mambo yamebadirika sana jeshini maisha poa tu.
Binafsi nimewaona wapiganaji wa vita hii kama 11 akiwemo mzee wangu but ni wawili pekee walio hai na mmoja wapo ni mlemavu wa macho..yani wengi waliathirika sana kiafya.Marehemu mzee wangu alikua akitoka usaha masikioni.
Tulirudi mkuu,mimi nilirudi na cheo cha colonel,
nakumbuka siku tunaichukua jinja,nilikula risasi ya sikio, kutoka kwa mlibya mmoja sniper

Inawezekana wapo mashujaa migambo walionusurika.
Shukrani mkuu.Wonderful pole sana kwa kumpoteza mzee wetu japo na mimi si wongo ni mhenga kidogo lakini mzee wako atakuwa ni kaka yangu mkubwa sana.Ila story yako ya ushuhuda imenifurahisha sana
Shukrani mkuu!Pole sana mkuu kwa kumpoteza mzee wako!
Simulizi yako imenifurahisha sana hasa ulipochezea vitasa kwa kusema ungependa kuwa mwalimu!![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
sio migambo,waliojitolea walikuwa wengi,wafanyakazi wa taasisi na wananchi wa kawaida.wengine walibaki uganda na kuanza maisha wengine walirudi kujenga nchi kwa namna mbali mbaliLeo nilikua naangalia ITV kumbukumbu ya vita vya Kagera,na wakati vita hivi vikipiganwa nilikua nimeshazaliwa ila maji nilikua naita mmaah wakati huo,nimekua nikiadithiwa kuwa wakati wa vita migambo walitangulizwa mbele kama chambo kwa jeshi la Idd Amin na wengi wao waliuliwa,wanaojua naomba mnieleweshe je wale migambo ambao walirudi salama baada ya vita walichukuliwa jeshini au walirudi vijijini kukumbiza wananchi wakisaka kodi ya kichwa?
Mkuu ndoto yako ya kuwa mwalimu ilitimia?Niliwahi kwenda pale Hazina Dar mwaka 2001,nilimpeleka marehemu mzee wengu kufatilia mafao yake,wakati tukiwa kwenye foleni kuna mzee mmoja akawa anamuangalia sana mzee wangu,kwa bahati mbaya mzee wangu alikua ameharibika masikio so akawa hasikii vzr,ikabidi nimuulize kulikoni?akasema anamfananisha kama walikua kwenye kambi moja ya jeshi(Buhemba).nikamwambie sijui,nikamuuliza kama anamkumbuka jina akalitaja jina moja ambalo mzee alikua akilitumia kabla hajabadirisha dini,nikamshitua mzee kwamba huyu mzee anakufananisha,kweli na mzee wangu akamkumbuka bwana,wakacheka sana mpaka mle ndani hazina kwenye babenchi ikawa kama ukumbi wa burudani..ikabidi nimpeleke nje ili wakapige story zaidi,dahhhh..yani nilishangaa wakakumbushana hiyo vita..wakawa wanauliza wenzao waliokua nao kwenye uwanja wa mapambano..ilikua burudani sana maana nilikua naona kama imetokea juzi tu.But wengi wao wamechoka sana kimaisha na wana hali mbaya si mchezo.Babangu kafariki 2010 akiacha kibanda tu cha vyumba viwili ingawa alikua mzalendo sana na jeshi.Nikiwa darasa la 4 aliwahi kuniuliza ningependa kufanya kazi gani nikiwa mkubwa?nikamwambia nataka kuwa mwl,dah,nilichezea vitasa vya haja na akasema siku nikiwa mwl nisikanyaje kwake maana hizo ni kazi za kike.Alipenda wototo wake wote tuingie jeshini,but bi mkubwa hakua hakitaka habari za jeshi maana zilimfanya kuishi peke yake kwa miaka miwili wakati mzee akiwa Uganda na pia hakuna faida kwenye familia kutokana na mzee kufanya kazi hiyo.
But now naona mambo yamebadirika sana jeshini maisha poa tu.
Binafsi nimewaona wapiganaji wa vita hii kama 11 akiwemo mzee wangu but ni wawili pekee walio hai na mmoja wapo ni mlemavu wa macho..yani wengi waliathirika sana kiafya.Marehemu mzee wangu alikua akitoka usaha masikioni.
Sawa mhenga kwa hiyo wagambo walipelekwa Uganda kufanya finishingi.Wakati huo nilikuwa darasa la na mgambo wote niliwafahamu walirudi salama. Kusema kwamba waliwekwa mbele yaweza kuwa si kweli maana wengi wakipelekwa Uganda wakati nduli keshazidiwa nguvu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu haikutimia..bali nilipitia nyayo za mzee kidogo kati ya 2002-2007 nikatema mzigo na kuanza maisha ya kitaa mkuu.Mkuu ndoto yako ya kuwa mwalimu ilitimia?