Kwanza napenda kulipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri ya kulinda jamii na mali na kuhakikisha usalama upo Hongera kwako I.G.P Sirro.
Ila huwa najiuliza kwa uelewa wangu mdogo kwanini hawa majambazi ambao wanathibitishwa kuwa ni wahusika wa tukio fulani huwa wanauawa badala ya kutafuta mbinu...
haujaeleweka unaposema ni vizuri kuwa navyo na polepole tutafika,
kikubwa ni kufunguka na kununua na vionekane uwanjani nadhani hilo ndio suluhisho,
ni aibu kwa Taifa uwanja mzuri Vibao vya miaka ya 40 iliyopita
Wadau naomba niulize,
Kwanini Tanzania hatuna digital substitution board kwenye viwanja vyetu vya mpira tatizo ni bei au? Matokeo yake tunatumia vibao vilivyopitwa na wakati wakati mwingine hadi kuchora kwa peni kwenye karatasi,
Uukijaribu kuchunguza bei zake sio kubwa na mapato ya viingilio...
Mimi naamini Director na Team nzima ya Production waliipitia vizuri sana video hii kabla hawajai Launch,
So ni Brilliant idea from AliK..tatizo wabongo tumekremisha Maigizo kama ya Ndomo...Video nzuri sana
Ku-root ni kubadilisha mifumo mizima ya Simu hasa za Android kama imefungiwa na Mtandao husika,
Kwa huawei mbaka uwe na infinity box,
Google utaiona hiyo box au nenda kkoo inagarimu 15000
hivi inakuwaje siku umelala nyumbani kwako alafu asubuhi unaamka unajikuta upo kitandani kwa mhe.Rais alafu yeye anaoga bafuni wakati huo first lady bado hajaamka anamalizia usingizi pembeni yako..je utafanyaje wananchi wakuelewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.