Daah ,kwa mujibu wa katiba serial haina dini,ila haimzuii RAIA wake kuamin,sasa je hivi huyu kiongozi wa serikali kuamin ushirikina je ataweza kukemea maovu au uhalifu utokanao na ushirikina kama mauaji ya albino na vikonngwe,.....kwa imani hiyo sizani kama tutafika eseeee
Kutokana na utendaji kazi wa mheshimiwa Makala hasa katika utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi, ikiwemo mgogoro wa soko la Mwanjelwa, madai ya wananchi na uwanja wa ndege na kupungua kwa kiasi kikubwa cha matukio ya uhalifu.
Yote haya yamekuwa yakifanyika kwa weledi mkubwa na ufataji wa...
Watz hamna shukran,kipnd cha baba ridhwani mlisema kuwa ,wanakuja wanyonyaji mfano ziara ya rais mstaafu bush wa marekana,mkazusha kapewa maeneo ya ardhi kwa msaada wake wa vyandarua,kuwen na shukran,jengen utamadun wa kupongeza mazur na sio ku base kwene lawama tuu
Mm nipo tofaut ila kuna mdda in video quin jina simjui,ila kwene video ya chafupoz na mwana fa,muziki ya darasa na nyingine nyingi ,anapenda kunyoa panky au spounseaar ,nikama msingida hiv yani ananiboa,yeye nikuchezesha tako muda wote, sio mbinifu ,alafu mavazi teeeeh hajui yani bonge LA...
Nikwaida kwa wa tz kuwa na mihemko,Leo watakuja na hiki kesho like,hatmae tuhuma za dona zmepotea ndani ya ski,kiki mpya ni ya dogo janja wa dar,yaaani me sielew kipi no kipaombele kwa awamu hiij,siiahii kusema 2017,in mwaka wa kiki,no development ya chochote zaid ya kiki za msimu,mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.