Recent content by zubedasoud

  1. zubedasoud

    Huyu ndiyo Mzee Kikwete (kuhusu baadhi tusiyoyajua)

    Kata pua uunge wajihi, president jk he was very intelligent President never ever in our sizonje house
  2. zubedasoud

    Jela miaka 28 kwa kughushi vyeti. Mbona ni kwa wananchi wa kawaida tu?

    HahahahhHH,masikini brooooh,daaah yamemkuta kaka mkubwa
  3. zubedasoud

    Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

    Ushasema ni kisiwa .means idadi ya wakazi wake haizidi 10milions,hivyo si jambo la ajabu sana
  4. zubedasoud

    RC Makonda: Kuna waumini 12 walipanga kunitupia majini

    Daah ,kwa mujibu wa katiba serial haina dini,ila haimzuii RAIA wake kuamin,sasa je hivi huyu kiongozi wa serikali kuamin ushirikina je ataweza kukemea maovu au uhalifu utokanao na ushirikina kama mauaji ya albino na vikonngwe,.....kwa imani hiyo sizani kama tutafika eseeee
  5. zubedasoud

    Amos Makala anafaaa kuwa Mkuu wa Mkoa bora, nashauri aletwe Dar

    Sijatumwa na mzee makala na wala hanifaham ila ni mtazamo na maoni yangu kutokana na utendaji kazi wake
  6. zubedasoud

    Amos Makala anafaaa kuwa Mkuu wa Mkoa bora, nashauri aletwe Dar

    Kutokana na utendaji kazi wa mheshimiwa Makala hasa katika utatuzi wa kero mbalimbali za wananchi, ikiwemo mgogoro wa soko la Mwanjelwa, madai ya wananchi na uwanja wa ndege na kupungua kwa kiasi kikubwa cha matukio ya uhalifu. Yote haya yamekuwa yakifanyika kwa weledi mkubwa na ufataji wa...
  7. zubedasoud

    Aina ya viongozi wa nje wanaoitembelea Nchi yetu awamu hii inasononesha

    Watz hamna shukran,kipnd cha baba ridhwani mlisema kuwa ,wanakuja wanyonyaji mfano ziara ya rais mstaafu bush wa marekana,mkazusha kapewa maeneo ya ardhi kwa msaada wake wa vyandarua,kuwen na shukran,jengen utamadun wa kupongeza mazur na sio ku base kwene lawama tuu
  8. zubedasoud

    Tuwajue watu wanao lazimisha sanaa iwe comedy, film, music, model &fashion hata wanajiona wametoka!!

    Mm nipo tofaut ila kuna mdda in video quin jina simjui,ila kwene video ya chafupoz na mwana fa,muziki ya darasa na nyingine nyingi ,anapenda kunyoa panky au spounseaar ,nikama msingida hiv yani ananiboa,yeye nikuchezesha tako muda wote, sio mbinifu ,alafu mavazi teeeeh hajui yani bonge LA...
  9. zubedasoud

    Mdudu hatari wa kauli ya" hakuna jiwe litakalosalia juu yajiwe"

    Nikwaida kwa wa tz kuwa na mihemko,Leo watakuja na hiki kesho like,hatmae tuhuma za dona zmepotea ndani ya ski,kiki mpya ni ya dogo janja wa dar,yaaani me sielew kipi no kipaombele kwa awamu hiij,siiahii kusema 2017,in mwaka wa kiki,no development ya chochote zaid ya kiki za msimu,mambo ya...
  10. zubedasoud

    Tunahitaji nini, maarifa ya mtu, cheti au jina?

    Mm nashaur ,nafasi za juu kama katibu mkuu,wazir na rc ,DC na wao wafanye intaview kama as tui
  11. zubedasoud

    Ngosha baada ya kuuza ng'ombe

    Wabeja nkoyiiiii,bhasukuma tunapendenza saaana,karbu unyatuzisin
  12. zubedasoud

    Vita ya Dawa za Kulevya: Steve Nyerere alivyopiga kambi Bungeni Kumuokoa Wema Sepetu

    Duuuh,kama ni kweleli sidhan kama nchi itafikia malengo mana duuu
  13. zubedasoud

    Watu wa kigoma wanafaidi sana cheki hayo mavituz.

    Ugali wa muhogo au nyange ni mtamu kwa migebuka au dagaa bichi hasa kipindi mvua inanyesha afu unetoka skull ,dah nakunbuka miaka kumi iliyopita
  14. zubedasoud

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Eneo Dodoma kisasa ,ukubwa 20*30 kimepimwa na CDA ,maeneo ya biashara,nichek0622376943
Back
Top Bottom