KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,758
- 39,493
Huyu namfahamu kabisa ni jirani yangu
Kweli nyie ni majirani wema....
Huyu namfahamu kabisa ni jirani yangu
anaweza kugombea hata urais akapata huyo. mbona wenzake wanapata uongozi?
They wishi they kudi bi kila kitu!
I wishi ai kuludi bi igp
Haha ongezea domi mbelesaint ivuga kichwa wazi
Umejuaje kama sio msukumaUmejuaje kuwa huyu ni msukuma.......!!??
Umejuaje kama sio msukuma
Kuna kabila fulani sitalitaja nadhani ndilo lako Mkuu Planett, hudhani wanajua sanaa. Kumbe ni washamba mnoo, tatizo kubwa hawajitambui!Wasukuma huwa haihitaji knowledge kubwa sana kuwatambua, wanajifanya much know kumbe kichwani hazimo
Jiwe limempata ngoshaKuna kabila fulani sitalitaja nadhani ndilo lako Mkuu Planett, hudhani wanajua sanaa. Kumbe ni washamba mnoo, tatizo kubwa hawajitambui!




Secondary ya kwanza usukumani ilijengwa mwaka gani? Muingereza hakujenga!