Tunahitaji nini, maarifa ya mtu, cheti au jina?

Maarifa na ukweli ndio yatakuweka huru,sasa kama hujawa mkweli basi maarifa yako hayana faida kwa jamii maana ipo siku utatumia maarifa hayo kuwaumiza wana jamii wenzako
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Hivi kwa nini mnaendelea kujitia moyo.Kwanza the fact that you do not have the appropriate certificate for whatever you are doing,means that you are not qualified to do that job.Why?This is simply because you don't have the necessary background knowledge.For one to be competent he needs both.Unapoijua theory ya unachofanya inakuweka kwenye position nzuri zaidi ya kufanya kazi yako.Jamani mtu ujue kuunda gari bila kuwa na knowledge ya gravitational forces.Si mgari wako utaua watu kila siku kwa kuanguka.Experience peke yake haitoshi, vyote vinahitajika. Tusijidanganye!Nendeni mkasome.Tatizo liko wapi?
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!

Kilaza aitwe kilaza tu na ijulikane kuwa ni kilaza.
Kuna watu waliwaita wenzao 'vilaza' kumbe sifa hiyo wanayo wao na wateule wao.

KUFOJI CHETI AU NYARAKA NYINGINE NI KOSA LA JINAI NA ADHABU YAKE NI KIFUNGO JELA.
 
Kama una ujuzi na maarifa ila umeiba cheti cha masikini mmoja huko kijijini, hufai kuwa mtawala na unafaa zaidi kuwa jela ukinyea debe.
 
Maarifa ni dhana dhahnia. Unayapimaje? Maarifa ya aina gani? Kuna mtu ambaye hana maarifa angalau katika jambo moja?

Tufuate vigezo vilivyowekwa katika kuyapima hayo maarifa na vigezo hivyo tukiona havifai tena basi tutafute vingine lakini mambo hayawezi kwenda hovyo hovyo tu!
 
Enzi zile ilikuwa kawaida mtu "aliyechaguliwa" kama anapenda kuwa fundi wa trekta la kijiji basi nafasi yake anampa mwanakijiji mwenzio ili fursa hiyo pale kijijini isipotee!
Yani huyo mtu aliechaguliwa anawakosea sana waalio mchaguwa.
Ukisha chaguliwa inabidi uheshimu waliokuchaguwa na kuacha wamchague mwengine kama wewe utapenda kuwa fundi wa tractor nasio kumpanafasiyako mtu mwingine kijijini.
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Mwambieni basi huyo babu yenu asimamishe uhakiki wa watumishi hewa na waliofukuzwa warudishwe kazini. Hii tabia ya kuropoka kama mmekula mirungi kwa sababu anayetakiwa kutoa uhakiki wa vyeti mnampenda ni upumbavu.
 
A or B or C, or even F in papers does not reflect anything in real life aspects. Kuna watu wanaendesha mitambo ya barabara ambayo sisi hatuitengenezi na wala hatujui ni lini..hata VETA hawajaenda lakini wazungu or even wachina wanapokuja kujenga miundombinu hapa kwetu ndo wanawatumia na mwisho wa kazi wanawapa best Certificates of service ambazo badae wanatumia tena kuombea kazi na hawatumii vyeti vya shule... Tutazame tofauti sasa..
 
Ni vizuri tukawa wakweli, kama mtu Jina sio lako basi sema Jina sio langu na nililipata kwa njia hii. Mbona yule Jidulamabambase alikuwa akisema wazi kuwa alirudia shule na Jina lililoko kwenye vyeti ni lile alilotumia kurudia.Tunahitaji watu wenye maadili kabla ya kuangalia vyeti au ujuzi.
Mwingine wa staili ya "Z" ni Mkumbo Madelu wa Ilboru Spesho Skuli.. aka Che Gwevala..
 
Kuna watu wana certificates of service na hawana hata cheti cha darasa la saba.. na wanafanya makampuni makubwa tu...
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Tunahitaji cheti kinachodhibitisha maarifa yako, kwa maana kama una cheti ambacho hukukipata kwa njia za panya ni dhahiri utakuwa maarifa ambayo watu wamejiridhisha na hakuna haja ya kukutilia shaka kama una maarifa au la
 
Back
Top Bottom