Hakuna jipya hapa,
Kwa maoni yangu tlaa!tlaa ni mtu mzima na yuko over 50y.o
Hii ligi ya millennials na Gen Z kwake ni ngumu.
Makanisa ya zamani tulikua, tunasifu, kuabudu, na kusikiliza neno. Makanisa ya siku hizi kuna kusifu,kuabudu,kusikiliza neno, kudadavua neno na kupima kama mchungaji...