Recent content by ZirlovimovicZirkov

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Kwa jinsi ninavyojifahamu ningempa akaunti namba aingize huo mpunga. Ningeondoka zangu. Zingepita siku tatu hajaweka mpunga namrukia hewani kudai. Wanaume hatudharauliani, wanaume tunashauriana. Ikishafika kwenye suala la ndoa, sisi wote ni wanaume na mwanamke inabidi amtii mumewe.
  2. Z

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Hawezi kutoboa 2030 kwasababu yeye ndio mwenyekiti kwenye chama chao na hizi mbio za 2030 naona zimekua kali sana na kwa uwezo wake hataweza kuhandle mambo akifika huko, kama akifika huko bhasi vita kubwa itaanzia ndani ya CCM alafu kwenye uchaguzi ndio tutaona mambo zaidi ya October 2030...
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Mkuu the deep state watakuwa wamefeli sana endapo wataruhusu kati ya Hawa wawili, hakuna mtu asiyejua uwezo mdogo wa msoga jr, Yule jamaa ni kijana mwenzetu ila hata kujieleza tuu mbele za watu anashindwa, sikiliza hotuba yake ya mwisho anayokandia katiba mpya, Kuna mambo hata kama unapinga ni...
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Kaka Yangu Nchimbi, kuwa makini sana. Unakumbuka siku tumekutana ukumbi maarufu Bangkuntien Brasilia?

    Mkuu hii umeiweka vyema sana. Hawa "the state" Kuna mahali walijisahau sana, walikiacha chama chakavu kifanye kinavyojisikia, zaidi sana wakamuacha Mr born town ajimilikishe wale vipepeo "stpter". Kwasasa the state ndio wanaotangatanga wanatafuta njia Bora ya kujinasua kutoka kwenye mtego wa...
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Sahihi mkuu, lakini sahivi mambo sio kama zamani tena. Tume ya uchaguzi Hadi leo haijaweka matokeo ya uchaguzi mtandaoni, nafikiri kuna jambo Bado linaendelea chini kwa chini. Lakini muda ni mwalimu mzuri ngoja tuendelee kujipa muda, kwa hali inavyoendelea lazima tuu watatema bungo.
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Sidhani kitu kama hicho mkuu, Hata kama Polepole alikua ni mmoja wao ila sidhani kama script ndio imeishia hapo, binafsi naamini karata bado zinachezwa, Polepole kama alikua ni sehemu ya script bhasi yeye aliwekwa front kupima upepo na kuwazindua watanzania kutoka usingizini. Polepole...
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Sidhani, ngoja tujipe muda mkuu. As long as CHADEMA wakikaza Uzi bhasi tutarudi hapa hapa. Na endapo wataendelea hivihivi bhasi tunaenda kuipoteza/kuiharibu nchi. Endapo watakaza shingo bhasi Tanzania haitakuja kuwa na uchaguzi tena, mambo ya October 29 sioni kama yameisha, watu wamejaza mambo...
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Brother, haya ndio yatakuwa mambo ya muhimu kwako katika siku zijazo

    Nafikiri hii code ni yule Mzee Mpango, kuhusu Nchimbi sio sahihi maana October 29 uchaguzi haukufanyika. Pia rejea Uzi wake aliyezungumzia code ya kustaafu lakini hutastaafu. Mpango alitangaza kustaafu siasa lakini tumeona ameteuliwa tena kurudi Ikulu kama mshauri ila binafsi naona kama ni...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Yes mkuu umenena. Mimi kipindi mdogo mtu alikua akiniuliza maswali ya shuleni nilikua simjibu, alafu kibaya zaidi nilichelewa sana kuongea so nilikua naelewa Kila kitu ila siwezi kuongea. Hii ilifanya niwe napigwa mno kitu ambacho kiliharibu sana uwezo wangu. Pia nilikua sipendi kwenda shule...
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Mkuu Hongera sana kwa changamoto ila namtamani sana huyo dogo, Angekuwa my best friend. Kwa maelezo yako nimejifunza kitu kwamba dogo anakitu special hasa ubongo wake upo very active and accurate ndio maana anamaster vitu mapema pia hapendi kurudia vitu vilevile maana tayari ubongo wake...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Mkuu hiki ni sahihi kabisa, Binafsi naamini ndoto hunijulisha mambo matatu Yaani Mambo yaliyopita, yaliyopo na yajayo. Mfano Kuna kipindi nilikua Tanga nalima, nyumba niliyopanga ilikua kijijini sana Yaani ushirikina wanafanya wazi na nje nje. Nikitoka shamba nilikua na tabia ya kukaa nje...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani katika hili? Msaada tutani

    Uzi ni bomba sana🤝
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoto Zinazoonyesha Mambo Yajayo Ni Kazi ya Ubongo au Ulimwengu wa Roho?

    Nipo hatua kwa hatua na comment kwa comment. Tena nashukuru sana maana Uzi Bado ni mpya na watu wanatiririka vizuri sana. Lakini mpaka Sasa page ya pili Bado watu wengi wanajibu ni kama ubashiri tuu Yaani hakuna fact unayoweza kuiweka sahihi kabisa kama ulivyouliza swali lako na mifano Yako...
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani katika hili? Msaada tutani

    Limefanyaje?? Au nikupe la mwisho uitwe ShesRise Zirkov🤑🤑🤑
Back
Top Bottom