Recent content by ZirlovimovicZirkov

  1. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Viumbe roho wanne wanaotawala dunia

    Mkuu, barikiwa tena sana. Umeongea kitu muhimu sana hapa, yote uliyoyasema yana uhalisia katika hali niliyonayo Sasa.
  2. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Nimeumizwa Sana Na Kifo Cha Mme Wa Rais Samia Hadi Kushindwa Kutulia Wiki Nzima . Watanzania Tumuombee Rais Wetu Katika Kipindi Hiki Kigumu

    Wakuu Lucas Mwashambwa Tlaatlaah Labda Leo nitakuwa tofauti na wadau wote humu, lakini naomba niseme yaliyopo akilini mwangu kuhusu ninyi ndugu zangu. Kwanza nikiri huwa napendezwa sana na tabia zenu na nitazifafanua moja baada ya nyingine. Pili nitawauliza maswali kutokana na hizo tabia...
  3. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Viumbe roho wanne wanaotawala dunia

    Mkuu pia wiki hiyo hiyo nikaota nimeenda showroom kununua gari, nikalipia gari ninalolitaka lakini wakati wananipa kadi na gari yenyewe nikaiona ni SUBARU FORESTER XT hii model mpya mayai mayai. Nikakataa kuchukua lile gari nikawa nabishana nao kwamba kama waliona fedha yangu ni ndogo...
  4. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Viumbe roho wanne wanaotawala dunia

    Mkuu shukrani sana na ubarikiwe sana. Nimekuelewa vyema kabisa.
  5. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Viumbe roho wanne wanaotawala dunia

    Mkuu Mshana Jr nimeota hii ndoto mara mbili ndani ya wiki moja Nini inaweza kuwa maana yake?. Mara ya kwanza, Nimeota nipo kwenye ofisi fulani alafu nikawakuta DONALD TRUMP na ELON MUSK, nikajikuta nampotezea TRUMP alafu nikaanza kuongea na ELON MUSK tukaongea mpaka tukatoka nje ya ile ofisi...
  6. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Mkuu Dunia nzima inaelekea kwenye Deflation kwahiyo nafikiri atatumia vizuri elimu yake ya uchumi. Pia najua unamkumbuka kipindi ni waziri wa fedha na mipango alifanya poa sana na shilingi iliweza kumaintain value against dola kwa miaka. Kuhusu vyuma kukaza ni lazima fedha iwe ngumu tuu, Hizo...
  7. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Mkuu hata ile ya Sheikh ni mbinu ya kijasusi pia. Kwenye yale maandamano Sheikh alitumika vizuri sana kununua ule msala😂😂😂 Kuna mtu alishawahi kuitumia kwangu nikajaa mazima pasipo kuelewa kuwa wanamambo yao chini kwa chini. Nimekuja kushtuka kwamba nimeuziwa msala ilikua mwishoni kabisa...
  8. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Sawa mkuu, naomba nikuelewe kijentromen.
  9. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Hakuna jipya hapa, Kwa maoni yangu tlaa!tlaa ni mtu mzima na yuko over 50y.o Hii ligi ya millennials na Gen Z kwake ni ngumu. Makanisa ya zamani tulikua, tunasifu, kuabudu, na kusikiliza neno. Makanisa ya siku hizi kuna kusifu,kuabudu,kusikiliza neno, kudadavua neno na kupima kama mchungaji...
  10. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Mkuu nakubali maoni yako lakini Je! Huoni kama dunia imeshabadilika? Binafsi sioni ubaya wowote watu wakijua haya mambo as long as wasivunje Sheria za nchi. Pia ujasusi umehamia kwenye Tech, huu tunaozungumza hapa umeshakua wa kizamani. Hizi smartphone ndio ujasusi wenyewe. Swali la kizushi...
  11. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Shukrani sana mkuu.
  12. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Yes! Mkuu nakubali kabisa. Hii ni Data Analysis, yaani naisambaza taarifa Fulani alafu naweka attention kujua maoni ya watu au watu wanaelewa vipi juu ya hiyo taarifa.
  13. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Mkuu tuamini kwamba mbele kuna mwanga. Hiyo makamu mpya wamemuweka kwasababu tuu ila Hana ndoto za uraisi na hatokuja kuwa raisi. Kazi ngumu iliyobakia ni kuutoa mguu wa CHEMBA. In short hakukuwa na uchaguzi last year. Isdory ndio mpango
  14. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Mkuu nakusalimu, Kwa uelewa wangu mdogo labda ningeanza na neno maana ya UJASUSI, hii kazi anayoweza kuifanya mtu, mnyama, ndege au kifaa ili kupata taarifa fulani zenye uhakika(taarifa sahihi,UKWELI WA JAMBO) JASUSI; Mara nyingi tunamuweka ni mtu, lakini huyu mtu anaweza kutumia kifaa...
  15. ZirlovimovicZirkov

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Mkuu bado nakazia huyo ni Isdory mpango mzima. Kumbuka kuhusu kustaafu na kurejeshwa Ikulu.
Back
Top Bottom