Apo mkuu kuna menu ukibonyeza inatokea maneno ambaye yanamtaka mhusika aweke namba ya siri then jamaa anamwambia aweke namba ya siri yeye bila kijua baada ya apo inaleta sms ile sms inapokuja inakuwa ina namba ya siri kwahiyo wakala anafungua ile sms anasoma fast then anafuta ....pole sana mkuu...
Acha mawazo ya kufikiria unahera ipo kwa mzee....Anza upya utabarikiwa sana hizo hera usifikiria ata kdg ingia kitaa upambane...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu,ila hiyo hali inawakuta watu wengi sana cha kufanya,
-Mshukuru mungu kwa uzima ata kama unapitia magum kiasi gan.
-Unapo anzisha mradi au biashara yeyote ile usitegeme faida yeyote ifanye kama unajitolea baada ya miezi kazaa utaaza kuona faida
-Kuwa na subira nayo mhimu vilevile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.