Recent content by ZINDIKO

  1. Z

    Mbatia aiteka Vunjo

    JAMANI MREMA,MREMAAA HAHH MREMAA MREMAAA AA MREMA,Wengine wanalalamika eti, Mrema kawaingilia, wengine wanasema Mrema kavuka mipaka, ni mipaka gani hiyo ndani ya nchi? Ni mipaka gani hiyo?
  2. Z

    Interview African Barrick

    Education for Certificates hii ndiyo shida
  3. Z

    Chezea wahaya usichezee vyeo vyao watakutafuna leo nimechoka hoi

    Mwenyekiti:Tumekubariaana single ni laki moja na double ni Laki na nusu full stop Mjumbe:Mwenyekiti hii si sawa kunawatu wamechanga elfu sabini wasipew kadi?? Mwenyekiti:Hao waliotoa sabini tutawapa shukurani tu,Katibu funga kikaa mimi nawahi UDSM nina presentation Hiki kilikuwa kikao cha...
  4. Z

    Kwa Mzee wa Upako ni magari tu?

    Nimekuwa nikiangalia mahubiri ya mzee wa upako,kila muumini anaye kwenda kutoa ushuhuda utasikia '' Mimi nilikuja hapa sina gari ila sasa na magari matatu na nyumba mbili'' Sijapata kusikia muumini hata mmoja aliyesema ''Mimi Nilikuwa na kabiashara cha kuuza mchicha kwa kutembeza kwa miguu ila...
  5. Z

    Kwanini wanywa kileo wanachanaga lebo kwenye bia?

    Waiter wape mbili mbili hao , Mzee wa mbili mbili ameingia
  6. Z

    Vyuo vikuu kuandama wiki nzima kuanzia sasa kushinikiza malipo yao ya field !

    Hii tuliweza sisi tuliopita miaka 90's wanafunzi wa sasa hawezi
  7. Z

    CECAFA Kagame Cup 2014, Rwanda

    Tatizo la Azam strikers wao walishindwa kutumia vizuri nafasi walizopata ,hapa TZ tunatatizo la washambuliaji ugonjwa huu sijiu lini utapona
  8. Z

    Hivi John Bocco ana hisa Azam?

    Yule alikuwa wakutolewa mapema ,hapa TZ hatuna striker kabisa ,kama ndiyo tunamtegemea kwenye national team kwa kiwango kile tunakazi kubwa sana ,alitengewa pasi safi na Didier anapiga mpira hovyo kabisa ,nafasi kama zile utakiwi kufanya makosa ,anacheza bila malengo sijui hafuati malekezo ya...
  9. Z

    Polisi wa Salenda Bridge wanabambikia kesi

    Hao noma walishanibambikia kesi nimeiingilia msafara wa makamu wa raisi ,wakanisweka ndani ,kesho kuja kutoka wakala kilo na nusu,
  10. Z

    Natafuta soko la asali

    Wadau natafuta soko la Asali,kwa anaye fahamu anijulishe
  11. Z

    Kwanini unaendelea kupanga nyumba za wenzako wakati unaweza kua na yako?soma hapa tujadiliane

    Ukiona mtu anakimbilia kujenga huo ni woga wa maisha tu,Kula bata kwenda mbele ,
  12. Z

    Mengi na gesi ya Mtwara

    Mkuu Diver,umenena kweli,fanya costs analysis ya kuendesha mgodi kama wa GGM pale Geita ,utapata picha JE kweli huyu Mengi ataweza kule kwenye GAS ,tuache siasa jamani,
  13. Z

    WAGANGA 3 kienyeji TEMEKE wakutwa na chupi 22 za wateja

    Huyo Dk Nkuba amesambaza vibao vya matangazo yake vingi sana hapa DSM
  14. Z

    Uvaaji wa hijab kwa wanafunzi wa sekondari Tanzania

    Swala la kuvaa hijab siyo tatizo,waachaneni wavae,chamsingi hapa tuangalie uniform inachangia vipi katika ufaulu kwa mwanafunzi Je asiyevaa hijab anapata fursa sawa na anayevaa ?? Kama wote kitaalum wako sawa,sidhani kama kuna chasimngi hapa cha kuhoji kwanini hawa wanava hijab,
  15. Z

    Wapi kuna taarab leo Jumatano?

    Bunyero ndiyo nini tena???
Back
Top Bottom