mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,140
- 3,451
Napenda taarabu asilia sio za sasa vidole juu
Haa haa haa CD haitoshi mie nataka kidole juunjooo kwangu tuweke SIDII
Mie kujirusha muda wowote tu..Hata wikendi haijafika mnajirusha,,,,,!!
Wewe baharia vp kwani taarabu ni jinsia? Mie ni me..we ni ke au me?
haa haa haa cd haitoshi mie nataka kidole juu
Nataka kujifurahisha leo na taarabu kama kuna anaejua kumbi za taarabu na ratiba ya leo jumatano anijuze.
Haya nipe direction nifate hiyo miunohutaki maunooo teketeke
Bunyero ndo kitu gani?Maisha club,kuna bunyero
Totoz ndo zinapeleka watu huko kwenye rusha roho na mipasho wewe unafikiri wanafuata starehe ya mwambao?! la hasha, yaani ni totozi kwa kwenda mbele huko kwa ninavyosikia au ngoja niwe muwazi tu kifupi ufuskaHata wikendi haijafika mnajirusha,,,,,!!
njooo kwangu tuweke SIDII
Badala ya kidole juu itakuwa sime na rungu juu hapa!
ha!kwani na wewe unapenda taarabu!Nije mm...?
Ndo mnayoyaweza hayo! Na kuagiza chips-yaiNipo dar mkuu
Nataka kujifurahisha leo na taarabu kama kuna anaejua kumbi za taarabu na ratiba ya leo Jumatano anijuze.