Mengi na gesi ya Mtwara

Mengi na gesi ya Mtwara

Hadi sasa sijaona msingi wa Mengi kutopewa nafasi ya kutafuta na kuchimba gas Mtwara. Kwa utajiri wa USD 550 million anaweza na ana haki ya kufanya hivyo ndani ya nchi aliyozaliwa. Sijajua kwanini serikali huwa inamnyima huyu mzee nafasi nyingi ambazo huwa anakuwa ana uwezo nazo au wadau kuna kitu tofauti nyuma ya hili.......

You dont know what you are saying. Hizo ndo unaona hela za kuwekeza kwenye gesi
 
Huko nako ameshaenda danadana tu we unadhani mpaka analalamika huko hajafika? Na kilimanjaro hotel alitakiwa aende TPDC pia? Wamezidi kumfanyia chuki huyu bwana mpaka watu wa kawaida tunastuka
Kama kaenda na huko TPDC kushindanishwa na bado danadana basi ni mbaya sana , sie watz haki ya Mungu bado sana kama ni hivyo lakini!
 
Through his assets he can get loan anywhere in the world and invest there he has wider chance than how you are seeing...
 
Huko nako ameshaenda danadana tu we unadhani mpaka analalamika huko hajafika? Na kilimanjaro hotel alitakiwa aende TPDC pia? Wamezidi kumfanyia chuki huyu bwana mpaka watu wa kawaida tunastuka

Sina uhakika kama amefika huko, lakini kwa ajili ya maongezi tu, tuchukulie inawezekana kuwa amefika lakini hakukidhi matakwa ya vigezo vilivyowekwa.

Mengi angekuwa amekidhi vigezo na kanyimwa na ana media yake mwenyewe si angeijaza hayo hayo tu?

Fikiri!
 
Sina uhakika kama amefika huko, lakini kwa ajili ya maongezi tu, tuchukulie inawezekana kuwa amefika lakini hakukidhi matakwa ya vigezo vilivyowekwa.

Mengi angekuwa amekidhi vigezo na kanyimwa na ana media yake mwenyewe si angeijaza hayo hayo tu?

Fikiri!

Uwezo anao tena mkubwa sana suala ni kwamba gas ndio kwanza imegunduliwa na Mengi hajawahi kuchimba wala kufanya shughuli hiyo utakapomshindanisha na makampuni ya kichina na kijerumani yaliyofanya kazi kwa muda mrefu katika sekta hiyo yatamshinda lakini angepewa nafasi kama mzawa na mtu mwenye capital ya kufanya ile kazi kusingekuwa na mada hii hapa jambo mambo mkuu ni UZAWA,UZALENDO NA NYUMBANI kwanza.
 
"With deepwater drilling rig rates is around $420,000/day and similar additional spread costs, a deep water well of duration of 100 days can cost around US$100 million"

Hapo ndio ujue kwanini watu wanamwambia mengi hana uwezo wakuchimba gas.sababu gas kuchimba sio kama unachimba maji asubui jioni unapata. Hakuna mtanzania yoyote anayeweza kuweka $100m in 3 month halafu atoke ola, duniani makampini makubwa yakuchimba gas n mafuta ya exxon,chevron na shell yana invest more than $30bn per yr na yanapata hasara vilevile.
Kwahiyo muhongo anaposema hatuwezi kuchimba gas tusilete ubishi twendeni tutafute ukweli.kuna maswala mengine hayaitaji uzawa ila akili zakuzaliwa tu na kufikiri.
 
Mkuu Diver,umenena kweli,fanya costs analysis ya kuendesha mgodi kama wa GGM pale Geita ,utapata picha JE kweli huyu Mengi ataweza kule kwenye GAS ,tuache siasa jamani,
 
Hadi sasa sijaona msingi wa Mengi kutopewa nafasi ya kutafuta na kuchimba gas Mtwara. Kwa utajiri wa USD 550 million anaweza na ana haki ya kufanya hivyo ndani ya nchi aliyozaliwa. Sijajua kwanini serikali huwa inamnyima huyu mzee nafasi nyingi ambazo huwa anakuwa ana uwezo nazo au wadau kuna kitu tofauti nyuma ya hili.......

Huyo anataka udalali tu aache Professor afanye kaz,mimi binafsi naona pro ana nia njema!
 
Hili Suala waziri aliliweka wazi sana tu.
Hakuna Tajiri wa Tanzania anaeweza kuwekeza kwenye mradi wa Gas kwa hatua hii.
Sasa sijui kama watu walifuatilia au ndio ushabiki tu.
Hata kama wawekezaji kutoka nje wanakuja na kuwekeza na kupeana pesa lakini ifahamike kwamba wao na Nchi zao wana Sera zao.Na kama suala ni hilo basi atafute wenzie wajiunge na sio Udalali.
Tatizo nikwamba kumekuwa na tabia ya watanzania kuingia ubia na wageni huku wao wakiwa hawana kitu ili yule Mgeni asilipe kodi stahiki.
Mfano hata huku Zanzabr,kuna wawekezaji wa Nje wamechukua watu wa hapa ili wawe wabia na share kubwa iwe ya raia ili kodi walipe chenga na unga.
Huu mchezo upo hadi kwenye miradi mikubwa.
 
Atachimba kwa kucha? hana utaalaam wala ujuzi wala pesa za kutosha.

Si aliambiwa kama ametimiza vigezo aende TPDC kilichomshinda ni nini?

Huyo ametaka kuwa dalali wa kampuni za kigeni, kazi ambayo TPDC wenyewe wameiweza na bado wanaiweza.

Tatizo lakokwa Mengi ni imani yake na kabila lake na ndio maana unatuwekea picha za mabwana wenu wa kiarabu hapa.
 
Hili Suala waziri aliliweka wazi sana tu.
Hakuna Tajiri wa Tanzania anaeweza kuwekeza kwenye mradi wa Gas kwa hatua hii.
Sasa sijui kama watu walifuatilia au ndio ushabiki tu.
Hata kama wawekezaji kutoka nje wanakuja na kuwekeza na kupeana pesa lakini ifahamike kwamba wao na Nchi zao wana Sera zao.Na kama suala ni hilo basi atafute wenzie wajiunge na sio Udalali.
Tatizo nikwamba kumekuwa na tabia ya watanzania kuingia ubia na wageni huku wao wakiwa hawana kitu ili yule Mgeni asilipe kodi stahiki.
Mfano hata huku Zanzabr,kuna wawekezaji wa Nje wamechukua watu wa hapa ili wawe wabia na share kubwa iwe ya raia ili kodi walipe chenga na unga.
Huu mchezo upo hadi kwenye miradi mikubwa.
Na huo ni ubinafsi wa kutaka kujinufaisha mtu mmoja huku taifa likikosa mapato ambayo yangenufaisha wtz wote! nampongeza pro kwa kukata hiyo mirija pia na wasihi mawazir wa fedha wawe na msimamo km wa professor ili makampuni ya nje yalipe kodi ipasvyo yaache kujificha katika migongo ya wazawa ili kukwepa kodi
 
Hadi sasa sijaona msingi wa Mengi kutopewa nafasi ya kutafuta na kuchimba gas Mtwara. Kwa utajiri wa USD 550 million anaweza na ana haki ya kufanya hivyo ndani ya nchi aliyozaliwa. Sijajua kwanini serikali huwa inamnyima huyu mzee nafasi nyingi ambazo huwa anakuwa ana uwezo nazo au wadau kuna kitu tofauti nyuma ya hili.......

acha kampen za ajabu muhongo kasema mwenye kuweza kushindana wakutane kesho asubuh pale tpdc mshauri mengi aende kama ana sifa
 
Tatizo lakokwa Mengi ni imani yake na kabila lake na ndio maana unatuwekea picha za mabwana wenu wa kiarabu hapa.

Kwahiyo wamepewa kabila gani na dn gan? hilo ndg hlifichiki matajir wakubwa ndo wanaoikosesha serikali mapato kwa kutaka kupandilia ganji kwa makampuni ya nje huku wakipata misamaha ya kodi isiokuwa na maana kwa taifa
 
Jina lingekuwa Abdurahman,Mohamed,Athumani na mengineyo kama hayo ungesimamia kucha kuzungumza kinyume chake...sijui kama nimekosea!!!!

Don't shout, argue insteAd


Sent from my iPhone4 using JamiiForums
 
Na huo ni ubinafsi wa kutaka kujinufaisha mtu mmoja huku taifa likikosa mapato ambayo yangenufaisha wtz wote! nampongeza pro kwa kukata hiyo mirija pia na wasihi mawazir wa fedha wawe na msimamo km wa professor ili makampuni ya nje yalipe kodi ipasvyo yaache kujificha katika migongo ya wazawa ili kukwepa kodi

Hongera prof. Mengi alitaka kututapeli gesi yetu
 
Aongeze shareholding yake Swala Energy nao Wanafanya oil exploration.
 
Nchi hii balaa kama hujui...mzawa hatoi 10% ndiyo maana wanataka atoke nje ili atoe na Mengi alianza kukosa Kilimanjaro hotel sidhani kama atapata vitalu vya gesi labda akampe deal mwana mfalme Oman aje aombe na yeye anunue hisa
 
Kwa mtindo huo huo alipewa kiwanja ajenge makao makuu ya kampuni zake badala yake akamuuzia mtindi#
 
Nchi hii balaa kama hujui...mzawa hatoi 10% ndiyo maana wanataka atoke nje ili atoe na Mengi alianza kukosa Kilimanjaro hotel sidhani kama atapata vitalu vya gesi labda akampe deal mwana mfalme Oman aje aombe na yeye anunue hisa

Pale Kilimanjaro aligoma kutoa hiyo 10% mwenzake akatoa Suti ha ha ha


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Back
Top Bottom