![]()
![]()
Mwenyekiti wa NCCR Mh James Mbatia leo amehutubia umati wa wana Jimbo la Vunjo.
Kuna kila dalili za kun'goka kwa Lyatonga.
Nzee wa Kiraracha upooooo? Sema tukusikie nji yako hii, usipandishe kisukari hayo ni malipo ya usaliti kwa watu wanaokuheshimu njini. Natoa siku 7 ujibu mapigo
Naomba kujua uhalali wa hilo gari aliloingia nalo ...au ni la yule dada yake mbunge wa east africa? Kingine kimeniacha hoi ni hao mabaunsa wake ... wameiga kwa mbowe ... mbwembwe tupu ... but kiukweli bado sina imani sana na mh. huyo kama ni kweli ni mpinzani ama? i am sorry for that.Mwenyekiti wa NCCR Mh James Mbatia leo amehutubia umati wa wana Jimbo la Vunjo.
Kuna kila dalili za kun'goka kwa Lyatonga.
Aliazimwa gari na Dokta DauNamba za gari lililombeba Mbunge wa Vunjo Bw.Mbatia (NCCR) zimenishangaza kidogo!
![]()
Labda ni Namba za tiss
Ilikuwa mwaka gani huo?Namba za gari lililombeba Mbunge wa Vunjo Bw.Mbatia (NCCR) zimenishangaza kidogo!
![]()
Za kawaida tu hazina shidaKama hujui basi naibu waziri wako wa afya nae 2001 aliongoza mgomo wa Madaktari, tena ni mwanaCCM mwenzako! so hilo suala la mgomo ona aibu kulizungumzia hapa poyoyo wewe. Ukiwa mjinga uwe na kumbukumbu.