Polisi wa Salenda Bridge wanabambikia kesi

Polisi wa Salenda Bridge wanabambikia kesi

big mike

New Member
Joined
May 28, 2009
Posts
4
Reaction score
0
Nimekerwa na kilichonitokea baada ya police kusimamisha na kudai nimepitaa taa nyekundu Waikati ilikuwa ni kijani. Kama police wanaweza kutunga vitu Kama hivi kupata pesa,kweli watashindwa kukupa kesi ya mauaji. Unalipishwa faini ukubwa Kwa kosa hujalifanya. Tunajua kazi Ngumu lakini sio kutumia cheo kupata hela za wasio na kosa.
Kuweni makini madereva mkipita maeneo Yale.
 
Hao noma walishanibambikia kesi nimeiingilia msafara wa makamu wa raisi ,wakanisweka ndani ,kesho kuja kutoka wakala kilo na nusu,
 
Nimesimama...
Akili inatuma kusema na wee simama... sikiliza ninachosema...
Nimesimama...
Akili inatuma kusema na wee simama... sikiliza ninachosema...

Nafungua macho....
Naona kitu ambacho...
Kwangu kama kiwingu... polisi anakuja na pingu...
Ukilemaa anakupa kesi....
Utakuja kumuona nuksi...
 
Back
Top Bottom