Recent content by Zimbalala

  1. Zimbalala

    Nauza samaki kutoka Mwanza

    Mawasiliano.....
  2. Zimbalala

    Ameniambia tupo kwenye mahusiano lakini hana 'feelings' na mimi

    Usilazimishe kuwa nae karibu au kufanya nae chochote....ana tatizo la huyo...trust me baade litamuisha hilo tatizo the she will come back...but unaeza fanya hivyo only and only if you real love her....!!tatizo lake huwez lijua mpka akubali kuwa muwazi ndo utapata solution
  3. Zimbalala

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Nadhan we ndo wa bush....unakurupuka...tunazungumzia maendeleo b4 30yrs....we unashangaa nini...
  4. Zimbalala

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Mkuu kabla haujamiliza chuo ulikuwa na gari na kampuni....mtaji wa kuanzisha kampuni na kununua gari ulitoka mfukoni mwako au support ya family?? Mtoa mada kasema vitu vya kwako si support (kupewa mtaji) au vya kurithi...hapa tunazungua wale waliostruggle wenyewe tu hao wengne ni out of this
  5. Zimbalala

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Kuna mtunamjua (family frnd) mshahara wa lak 9 na bonus over lak 3....so kwa mwezi hakosi 1.3 mpk 1.5 lakini duuh...anaishi kishua sana...ndani mwake ana kitanda na godoro,friji,flat screena na iphone 6plus...so inategemea na akili ya mtu
  6. Zimbalala

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Good for you if ts true.......
  7. Zimbalala

    Kuna under 30 anayemiliki gari na nyumba?

    Y Yeah true....kupitia education ni ngumu sana japo kuna uwezekano mdogo mnoo...
  8. Zimbalala

    Uonezi katika udahili 2017, Maombi chuoni na kila chuo unalipa

    Yaan admission fee per one university ni elf 50?
  9. Zimbalala

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Mtoa mada fanya research ndo uandike...Mwanza hakuna chuo kimoja mkuu...kuna BUGANDO chuo cha afya,SAUTI,IFM mwanza branch,MZUMBE mwanza branch na CBE, pia kuna UCC!!!....isitoshe huko kugraduate msukuma peke yako may be chuo chenu...acha kuropoka mkuu....!!masuala ya Gwajima na Makonda...
  10. Zimbalala

    Walokole mnaoimba usiku mnene Mungu aliwaambia kuwa Yeye hapendi usingizi?

    Acha dharau kwenye imani za waty aisee...utaishia kubaya....!!kama unaona Mungu wao si wa kweli kaa kimya kuliko kumdhihaki...by the way haujui na hauna uhakika yupi ni Mungu wa kweli kati ya MUngu wao na wako...
  11. Zimbalala

    Magufuli wana hasira na wewe, mpe Makonda Unaibu Waziri Mkuu, anaweza

    Kati ya wana jf wasiotumia akili ni wewe...kwahiyo watu wasimseme kama kagushi vyeti???..wafanyakazi wa umma wasilalamike kukatwa asimilia 15 ya mshahara??...eti hayo yote kisa makonda...umeandika upuuzi sanaa mukuu
  12. Zimbalala

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    huyo wa kusho huyonwa kushoto kama simuelewi vile
  13. Zimbalala

    Baba yangu huwa ananibaka

    Aiseeee....kazi ipo
  14. Zimbalala

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    harafu huyu jamaa mwenye huu uzi alianza na uzi mwingine anasema Mchungaji Gwajima kasema uongo hakuna cheti ya division zero.....huyu ni kada wa Daudi
Back
Top Bottom