La mujar
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,586
- 1,793
Msaada upi sasa, maana haeleweki anayosema ni kweli au uongoHuyu binti anahitaji msaada wa haraka katika maisha yake, hata tukiacha na ya topic ya leo.
Msaada upi sasa, maana haeleweki anayosema ni kweli au uongoHuyu binti anahitaji msaada wa haraka katika maisha yake, hata tukiacha na ya topic ya leo.
Wewe mtoto mtoa mada kuwa adab usiseme baba anakubaka sema mkulima anakula mbegu!
!!Umepoteza muda wako bure kutype ushauri kwenye story ya kutunga.huyu DOGO kalaniwa. Pitia threads zake za nyuma utamgundua ni mtu wa namna ganiHaya maneno uliyoandika hapa mtumie mama yako;
Na kama ni kweli naona dalili ya wewe kujinyonga
huyo baba yako ni shetani;
Mie mwandiko wake tu umenifanya ht nikose attention na huu Uzi wake.Ndiye yeye huyu baadhi ya threads zake ziko very questionable. Sijui kama alichoandika kina ukweli.
We kumbe ni mwongo e,story zako ni za kutunga...kuna nyngne nmeiona unalalamika baba yako anaku2mia text za mapenz akdhan anam2mia mama yako ila unaogopa kusemamara ya kwnza christmas alikua amelewa amerud nyumban ucku akanfata chumban akanfanyia kwa lazma mama hakuepo nlibak na wadogo zng, aliponfanyia ivo akawa anakimbia km akibaki nyumban anabaki room antoka kdogo anarud room alporud mama akawa anaendelea kukimbia atoki room km akiwa nyumban. mi nkamwambia mama nataka nhamie hostel niwe narud nyumban holidays na cku 1 weekend mama alkubal baba akakataa nkanyamaza ckumwambia mama. aendagi kazin j2 jana ameenda amesahau files nymban amemwambia mama nmpelekee nmefka amenkamata kwa nguvu akanbaka tena leo asubuh ametupeleka shule km aktupeleka shule ananza kunshusha mm alafu anawapeleka wadogo zng leo ameanza kuwashusha wao alafu akanpeleka mm ameongea nicmwambie mama au m2 mwngne nkiwa nashuka ananiambia nimkiss mdomo nataka nimwambie mama naogopa nkikaa nicmwambie atanfanya tena nmeanza kumuogopa hta nkickia saut yk na naogopa kumwambia mama ntaman npotee niende mbal lakn cwez