Nilikuwa na hili tatzo pia! Ila all in all mara nyingi ni nyama za pua. Nenda kitengo cha ENT hospital kubwa watakupa majibu sahihi kama ni ugonjwa au kilema chako
Watu wengi wamempinga mleta maada sababu hawakutaka kushughurisha akili zao. Kiukweli kujenga nyumba while bado huna sehemu ya kukuingizia kipato, mfano biashara ni uoga wa maisha. Hili nilikuja kulielewa tayari nimeshachelewa acha tuishi humo humo. Ila kumbuka nyumba ya kuishi si Assets...
Asimilia kubwa utumishi wapo fair sana. Kasoro na makando kando hayawezi kukosa ila ukweli wengi tumepata kupitia utumishi bila wakala.
Wote wenye imani tofauti hebu jaribuni kitu kimoja. Mnapoona nafasi zimetangazwa anza kusoma kabla hata hawajaita written. Mimi nilifanyaga hivo nilipoomba tu...
Makusanyo duni. Kundi kubwa la wanufaika bado wanatanga tanga mtaani
Either Serikali ili Refund mfuko OR kutoa ajira mpya Bodi wapate Client wengi kuongeza makusanyo.
Tumia omoprazole miezi 3, nusu saa before ya kula au baada ya kula. Kula kwa wakati epuka kula vyakula vyenye acid na fanya mazoezi. Unapopata muda kula sana kabichi ya kuchemsha plus bamia au juice yake.
Siyo daktari ila ni ushauri tu niliozingatia kutoka kwa doktar mmoja ivi nje ya tiba...
Shukuru Mungu bado unamwona hata kama yupo kwenye hali hiyo. Hakika akiondoka utamkumbuka sana. 3 month unalalamika wengine tuliuguza 5 years anafanyiwa kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.