BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,355
- 8,043
Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson ametoa agizo hilo Leo Novemba 1, 2022 baada ya kuwahoji Wabunge ambao kwa pamoja wamepitisha Azimio la kuitaka Serikali ihakikishe Wanafunzi wenye vigezo wanaendelea na Masomo.
Hatua hiyo inakuja baada ya kuwepo taarifa za Wanafunzi wenye vigezo vya kupata mikopo, kuzuiliwa Vyuoni kutokana na Bodi ya Mikopo kutowapa au kuchelewesha Mikopo yao.
Spika Tulia amesema Wanafunzi wote wenye vigezo vya kupata Mikopo warudi vyuoni na Serikali ihakikishe wanapokelewa wakati ikiendelea kutafuta fedha.
Hatua hiyo inakuja baada ya kuwepo taarifa za Wanafunzi wenye vigezo vya kupata mikopo, kuzuiliwa Vyuoni kutokana na Bodi ya Mikopo kutowapa au kuchelewesha Mikopo yao.
Spika Tulia amesema Wanafunzi wote wenye vigezo vya kupata Mikopo warudi vyuoni na Serikali ihakikishe wanapokelewa wakati ikiendelea kutafuta fedha.