Wewe leta story kaka watu tunasubiri hapa kwa hamu,tumejifunza tutakua tunalike maana mimi nilikua nasoma tu bila hata kulike wala kucomment ila nimefatilia toka mwanzo mpka sasa nimeamua namimi kucomment😃
Habari mkuu...naomba msaada wa kisheria kwenye hili suala..👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Tulikua tuna nyumba ya kurithi,sasa tukaamua kuiuza XXXM.,july 2019...mteja tuliemuuzia hakua na cash hivyo akatuomba atulipe kwa instalments,akatoa gari yenye thamani ya 30M then akatoa na 15M cash,then akaahidi...
Mtaji wangu umekata mpaka kupelekea kuuza kuku wa mayai wapo 540(mia tano arobaini),bado wiki mbili waanze kutaga..nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3.
SABABU.
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi..
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu.
Nauza kuku wa mayai wapo 540 (mia tano arobaini), bado wiki mbili waanze kutaga. Nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3.
SABABU:
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi.
LOCATION: DODOMA
Habarini wanasheria,nina pikipiki zangu nlikua nataka niwape madereva kwa mkataba,kwamba wanipe 10k kwa siku then baada ya mwaka mmoja nawaachia pikipiki.
Sasa naomba kujuzwa jinsi ya kuuandaa mkataba huo ili uwe kisheria zaidi,ili unapovunjwa hatua stahiki zichukuliwe
Asanteni.
Habari ya leo ndugu wakulima,naomba kujuzwa kuhusu kilimo hichi hasa kwa mikoa ya iringa na mbeya
-upatikanaji wa mashamba na gharama za kukodi kwa ekari
-gharama zake mpaka kuvuna
-msimu wa kilimo icho kwa mkoa husika
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.