Zillionaire_tz
Member
- Sep 11, 2016
- 31
- 37
Mtaji wangu umekata mpaka kupelekea kuuza kuku wa mayai wapo 540(mia tano arobaini),bado wiki mbili waanze kutaga..nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3.
SABABU.
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi..
SABABU.
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi..