Zillionaire_tz
Member
- Sep 11, 2016
- 31
- 37
Week kadhaa sasa ukifungua inaload tu,department ya informatics mmekuja kulala au sio
hawajaweka bado hata kwenye profile zetu naona bado so tuvute subra mkuu kila kitu kitakaa sawaJana nipo intaneti kaingia kijana anataka kupakua joining instructions 2019/2020 ikagoma,akaomba msaada kwangu ikagoma.
Mhudumu akaitwa asaidie ikakataa.
Je,hizo joining instructions zimeshawekwa mtandaoni au bado?Zinafunguka au LA?Mpaka lini zitawekwa na ili vijana wazipakue na kuzifanyia Kazi?
Wanaohusika tunaomba mrejesho ili vijana wetu waache kushinda Intaneti Kefu na kuliwa hela.
Kwahiyo mkeka umetiki😂Mimi nilitaka kuapply lakini kwenye kutoa namba ya kulipia wakafeli, ajabu nimesubmit bila kulipa elfu kumi yao maana deadline ilikuwa imefika lakini walinichagua, nilishangaa
hawajaweka bado hata kwenye profile zetu naona bado so tuvute subra mkuu kila kitu kitakaa sawa