Zillionaire_tz
Member
- Sep 11, 2016
- 31
- 37
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza hapo juu.
Nauza kuku wa mayai wapo 540 (mia tano arobaini), bado wiki mbili waanze kutaga. Nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3.
SABABU:
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi.
LOCATION: DODOMA
Nauza kuku wa mayai wapo 540 (mia tano arobaini), bado wiki mbili waanze kutaga. Nawauza kwa bei ya jumla sh.MILLION 3.
SABABU:
Hii ni baada ya kukosa hela ya kuendelea kuwahudumia baada ya kusimamishwa kazi.
LOCATION: DODOMA