Zillionaire_tz
Member
- Sep 11, 2016
- 31
- 37
Habarini wanasheria,nina pikipiki zangu nlikua nataka niwape madereva kwa mkataba,kwamba wanipe 10k kwa siku then baada ya mwaka mmoja nawaachia pikipiki.
Sasa naomba kujuzwa jinsi ya kuuandaa mkataba huo ili uwe kisheria zaidi,ili unapovunjwa hatua stahiki zichukuliwe
Asanteni.
Sasa naomba kujuzwa jinsi ya kuuandaa mkataba huo ili uwe kisheria zaidi,ili unapovunjwa hatua stahiki zichukuliwe
Asanteni.