Zillionaire_tz
Member
- Sep 11, 2016
- 31
- 37
Ni kosa lolote la jinai ambapo utakutwa hatiani mahakama na kufungwa kwa muda unaozidi miezi sita.Wakili,hivi kisheria Tanzania ni kosa gani na kifungo kipi humzuia mtu kugombea uongozi kama urais,ubunge na udiwani? Nilishswahi sikia eti ukifungwa miezi sita hurusiwi kugombea ukweli upoje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana,wakili msomi.Ni kosa lolote la jinai ambapo utakutwa hatiani mahakama na kufungwa kwa muda unaozidi miezi sita.
Habari zenu wakuu, me nna swali kuhusu ardhi, mimi ni diaspora lkn kwa sasa nipo kwenye mchakato wa kutafta kiwanja ili nijenge kibanda changu, lkn swali langu ni diaspora wanaruhusiwa kumiliki ardhi ama ndo maujanja maujanja 2
Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi na haruhusiwi.naombeni kuuliza wakuu,,, hivi hakimu wa mahakama ya mwanzao ambaye alisaini katika wosia flani kama shahidi, je anaweza kuja kusikiliza shauri lolote linalohusu wosia ule hapo baadae? kama kuna sheria inatamka hilo au kesi yoyote ile mnisaidie wakuu
Unapo acha kazi unakua ni kama umevunja mkataba mwenyewe na hasa pale mkataba wako bado haujaisha, kwaio mpaka unaacha kazi kwa hiari ni lazima kusiwe na makandokando ya nyuma yaani likizo umeenda zote, umelipiwa huduma za afya na maswala ya kodi TRA.666 chata,
Naomba kufahamu haki ambazo na stahiri kupata pale ninapo taka kuacha KAZI ambayo nime ajiliwa