nashukuru kaka umeliona hlo, na kwasababu humu weng waliojaa n wapuuzi, mi ndo mana naingiaga jukwaa la sheria.
My take: ur interest + future career, utapata jbu la kusomea, who u want to b n future..
we mujumba, u nid to thnk b4 u leap, so kwakuwa unalpwa kdogo ndo unaona kudhalilishwa?? Mfcha uzi hazai...speak and get help, kip quiet and die quietly.
Jaman nisaidie na mimi, nina degree ya education, nafundsha xul ya kata, nxt year namalza Masterz ya Ed. Je mshahara n sh ngap kwa masterz? Je hata ukfanya kaz kitengo cha wizara ya elmu, stl salar itakua kama ya shulen?
Wadau tusaidie kdogo kwa wenye ufahamu, mshahara wa mwalimu mwenye degree ni 469200 D1, je mwenye Masterz n sh ngap??
Je hata ukfanya kazi wizaran mshahara n tofaut na shulen?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.