Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Special Thread: CECAFA Senior Challenge Cup 2013

Ngoja tumsubiri huyo mshindi wa kwanza wa kundi C hiyo kesho...

Tanganyika kukutana na Uganda au Sudan. Yamkini 95% tutakutana na Uganda, bila shaka mechi hii itakuwa fainali.
 
Bornwel Mwape kapiga bao na kuifanya Zambia kuwa mbele kwa bao 3 dhidi ya Somalia.

Davies Mwape aaah kumbe Bornwel loh haina shida ilimrad naye n Mwape.:tape:
A%20S%202152.gif
 
usihofu mkuu tutawafunga tu..

Kiufundi The Cranes wako vizur kuliko sisi lakini tunayo advantage ya kuwafahamu vizuri, itakuwa ni ajabu beki yetu kusumbuliwa na Okwi na Kiiza wakati uchezaji wao tunaujua fika. Tunayo advantage ya kuwatungua bao 3 kama walivyotufanya LY.
 
Match Day 9

Dk 28

Rwanda 0 - 0 Eritrea
 
Dk 45 HT

Rwanda 0 - 0 Eritrea
 
Dk 55

Rwanda 0 - 0 Eritrea
 
Dk 70

Rwanda 0 - 0 Eritrea
 
Dk 81

Rwanda 1 - 0 Eritrea

Hii hali inaifanya nafasi ya Zenji kucheza robo fainali kupotea...labda Eritrea wasawazishe
 
Dk 90 FT

Rwanda 1 - 0 Eritrea
 
Ni kweli jaman kuna uwezekano wa kucheza na Uganda??

Kama Uganda atashinda mechi ya leo dhidi ya Sudan, basi pasipo shaka yoyote atakutana na Tanzania Bara...

Ushindi wa Sudan au sare ya aina yoyote ile itaifanya Tanzania Bara kukutana na Sudan..
 
Duh! Ina maana yaheee! Ndo by! by!

Zanzibar ndio kayaaga hivyo kwa utofauti wa uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa.

Zanzibar ana (-3) baada ya kucheza mechi tatu, wakati Rwanda ana (-1) baada ya mechi tatu pia.
 
Back
Top Bottom