Recent content by zerdi

  1. zerdi

    Mdogo wangu anapenda kula mananihii... Hii ikoje wadau!!

    Binge ya aina gani hyo dakitari
  2. zerdi

    Mke wangu amezalishwa na madaktari wadogo roho inaniuma

    Haha pole mkuu, wake zenu wanatupenda kwel kwel kwasababu ya huduma nzur tu, acha uoga. Heshima iko pale pale.
  3. zerdi

    Msaada: Napendwa na wasichana mpaka kero

    Hii ni kiki, acha kiki blaza
  4. zerdi

    Can someone lend me 200k?

    Ni ujasiri mzuri kama kweli ww ni binti, ila kama unajaribu phishing mmmmh.
  5. zerdi

    Mume wa mke niliyempa ujauzito ananitafuta anipongeze

    Hahahaha sorry kaka ila nacheka hapa aisee
  6. zerdi

    Unawezaje kutengeneza milioni mbili ndani ya siku 30?

    Hello, sifundishi ila nna challenge moja, haiwezekani kutengeneza milioni mbili ndani ya siku 30?! Anyways share mawazo yako, and nitarudi baada ya siku kadhaa kushare nilichoona kinawezekana.
  7. zerdi

    Hivi hii Nyimbo Ya Darassa Ina Nini Cha Ajabu?

    Vumilia kaka ongea na Mr Nice stoe single mwaka huu au 20% kaka
  8. zerdi

    Hii ndio hali ya Nando (Mshiriki wa BBA) baada ya kuathirika na matumizi ya madawa ya kulevya

    Mbona video inaonekana ni 2016, hyo picha sio wamefananisha kweli
  9. zerdi

    Hii Januari inaniogopesha

    Nikikumbuka urefu wa Januari 2016, nadhani January 2017 inaweza isiwe na mwisho Tena vile tumeanza na kazi siku ya sikukuu, siku ambayo hata isingekuwa sikukuu tungekua na weekend (Jumapili). Yangu macho.
  10. zerdi

    MwanaHALISI: Msaidizi wa Mbowe kuibuka... Ni Ben Saanane

    Wabongo bana...hata habari haujaisoma ushacomment shudu..noma sana
Back
Top Bottom