Kweli kabisa kuna watu wamepata div 0 form six na unakuta wapo kazini kwa degree bila diploma wala hata cheti cha ualimu. Huu msako wa vyeti unapaswa uitishe cheti cha form 4, Six, diploma mpaka PhD
je hao wakristo wanaopiga pepa siku ya jumamosi? wanafuata biblia takatifu ama iliochakachuliwa...na mwanadamu?? maana biblia iko wazi kabisa kuhusu sabato...kama wao wameamua kufuata yale yasiokweli..shauri yao...tutazidi kuwaombea lakini...
we umeona uinjinia ndo kigezo cha kumtoa mtu kwenye wadhifa wa uraisi? kwani katiba imesemaje kuhusu hili? je ni kweli mtu alie soma sheria anafaa kuwa raisi kuliko aliyesoma sayansi?
kafiri ni nani? Dini gani inayofundisha chuki?? uhasama wa ndugu?? ivi najiuliza..nyie hamtaki watu wengine kwenda kwa mola??.any way ngoja nijitoe kwenye ujinga wa kudiscuss dini..maana mambo ya dini yameletwa na weupe ili watugawe kisha kututawala milele...Think Brother
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.