Na huo ndo uelewa wa polisi wetu.kweli nimekubali ya roma kwamba kimbilio la walioferi ni polisi na ualimu.vyombo vya habar vipo kutuhabarisha kwa nini polisi wazuie?.nazani walizuia kukumbatia uovu walionao viongozi wao
sorry naomba nimtete mh shibuda hata kiduchu japo nahisi anataka kuwa kilaza.ni kwamba mim niko maswa na ni mbunge anayekubalika sana ila hakushiliki maandamano ha ya coz kafiwa na mama yake mkubwa hapa maswa.siku Dr slaa anafanya mkutano mjini maswa pia siku hiyo ndio yalikuwa mazish ya mama yake
hakuna mramba viatu wa Dr slaa bali wew uelewa wako ni mdogo ktk kuchanganua matamushi yaliyosemwa.kwa kukusaidia alisema kwamba nanukuu amepokea taarifa kutoka mezani japo taarifa hizi hana uhakika nazo hawezi tangaza kifo cha mkuu wa mkoa rasmi na kutokana na kwamba kazi ya mora haina makosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.