Recent content by Zee la Mandandu

  1. Zee la Mandandu

    Kwa haya mahubiri, Askofu Gwajima lazima atafutwe na chawa

    Jamaa anatafuta bifu bila sababu. Huyu amechanganyikiwa hayupo sawa kiakili na Kiroho. Jamaa keshaanguka anatafuta pa kufia. Kwanini anamtaja Samia bila sababu yoyote ile.
  2. Zee la Mandandu

    Ni kweli Iringa wanakula mbwa?

    Wanakula hadi sasa. Muulize Kasie akueleze namna anavyolishwa nyama ya Mbwa pale kwenye vibanda vya CCM.
  3. Zee la Mandandu

    Maandamano yoyote yatakayofanyika kuanzia sasa, hakuna raia yeyote atakayepigwa hata kibao. Tunza haya maneno

    Kwahiyo shehe sharif majini naye alikuwa ni kibaka we kafiri?
  4. Zee la Mandandu

    PostGE2025 Picha ya Siku: Ridhiwani Kikwete pamoja na Jesca Magufuli katika utulivu mkubwa Bungeni

    Inakusaidia nini we konda? Familia yenu wote maskini alafu unasimama kuwasifia watoto wa marais. Nyangau mkubwa.
  5. Zee la Mandandu

    Kwanini Kamanda Muliro hakwenda kuzuia maandamano?

    Jamaa alikuwa anatuona sisi wakazi wa Dar kama pumbu zake. Pumbavu sasa kawa ndito na kigoli tu alafu anakaribia kustaafu huyo. Tutamuwinda popote.
  6. Zee la Mandandu

    PostGE2025 Picha ya Siku: Ridhiwani Kikwete pamoja na Jesca Magufuli katika utulivu mkubwa Bungeni

    Baba zao walikuwa marais, Mama zao wanakula pension ya Baba zao na Malupulupu kibao na sasa watoto wabunge Alafu Wewe Mama na Baba yako wakulima maskini ambao wanalima vinyungu pale VWAWA na mtoto wao ni kondakta wa gari za vwawa kuja hapa Mbeya alafu unawasifia na kuwa chawa na shabiki wa...
  7. Zee la Mandandu

    Ratiba ya maandamano Kimara - Posta

    Hatuuziwi uoga. Kwani nyie machawa mtaishi Milele. Mara baada ya kuzaliwa kinachofuata ni kifo. Tukutane barabarani.
  8. Zee la Mandandu

    A deep analysis of yanga vs Silver Strikers..

    Ni sahihi kwa wachezaji wote hapo hapo kwa Dube umeeleza kwa jicho la kiufundi zaidi. Jamaa anajua kuvheza kwa nafasi na anajua kucheza nyuma ya mabeki. Ni mzuri kwa kuifungua beki ya timu pinzani pia.
  9. Zee la Mandandu

    GE2025 Samia kawa wakwanza kurudisha fomu INEC

    Nilitaka kuandika comment kama hii ila nimekuachia wewe uiandike ili uking'olewa Meno na kucha bila ganzi usitulaumu wala kutulilia humu JF. 😂😂😂😂
  10. Zee la Mandandu

    Hivi inakuaje mtu unashabikia Simba au Yanga au mpira wa Tanzania Kwa ujumla?

    Ila kushabikia Iran na Palestina ni sawa kabisa kwani huteseki na unaweza kuwarekebisha.
  11. Zee la Mandandu

    Tabia ya watangazaji wa Clouds Media kuwasimanga watu wanaotafuta maisha wakiwa wanaishi kwa shemeji

    Kwamba baada ya kuachwa na Binti Kimoso umeamua kurudisha mpira kwa Kipa na kwenda kuishi kwa Shemeji yako?
Back
Top Bottom