Jamaa anatafuta bifu bila sababu. Huyu amechanganyikiwa hayupo sawa kiakili na Kiroho.
Jamaa keshaanguka anatafuta pa kufia. Kwanini anamtaja Samia bila sababu yoyote ile.
Baba zao walikuwa marais, Mama zao wanakula pension ya Baba zao na Malupulupu kibao na sasa watoto wabunge
Alafu Wewe Mama na Baba yako wakulima maskini ambao wanalima vinyungu pale VWAWA na mtoto wao ni kondakta wa gari za vwawa kuja hapa Mbeya alafu unawasifia na kuwa chawa na shabiki wa...
Ni sahihi kwa wachezaji wote hapo hapo kwa Dube umeeleza kwa jicho la kiufundi zaidi.
Jamaa anajua kuvheza kwa nafasi na anajua kucheza nyuma ya mabeki. Ni mzuri kwa kuifungua beki ya timu pinzani pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.