Ratiba ya maandamano Kimara - Posta

Ratiba ya maandamano Kimara - Posta

Haihitaji Namba..wkt unaenda kupiga kura yako utanikuta barabarani unipe maji ayo..ukinipa usepe haraka maana ukikawia nakuitia wavaa 😷 mask tutembee na wewe.
Gen z Kenya, bongo ni Gen Tanzania(mioga imo umo,mijasiri imo,mi nafiki imo )
Hiyo ndo Gen 🇹🇿 Tanzania
Wee zombie haujui
Kweli mi zombie sijui kumbe kuna vocabulary mpya mjini na hamsemi😂 mmh
 
Jaribuni muone 🔥
Mtanyooshwa hamtaamini na hakutakuwa na bunge la ulaya Wala bunge la beberu mtanyooshwa ipasavyo.
 
Tukifika magogoni tunachukua ikulu kabisaaa hamna kufanya mchezo kabisaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom