Recent content by ZEDY

  1. ZEDY

    Kamanda Freeman Mbowe, John Mnyika na Tundu Lisu kutikisa Muleba Mjini 18.08.2013

    wanakaribishwa sana ila wasiishie Muleba tu, walau wafike na BKB MJINI (MAYUNGA) ili waone people zinavyowausudu.
  2. ZEDY

    Nani mhamiaji haramu Kagera? pitia waraka huu

    kweli mzee RWABUTUNDA kutuka kashaba amekuwa diwani wa CCM kata KYAKA wilayani missenyi zaidi ya miaka 20, na yeye kweli ni MUHIMA (mfugaji kutoka Rwanda), sijui naye atarudishwa au kwakuwa ni mdau wa CCM, ataachwa? yangu macho. :tape:
  3. ZEDY

    Katiba ya CCM inaipa NEC Mkoa uwezo wa kumfukuza mwanachama na kiongozi

    Mh. NAPE, Hebu itazame tena hiyo miaka uloiandika yaanisheria ilikuwa inatumika na kufanyiwa marekebisho mwaka 2012, then wewe umetumia sheria iliyorekebiswa mwaka 2010, jamani mkuu huoni km kuna uongo mweupe tena wenye mbolea? ITAZAME UPWA THREAD YAKO NA Walau utupe evidence kwa kutuonesha...
  4. ZEDY

    Ni mwanasiasa gani anaekuvutia katika siasa zake?

    Warema(jaji mkuu) nthubutu kumuita mwanasiasa coz alikataa katu kuwa katiba ya zamani inajitosheleza kwa sasa haibu kwake.
  5. ZEDY

    Huyu ndiye mh. Mbowe na hatari ya kujikanyagakanyaga kwenye kauli zake,amekosa msimamo kupita kiasi

    Kabla hujamuangalia Mbowe hebu ujikumbushe kidogo kwa FREDERICK WAREMA NA SELINA KOMBANI walipokeaje katiba mpya, walisemaje na sasa aibu zao au za mbowe(chadema)? tanguliza uzalendo wa nchi yako na sio ushabiki wa chama chako.
  6. ZEDY

    Mambo ya Muungano kwenye Rasimu ya Katiba

    Ahsante mwana janvi, naupa shavu 100%
  7. ZEDY

    Kama mahari yataendelea kuwa hivi, mambo ya ndoa tutasikia kwenye redio tu

    wanaume 2ungane kwenye rasmu hii ya katiba mpya, tuupinge unyonyaji huu, km wote 2nanufaika na ndoa, kwanii tugeuzwe mtaji hali wakati ndoa za cku hiz ni kama cmu za mchina, hakuna Gurantee. :focus:
  8. ZEDY

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo yenu mazuri nimeyaitimisha.
  9. ZEDY

    Dr slaa ataja matatizo matatu yanayokabili tanzania

    mtoa mada tatizo lako ni hesabu ni tatizo lako ni shule, hebu lejea neno UFSADI, limetajwa mara ngapi then tafautisha numerali na digitali. Neno moja ufisadi, lenye ngazi tatu with different weightege. tumia falsafa kung'hamua kilicho ndani yake na tumia busara kuelewa kauli za wasomi.
  10. ZEDY

    Watoto marufuku kuangalia mieleka

    Hapo inabidi useme naye dogo huyo kakua.
  11. ZEDY

    Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    Kabla ya kumwambia kakako kwanza umshauri shemejio mara2, 3 Akizidi toa ukweli kamili kwa kaka.
  12. ZEDY

    Spika Makinda awatoa nje wabunge kwa kuongea!

    Wengi wa wawakilishi wetu (WABUNGE) Kutokua makini wakati bunge likiendelea imekua kasumba, kipindi cha asubuhi kwenye bajeti ya elimu Mariam na mwenzake(CCM) walitolewa nje, wakati wa jioni Naibu waziri wa fedha hakujua kinachoendelea mpaka spika akamctua mara 2 kujibu swali lililoulizwa na...
  13. ZEDY

    Hotuba Ya Rais Kikwete Na Picha Katika Ibada Ya Kumtawaza Askofu Jacob Chimeledya.

    Ni ukweli usiopingika kuwa inatubidi TUESHIMIANE na si KUVUMILIANA (ISLAM VS CHRISTIANS) :A S-fire1:
  14. ZEDY

    msaada

    Ili ntakujibu mdau, ngoja nifuatilie wanafunzi waliosoma uganda kwa mfumo huo, nawakabahatika kujoin vyuo hapa bongo. ntakupa taarifa hivi soon.
  15. ZEDY

    Sitta Rais, Dr Slaa Waziri Mkuu, 2015

    MMOJA ni senior kwa mwenzake inategemea ni katika aspect ipi. ila wote ni Mr. Clean
Back
Top Bottom