Spika Makinda awatoa nje wabunge kwa kuongea!

TBC1 wamemwonyesha Mheshimiwa Komba akiwa anabofyabofya simu yake bungeni na kutabasamu wenda kutokana na alichokuwa akikiandika au kilichomfanya abofye simu yake na kusahau kilichompeleka Bungeni!

Alikuwa anachati na lulu
 
TBC1 wamemwonyesha Mheshimiwa Komba akiwa anabofyabofya simu yake bungeni na kutabasamu wenda kutokana na alichokuwa akikiandika au kilichomfanya abofye simu yake na kusahau kilichompeleka Bungeni!

Alikuwa anachati na lulu


acha wivu ww, kama we huwezi kumtokea wenzio wala
 
Wengine wamekuwa wachochezi na hawafuati maadili ya kazi zao. Mtizamo wangu tu.
 
Alikuwa anategemea kumrithi Makinda kwenye Bunge lijalo, sasa Rasimu ya Katiba imekimerusha nje ya Bunge kiti cha uspika ndo maana ana anza kutoa povu!
Bahati mbaya ni mapungufu ya uongozi wao uliosababisha wananvhi wengi kutoa maoni hayo ya Spika kutokuwa mbunge au kiongozi wa chama! Wangetenda haki watu wasingelisema hivyo. Mabunge mengi ya Kidemokrasi spika anakuwa mbunge na mara nyingi anatokana na chama chenye wabunge wengi. Kwahiyo wajilaumu wao.
 
Nadhani Warioba kaliona hilo kwenye Ibara hii ya 30.-(1) Kila mtu anao uhuru wa-
(a) kutafuta, kupata na kutumia habari na taarifa na
kusambaza taarifa hizo; na
(b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za
upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi.
(2) Vyombo vya habari vitakuwa huru na vile vile vitakuwa na:
(a)haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa
wanazopata;

kwa kuwamirikisha uhuru huu kwa TBC peke yake baada ya hii rasimu kupitishwa haita kubarika tena.

Hii imetulia
 
ccm ni janga la taifa.....kuikumbatia ccm ni kuikubali zambi na umaskini ngani yake
 
Nyie wabunge vp, point hamchangii kaz yenu kuunguruma tu na kupiga kelele. Majimbo yenu matatizo kibaooo.
 
Hivi inakuwaje TBC peke yake ndio inarusha live kipindi hicho cha Bunge ?

.....ni sheria ama ni kitu gani hasa ?

hakuna sheria, tatizo matangazo ya bunge hayana wadhamini ndio maana vyombo binafsi vinashindwa kuonesha, star tv ameacha kwasababu hii. TBC hategemei matangazo. Radio mlimani huwa anarusha live.
 
Wengi wa wawakilishi wetu (WABUNGE) Kutokua makini wakati bunge likiendelea imekua kasumba, kipindi cha asubuhi kwenye bajeti ya elimu Mariam na mwenzake(CCM) walitolewa nje, wakati wa jioni Naibu waziri wa fedha hakujua kinachoendelea mpaka spika akamctua mara 2 kujibu swali lililoulizwa na ester limo(CDM), akaombwa aulize upya make hakujua kinachoendelea sababu ya kuchati bungeni na kuamka wanapiga makofi tu bila kujua maana, umuhimu au kutosikia kabisa kilichoongelewa.:A S kiss:
 
Nadhani Warioba kaliona hilo kwenye Ibara hii ya 30.-(1) Kila mtu anao uhuru wa-
(a) kutafuta, kupata na kutumia habari na taarifa na
kusambaza taarifa hizo; na
(b) kuanzisha vyombo vya habari na njia nyingine za
upashanaji wa habari bila kujali mipaka ya nchi.
(2) Vyombo vya habari vitakuwa huru na vile vile vitakuwa na:
(a)haki ya kupata, kutumia na kusambaza habari na taarifa
wanazopata;

kwa kuwamirikisha uhuru huu kwa TBC peke yake baada ya hii rasimu kupitishwa haita kubarika tena.

TBC ina tabia ya kuhodhi vipindi,yaani inavinunua/inanunua haki ya kuonesha hicho kipindi wakati haina uwezo wa kihalisia wa kuonesha kipindi husika.
Mfano, TBC kununua haki ya kuonesha mechi za UEFA championship, walimnyang'anya Mengi now wapo chali hawaoneshi mpaka wengi tunalazimika kuangalia televisheni ya msumbiji ndio tuone UEFA!! The same kwa bunge,TBC na Star tv miaka ya nyuma wote walikuwa wanAonesha bunge live but seems like TBC kafanya mchezo wake now anarun show peke yake..hapo sasa ndipo tunapopata picha mbaya ya live,utbccm wa kutosha na kukatika katika kwa matangazo ya bunge..
Ishu ni huo ukiritimba wa TBC kutaka kuhodhi kila kitu
 
Bunge la zaidi watu 200 tuatazamie nini? Maoni ya Ezekiel Kimwaga leo Raia Mwema nayaunga mkono kabisa. Bunge linakuwa na watu ovyovyo, kisa wamechaguliwa. Haya.
 
[h=2]MEMBER OF PARLIAMENT CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1322.jpg
First Name:Mariam
Middle Name:Reuben
Last Name:Kasembe
Member Type:Constituency Member
Constituent:Masasi
Political Party:CCM
Office Location:P.O.Box 26, Masasi
Office Phone:+255 784 937964
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:mkasembe@parliament.go.tz
Member Status:Current Member
Date of Birth26 August 1957

 
Hivi inakuwaje TBC peke yake ndio inarusha live kipindi hicho cha Bunge ?

.....ni sheria ama ni kitu gani hasa ?
Ni maamuzi tu ya serikali,nchi nyingine hairuhusu bunge kuoneshwa live,ni nchi baadhi ndio zinafanya hivyo.
 
TBC1 wamemwonyesha Mheshimiwa Komba akiwa anabofyabofya simu yake bungeni na kutabasamu wenda kutokana na alichokuwa akikiandika au kilichomfanya abofye simu yake na kusahau kilichompeleka Bungeni!

Alikuwa anachati na lulu


mwacheni achat jamani. La sivyo atauchapa usingizi.
 
Hao walichoka kusikiliza hotuba wakaamua kukiuka kanuni ili watolewe nje wakapige misele, hawana maana hao, kuwatoa nje tu hakutoshi, walifikiri wako saloon tu hao, nina hasira na mibunge dezaini hii, wasubiri hapo tu juzi hiyo 2015 inakuja!!
 
Back
Top Bottom