- Thread starter
- #41
unashangaa nini hapo, huo ndio ujinga wenu, yaani hapo unachoshanga ni kuona kwamba, UFISADI,UFISADI na UFISADI ni sawasawa na moja badala ya tatu. mbona ushangai unapoona, mungubaba,mungumwana na roho mtakatifu ni sawasawa na moja badala ya tatu
Wewe nimekuelewa kumbe hiyo ndiyo falsfa aliyotumia!