Nani mhamiaji haramu Kagera? pitia waraka huu

Nani mhamiaji haramu Kagera? pitia waraka huu

Nadhani tuwe tunakubaliana na ukweli.
Mtoa mada ameeleza vizuri na inaonekana tatizo hilo la wahamiaji haramu linagusa eneo la magharibi tu!

Kama maeneo mengine ya mipaka yetu, tuna watu wa jamii kama siyo koo moja ukivuka mpaka. Ukiangalia Kusini, huwezi kuwatenga watu wa Mozambique na Mtwara kiasi kwamba kipindi cha uchaguzi, watu wa ng'ambo ya mpaka wanachagua uongozi wa upande mwingine. Ukiangalia wamasai, huwezi kutofautisha wa Kenya na Tanzania. Mkoa wa Mara huwezi kujua nani ni nani mpaka watu wanavuka mpaka kunyang'anyana mifugo. Nk.

Siku zijazo tusishangae wanasiasa wanatushambulia watu wa kusini wakisema wanaopinga bomba la gesi ni wa kutoka Msumbiji. Au tukasikia kuwa wamasai walioko Ifakara ni wanaotoka Kenya; pale wakuu wa nchi watakapotofautiana na nchi hizo jirani.

Ninachokiona, tusiweke siasa kwenye uhamiaji haramu. Kama tunafanya zoezi lisiwe zimamoto na lisiwaguse baadhi kama kweli tuna nia ya kumaliza tatizo.

Angalizo:
Kwa aina ya wahamiaji haramu, hususan wale wa mikoa ya Kagera na Kigoma, kuna makabila ya watusi na wahutu walioingia miaka mingi iliyopita. Hawa wote wamekuwa wakiishi kama watanzania kwa miaka mingi kutokana na historia ya kabla 1920 wakati tukiwa na Deutch East Africa ambapo Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya nchi hiyo.

Tatizo linakuja pale tunapowafukuza upande mmoja wa wahamiaji hao kutokana na sura badala ya uharamu wao. Watusi wanatambulika kirahisi wakati wahutu wamejibatiza makabila ya hapa nchini na kukubalika. Mimi nasubiri watangaze kuwa iperation imemalizika ndo tutaanza kuwataja waliojificha, ingawa wengine wana nyadhifa za juu na bila shaka itakuwa vigumu kuwashughulikia.

Anjo

Hata ukijitetea utarudi tu kwenu,hakuna muhaya mwenye sura ya kitutsi.
 
Nadhani tuwe tunakubaliana na ukweli.
Mtoa mada ameeleza vizuri na inaonekana tatizo hilo la wahamiaji haramu linagusa eneo la magharibi tu!

Kama maeneo mengine ya mipaka yetu, tuna watu wa jamii kama siyo koo moja ukivuka mpaka. Ukiangalia Kusini, huwezi kuwatenga watu wa Mozambique na Mtwara kiasi kwamba kipindi cha uchaguzi, watu wa ng'ambo ya mpaka wanachagua uongozi wa upande mwingine. Ukiangalia wamasai, huwezi kutofautisha wa Kenya na Tanzania. Mkoa wa Mara huwezi kujua nani ni nani mpaka watu wanavuka mpaka kunyang'anyana mifugo. Nk.

Siku zijazo tusishangae wanasiasa wanatushambulia watu wa kusini wakisema wanaopinga bomba la gesi ni wa kutoka Msumbiji. Au tukasikia kuwa wamasai walioko Ifakara ni wanaotoka Kenya; pale wakuu wa nchi watakapotofautiana na nchi hizo jirani.

Ninachokiona, tusiweke siasa kwenye uhamiaji haramu. Kama tunafanya zoezi lisiwe zimamoto na lisiwaguse baadhi kama kweli tuna nia ya kumaliza tatizo.

Angalizo:
Kwa aina ya wahamiaji haramu, hususan wale wa mikoa ya Kagera na Kigoma, kuna makabila ya watusi na wahutu walioingia miaka mingi iliyopita. Hawa wote wamekuwa wakiishi kama watanzania kwa miaka mingi kutokana na historia ya kabla 1920 wakati tukiwa na Deutch East Africa ambapo Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya nchi hiyo.

Tatizo linakuja pale tunapowafukuza upande mmoja wa wahamiaji hao kutokana na sura badala ya uharamu wao. Watusi wanatambulika kirahisi wakati wahutu wamejibatiza makabila ya hapa nchini na kukubalika. Mimi nasubiri watangaze kuwa iperation imemalizika ndo tutaanza kuwataja waliojificha, ingawa wengine wana nyadhifa za juu na bila shaka itakuwa vigumu kuwashughulikia.

Anjo

Nendeni kwenu
 
mwananchi acha hizo mshikaji, unikome kabisa! Mi natoa comments kwasababu sipendi ubaguziiiii. kwanza mi mwenyewe nabaguliwa kwa sura yangu, ingawa mie Mtanzania, ubaguzi, ubaguziiiii! nchi hii bwana! Huyu mtoa mada ameongea vizuri sana, hata kwetu wa Wanyaihangiro (Masilingi, Salva mpoo) kuna issue hiyo. Ila tuwe makini tusiwakosee majira, wanasema kwa kihaya ati Ikina kya'amlyango otantara nokigwamu!
Ni mmoja wao na ukitaka kujua ni mmoja wao angalia treads zote zinazoongelea Rwanda uone mchango wake, wako wanajulikana JF Money Stunna, Mukamasimba, Nicolas, Kalisa, Tutajumbukirwa, etc
RUTA pole sana maana imenibidi nicheke mbavu zangu weeeeeeee
Mimi na wewe ni Watanzania na hata mm mMama yangu ana asili ya uHangaza wa huko Nyakahongo (Wahangaza na Watusi ni sawa kwani ni Rwanda na Tanzania Ngara)
Baba ni Mmasai aliyechanganyika na Uchaga kwa upande wa Bibi (Wamasai mpka leo wapo Kenya na Tanzania, Wataita wa Kenya na Wachagga wa Rombo ni kitu kimoja)
MY TAKE
Tutajumbukirwa hujatajwa km ni wewe ila tunazungumzia km uzao wako ulikuwepo wakati wa mipaka ni sawa kabisa uishi Nchi uliyopo lakini km unataka kuhamia Tanzania pata Kibali
Lakini kutokea Rwanda ukaingia bila kibali na mifugo yako eti Rwanda hawahitaji mifugo mingi wacha nikavamie Tanzania wenye Ardhi kubwa ni uonevu kwa Watanzania wapole
 
Mwandishi wa makala hiyo ameshindwa kujiuliza kwanini Tanzania na Kenya kwenye wajualuo wa pande zote hakuna tatizo kama la Kagera.

Mwandishi anashindwa kuona ukweli wa Goma na Kivu.
Kule hakukuwa na mipaka zaidi ya Banyamulenge kuhamia huko na kudai nchi igawanywe.

Mwandishi anashindwa kuelewa kama wapo miaka nenda rudi hakukuwa na sababu za wao kuondoka na wala sababu za kuporwa kama anavyodai. Kitendo cha wao kuporwa ni ishara kuwa kuna kundi lilidhulumiwa ambalo linadhani ni haki sasa kuchukuwa walichodhulumiwa.

Kibaya zaidi ni upofu, weledi finyu na uzezeta uliomjaa huyu mwandishi. Mipaka iliyowekwa na wakoloni ina maana kwetu ndio maana kuna sheria za kila nchi. Tanzania ina sheria zake za uhamiaji, hazikuwekwa kwa ajili ya wahindi au wachina. ZImewekwa kwa wananchi wa dunia nzima. Sasa anayekiuka anapaswa kuadhibiwa na wala si kuombwa arudhishwe.

Kama tutaanza kusema upuuzi wa mipaka ya kikoloni, nauliza hivi Warwanda wanaweza kuvumilia Wahamaiaji haramu kutoka nchi nyingime waingie tu.

Nadhani watu wanatakiwa kuliangalia tatizo kwa upana wake na si kwa ufinyu wa huyo mwandishi wa makala ambaye kama hajaongozwa na hasira zake za Kinyarwanda hafai kupewa forum katika gazeti lolote au forum yoyote kwa kuzingatia kiwango cha juu cha weledi finyu alicho nacho.
 
Mleta uzi amepata wapi ujasiri wa kubakindika hizi hadithi za Abunuwazi hapa jamvini? Yaani anasema kiini cha kutaka wahamiaji 'haramu' waondoke ndani ya mipaka ya Tanzania ni 'wivu' wa mifugo yao? Upuuzi gani huu?

Na tunaposema wahamiaji 'haramu' maana yake ni Wanyarandwa peke yao? Ni kwanini tamko la kutaka wahamiaji 'haramu' linaonekana kuwakera watu wa nchi moja peke yake?
 
Kama waandishi wa habari wenyewe ndiyo mambwiga kiasi hiki basi tz tunasafari ndefu sana bado.Jk waambie watu wako wachukue namba ya simu ya hilo kanjanja la kitusi ili operation ikianza waanze naye huyu kimrudisha kwao.
 
KUNA watu mkoani Kagera wanaitwa ‘wahamiaji haramu’. Hawa wanaoitwa wahamiaji haramu ni wale wanaoishi miongoni mwa jamii zao zilizogawanywa na wakoloni walipoweka mipaka miongo mingi iliyopita.
Ni muhimu kutambua kuwa sehemu zote za mipakani zina matatizo ya aina hii. Kwa sehemu kubwa matatizo haya yanatokana na kutofahamu sheria za uhamiaji.
Kwa bahati mbaya sana, operesheni za kuhamisha hawa wanaoitwa wahamiaji haramu, zimekuwa zikitokea kwa vipindi tofauti, na ghafla zinatoweka baada ya wahusika wa operesheni hizi kuwa wamenufaika na mali wanazopora kutoka kwa watu hawa, hasa mifugo na wakati mwingine hongo ya fedha.
Kitu ambacho watawala wetu wamekataa kutambua ni ukweli kwamba wakati wakoloni wakiweka mipaka, hawakuangalia kama kabila moja limegawanywa na mpaka.
Walichokifanya ni kuweka hiyo mipaka na kuacha makabila tofauti ya mipakani yakiangukia pande mbili za nchi tofauti.
Isitoshe, wakati mwingine makabila haya yalikuwa chini ya himaya moja kama ilivyo Bunyoro Kitara iliyojumuisha watu wa Kagera na sehemu za nchi jirani.

Tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi za Afrika Mashariki, suala hili limekuwa likiachwa bila msimamo unaojulikana.
Watu wakaendelea na shughuli zao hadi kunapotokea tatizo la kisiasa kati au baina ya nchi zenye mpaka mmoja, basi suala hilo huibuka na kuwataka wale wanaoshabihiana kwa sura na jamii iliyo upande wa pili, kuondoka na kurudi ‘kwao’.
Kwao ni wapi? Vurugu hizi zimekuwa zikiibuka na kutoweka. Ni ukweli kuwa kutojua sheria si utetezi, lakini je, si busara serikali yeyote makini kuwasaidia wananchi wasio na uelewa wa mambo haya ili kuondoa mzozo wa mara kwa mara?
Hawa tunaowaita wahamiaji haramu, wengi wao wanasalitiwa na maumbile yao ya kinasaba.
Mkoa wa Kagera una watu wa jamii ya wafugaji waitwao Wahima ambao wamekuwa katika mkoa huu kwa miaka mingi.
Haiyumkini watu hawa wanashabihiana zaidi na wenyeji wa nchi jirani, lakini wanaweza kuwa siyo raia wa nchi hizo.
Ni kweli kuna walio raia wa nchi jirani, lakini pia kuna walio raia wa Tanzania.
Kuna wahamiaji wachache wanaweza kuwa wameingia nchini kinyume cha sheria; hawa wanaweza kuondolewa. Lakini si aina hii ya operesheni yenye uonevu ndani yake.
Mimi ninayeandika haya, baba mzaa babu ni kutoka Nkole kule Uganda. Isitoshe, marehemu baba yangu anamiliki shamba Wilaya ya Lakai hukohuko Uganda; hata bibi yangu mzaa huyo baba amezikwa huko.
Leo utaniambia niondoke nirudi ‘kwetu’ Nkole? Kwetu wapi? Baadhi ya hawa wanaoitwa wahamiaji haramu katika Mkoa wa Kagera, hususan Wilaya ya Missenyi, kinachowaponza ni utajiri wao wa mifugo. Hapa aliye muungwana atakubaliana na ukweli huu.
Wenzetu hawa wana talanta ya ufugaji na wengi wao wamepata ng’ombe wa kuanzisha ufugaji huo kutoka kwa jamii nyingine mkoani humu.
Hii ni talanta yao kama walivyo wenzetu Wachagga katika umahiri wa uchuuzi na biashara. Sisi wakazi wa Kagera tusimame kidete kukataa uporaji huu wa mali za watu kwani uchumi wa mkoa wetu utarudi nyuma.
Tuangalie mfano wa Zimbabwe, yalinyang’anywa mashamba kutoka kwa Wazungu; wakagawiwa wazalendo ambao wameyaacha yakiwa machaka; huku Zimbabwe ikigeuka ombaomba wa chakula.
Tusijidanganye kwamba tukipora mashamba na mifugo ya hawa ndugu zetu wanaoitwa wahamiaji haramu tutafaidika na lolote.
Huu uamuzi unatokana na tofauti za viongozi wa kisiasa ambao hawaathiriki na kadhia hii. Tukubali ukweli kuwa hili ni tatizo la kikoloni.
Tanzania hatuna uhaba wa ardhi. Wale ambao tunao tayari watambuliwe kama raia wa nchi hii. Tusijidananye, hili si tatizo la Kagera tu. Ni la Kigoma, Tanga, Mara, Mtwara na kwingineko kwenye mipaka kati yetu na nchi nyingine.
Kuna wakati kiongozi mkubwa wa nchi hii alituhumiwa kuwa Mmakonde wa Msumbiji! Nina mfano wa diwani mmoja wa zamani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye alihudumu kwa vipindi tofauti wilayani Missenyi, akifadhili chama wakati ni mtu wa jamii ambayo sasa ‘haitakiwi’.
Kumbuka hata Marekani imekubali kuwa maendeleo ya nchi yao yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na ‘wahamiaji haramu’. Tushikamane wana Kagera, mkoa wetu unarudi nyuma.


Mwandishi wa makala hii ni msomaji wa Tanzania Daima na mwanasheria anayepatikana kwa simu; 0754 /0784 397350 au barua pepe; cmuleju@yahoo.com.






Kuna usemi unaosema ukiwa Roma kuwa kama Mroma! Tatizo mlilo nalo kubwa ninyi wanyarwanda, waganda na wakenya ni kutaka kuishi tanzania huku mkiendeleza tabia za nchi mlikotoka. Yaani dharau, viburi, majivuno, rushwa, ufisadi, waroho wa madaraka na mengine mengi. Mngejifunza utamaduni wa watanzania na mkaishi nao kama wanavyotaka, msingesikia mkibaguliwa. Mliwahi kusikia wamakonde au wanyasa wakisumbuliwa, mbona wamejaa sana Tanzania na hawana uraia?
 
Nadhani tuwe tunakubaliana na ukweli.
Mtoa mada ameeleza vizuri na inaonekana tatizo hilo la wahamiaji haramu linagusa eneo la magharibi tu!

Kama maeneo mengine ya mipaka yetu, tuna watu wa jamii kama siyo koo moja ukivuka mpaka. Ukiangalia Kusini, huwezi kuwatenga watu wa Mozambique na Mtwara kiasi kwamba kipindi cha uchaguzi, watu wa ng'ambo ya mpaka wanachagua uongozi wa upande mwingine. Ukiangalia wamasai, huwezi kutofautisha wa Kenya na Tanzania. Mkoa wa Mara huwezi kujua nani ni nani mpaka watu wanavuka mpaka kunyang'anyana mifugo. Nk.

Siku zijazo tusishangae wanasiasa wanatushambulia watu wa kusini wakisema wanaopinga bomba la gesi ni wa kutoka Msumbiji. Au tukasikia kuwa wamasai walioko Ifakara ni wanaotoka Kenya; pale wakuu wa nchi watakapotofautiana na nchi hizo jirani.

Ninachokiona, tusiweke siasa kwenye uhamiaji haramu. Kama tunafanya zoezi lisiwe zimamoto na lisiwaguse baadhi kama kweli tuna nia ya kumaliza tatizo.

Angalizo:
Kwa aina ya wahamiaji haramu, hususan wale wa mikoa ya Kagera na Kigoma, kuna makabila ya watusi na wahutu walioingia miaka mingi iliyopita. Hawa wote wamekuwa wakiishi kama watanzania kwa miaka mingi kutokana na historia ya kabla 1920 wakati tukiwa na Deutch East Africa ambapo Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya nchi hiyo.

Tatizo linakuja pale tunapowafukuza upande mmoja wa wahamiaji hao kutokana na sura badala ya uharamu wao. Watusi wanatambulika kirahisi wakati wahutu wamejibatiza makabila ya hapa nchini na kukubalika. Mimi nasubiri watangaze kuwa iperation imemalizika ndo tutaanza kuwataja waliojificha, ingawa wengine wana nyadhifa za juu na bila shaka itakuwa vigumu kuwashughulikia.

Anjo

Hakuna mtu aliekuwepo enzi za uhuru anaebabaika na kutojiamini kwamba ni Mtanzania! Wenyewe wahamiaji haramu wanajitambua. Umesikia kuna hata mmoja alieambiwa ni mhamiaji haramu akashangaa?
 
Mi nadhan wapo watu wamekuja baada ya tanzania kupatikana, hao ndo wahamiaji. Ukizungumza makabila kufanana, watu wote wa mipakani utawafukuza. Wachaga, masai, waha, jaluo, wahaya, wahangaza, wafipa, wabembe, wanyiha n.k watafukuzwa.
 
wanyarwanda watakaporudi wote karata liamie kwa wahindi wote warudi.
 
kweli mzee RWABUTUNDA kutuka kashaba amekuwa diwani wa CCM kata KYAKA wilayani missenyi zaidi ya miaka 20, na yeye kweli ni MUHIMA (mfugaji kutoka Rwanda), sijui naye atarudishwa au kwakuwa ni mdau wa CCM, ataachwa? yangu macho.
:tape:
 
Mchumia tumbo!
Kwanza uelewe kuwa uhutu wako haunifanyi mimi kuwa Mtusi.
Pili, msijiunge kwenye hii forum kutaka kutuingiza kwenye uhutu na utusi wenu na kupogana vita yenu. Tanzania ni nchi huru na tunatoa maoni hata nyie mnaleta yenu.
Tatu, msilete ya kuleta. Nendeni kwenu na si kutuzuia kutoa mawazo nchini kwetu kama vile ni kwenu. Anayetoa mawazo tofauti na uhutu na utusi mnamshambulia kama vile mna haki hiyo. Acheni ujinga.
 
Anjo.
We ndo mjinga unaeng'ang'ania nchi ya watu.Tz ni nchi huru lakini haiwezi kukubali wahamiaji haramu.So usijenge hoja za kutetea uhalifu.
Pili,ili kulinda Uhuru na haki tumeviachia vyombo vya dola kupambana na wao.
Tatu ni kawaida ya binadamu kujitetea ili kuhalalisha maovu yake.so mkuu Kama huna kibali fuata taratibu tuijenge tz yetu.
 
Ni mmoja wao na ukitaka kujua ni mmoja wao angalia treads zote zinazoongelea Rwanda uone mchango wake, wako wanajulikana JF Money Stunna, Mukamasimba, Nicolas, Kalisa, Tutajumbukirwa, etc

usilazimishe mawazo yangu na wewe yafanane ata kama wote ni watanzania,mimi ninachotetea uamuzi wa kuwaondoa ufate haki,kuna wengine wamekuwepo Tanzania toka 1950's na awajui kwao isipokuwa muonekano wao wa kinyarwanda utafanya warudishwe,pia ninachosema haki itendeke kuwarudisha kwao sio kutake advantage kauli ya Kikwete ili kuwaibia mali zao.

Harafu Kikwete alisema wahamiaji haramu akusema Wanyarwanda tu,kuna upotoshaji mkubwa unaoendelea
 
money stunna acha kutoa ugwini mwingi nenda kwenu,siku jw wakianza operation utajutia kuchelewa kwako!!!!acha kuadanganya wenzako!!!

hahahahah we acha kunichekesha niende wapi tena? wakat Tanzania ndio nyumbani,na ndugu zangu wote wako upande wa Tanzania na marekani
 
Nadhani tuwe tunakubaliana na ukweli.
Mtoa mada ameeleza vizuri na inaonekana tatizo hilo la wahamiaji haramu linagusa eneo la magharibi tu!

Kama maeneo mengine ya mipaka yetu, tuna watu wa jamii kama siyo koo moja ukivuka mpaka. Ukiangalia Kusini, huwezi kuwatenga watu wa Mozambique na Mtwara kiasi kwamba kipindi cha uchaguzi, watu wa ng'ambo ya mpaka wanachagua uongozi wa upande mwingine. Ukiangalia wamasai, huwezi kutofautisha wa Kenya na Tanzania. Mkoa wa Mara huwezi
kujua nani ni nani mpaka watu wanavuka mpaka kunyang'anyana mifugo. Nk.



Siku zijazo tusishangae wanasiasa wanatushambulia watu wa kusini wakisema wanaopinga bomba la gesi ni wa kutoka Msumbiji. Au tukasikia kuwa wamasai walioko Ifakara ni wanaotoka Kenya; pale wakuu wa nchi watakapotofautiana na nchi hizo jirani.

Ninachokiona, tusiweke siasa kwenye uhamiaji haramu. Kama tunafanya zoezi lisiwe zimamoto na lisiwaguse baadhi kama kweli tuna nia ya kumaliza tatizo.

Angalizo:
Kwa aina ya wahamiaji haramu, hususan wale wa mikoa ya Kagera na Kigoma, kuna makabila ya watusi na wahutu walioingia miaka mingi iliyopita. Hawa wote wamekuwa wakiishi kama watanzania kwa miaka mingi kutokana na historia ya kabla 1920 wakati tukiwa na Deutch East Africa ambapo Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya nchi hiyo.

Tatizo linakuja pale tunapowafukuza upande mmoja wa wahamiaji hao kutokana na sura badala ya uharamu wao. Watusi wanatambulika kirahisi wakati wahutu wamejibatiza makabila ya hapa nchini na kukubalika. Mimi nasubiri watangaze kuwa iperation imemalizika ndo tutaanza kuwataja waliojificha, ingawa wengine wana nyadhifa za juu na bila shaka itakuwa vigumu kuwashughulikia.

Anjo


umeeleza ukweli tatizo la uhamiaji haramu linaangaliwa sana Kagera wakat jamii hizo zimekuwa na muingiliano baina ya nchi hizo kwa miaka mingi.Watusi wanagundulika rahisi kwa sababu ya macho na pua zao,wakat wahutu uwezi kumjua.

ili zoezi la kutambua wahamiaji haramu lifanyike sehemu zote,hakuna ubishi sasa hivi uhamiaji wanaangalia zaidi wanyarwanda ni kama vile muheshimiwa rais alisema hivo.
Kikwete alisema wahamiaji haramu kutoka nchi zote si Rwanda pekeyake.
Mungu ibariki Tanzania
 
Kweli mkuu umenena vyema huyo Mnyarwanda aende kwao sisi WaTz tumewachoka! Tumechoka vurugu na ujambazi wao pamoja na uporaji wa ardhi ya Nchi yetu! Kama wanapenda kuishi Tz waombe uraia au work permit! Mimi naomba JWTZ lisiwaonee huruma hao Watustsi! Waende wakajazane kwenye kainchi kao kadogo kama pua!Watajijua wenyewe maana tumewaona hawana shukuruni pamoja na kagame wao! Watutsi kwenu FULL STOP!
money stunna acha kutoa ugwini mwingi nenda kwenu,siku jw wakianza operation utajutia kuchelewa kwako!!!!acha kuadanganya wenzako!!!
 
Nadhani sasa mumeelewa ujanja wa watu hawa kutoka Rwanda. Kule Mashariki ya Kongo walihamia kinyemela na baadaye kujiita Wanyamulenge na sasa wandai mashariki mwa Kongo ni kwao. Hivyo hivyo wameingia Kagera na mikoa mingine kama Katavi na Kigoma na itakuja siku watadai kuwa wao ni wazaliwa wa Kagera au Katavi hivyo wahalalishwe uraia kama huyu 'mjinga' anavhyoeleza kwenye thread hii. Ni kweli huko Mtwara na hata Ruvuma kuna watu wa Msumbiji ambao ni wamakonde na wengineo. Hata mpakani mwetu na Uganda kuna waganda na mpkani mwa Kenya kuna wamasai na hata wajaluo. Lakini tofauti yao ni ile tabia ya watutsi ya kujiona kuwa wao ni bora na wenye akili na kwamba wengine wote ni watwana. Aidha mtutsi hata angekuwa nchi nyingine na amehalalishwa uraia na nchi ile bado yuko tayari kuitumikia Rwanda. Watutsi waliwaua wahutu lakini hilo sasa halizungumzwi bali wao walipouwawa mwaka 1994 ndicho kinachozungumzwa. Watanzania sio wajinga kiasi hicho. Kagame akileta mchezo ataondolewa madarakani. Na asithubutu kuichezea Tanzania kwani Tanzania nasi tunafahamu fitina za kimataifa. Tulifadhili vikundi vya waganda dhidi ya Idi Amini naye akaondoka. Tulifadhili vikundi vya msumbiji dhidi ya Warenao nao wakaondoka. Tulifadhili vikundi dhidi ya Makaburu huko Namibia nao wakaondoka. Pia tultoa mchango mkubwa katika kuutokomeza ubaguzi wa makaburu huko Afrika Kusini. Kule Seycheles tulihusika ambapo tuliwahi kuwa na 'Rais wa muda' huko Seycheles ambaye ni jenerali wa TPDF. Sasa Kagame akileta za kuja ni rahisi kwetu kuwakumbatia Wahutu milioni nane ambao baadhi yao wako msituni Kongo. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Rwanda itakuwa ni shughuli nyepesi. Kumbukeni namna Rwanda na Uganda zilizoivamia DRC miaka michache iliyopita zilivyoshikishwa adabu na Angola na Zimbabwe nchi ambazo kama zisingeingilia kati Kagame na Museveni wangekuwa wako Kinshasa wakiendelea kupora maliasili zote za DRC. Ni rahisi mno kumtokomeza Kagame na watutsi kamwe wasijifananishe na Israel. Vita ikitokea Rwanda itapigwa kutokea sehemu tatu- kutokea Burundi, DRC na Tanzania. Tanzania haiwezi kuwa peke yake katika vita hivi kwani Angola, Namibia, na Zimbabwe na pia Afrika Kusini zitakuwa upande wetu kwa kutuunga mkono kisaikolojia. Rwanda itabaki na rafiki wa mashaka Museveni. Kitendo cha Kagame kumtukana Kikwete kimewaudhi Watanzania kwa mamilioni. Kumtukana Kikwete ambaye ni kiongozi wetu na kichwa chetu ni jambo baya mno na ambalo kwa hakika Kagame na henchmen wake watalijutia. Ni vema Rwanda ifanye juhudi kujirudi katika suala hili vinginevyo Utawala wa Watutsi utaondolewa madarakani miaka siyo mingi ijayo huko Rwanda.
 
hata yeye huyu ppia ni mhamijai haramu
Ni muhimu kutambua kuwa sehemu zote za mipakani zina matatizo ya aina hii. Kwa sehemu kubwa matatizo haya yanatokana na kutofahamu sheria za uhamiaji.
Kwa bahati mbaya sana, operesheni za kuhamisha hawa wanaoitwa wahamiaji haramu, zimekuwa zikitokea kwa vipindi tofauti, na ghafla zinatoweka baada ya wahusika wa operesheni hizi kuwa wamenufaika na mali wanazopora kutoka kwa watu hawa, hasa mifugo na wakati mwingine hongo ya fedha.
Kitu ambacho watawala wetu wamekataa kutambua ni ukweli kwamba wakati wakoloni wakiweka mipaka, hawakuangalia kama kabila moja limegawanywa na mpaka.
Walichokifanya ni kuweka hiyo mipaka na kuacha makabila tofauti ya mipakani yakiangukia pande mbili za nchi tofauti.
Isitoshe, wakati mwingine makabila haya yalikuwa chini ya himaya moja kama ilivyo Bunyoro Kitara iliyojumuisha watu wa Kagera na sehemu za nchi jirani.

Tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi za Afrika Mashariki, suala hili limekuwa likiachwa bila msimamo unaojulikana.
Watu wakaendelea na shughuli zao hadi kunapotokea tatizo la kisiasa kati au baina ya nchi zenye mpaka mmoja, basi suala hilo huibuka na kuwataka wale wanaoshabihiana kwa sura na jamii iliyo upande wa pili, kuondoka na kurudi ‘kwao’.
Kwao ni wapi? Vurugu hizi zimekuwa zikiibuka na kutoweka. Ni ukweli kuwa kutojua sheria si utetezi, lakini je, si busara serikali yeyote makini kuwasaidia wananchi wasio na uelewa wa mambo haya ili kuondoa mzozo wa mara kwa mara?
Hawa tunaowaita wahamiaji haramu, wengi wao wanasalitiwa na maumbile yao ya kinasaba.
Mkoa wa Kagera una watu wa jamii ya wafugaji waitwao Wahima ambao wamekuwa katika mkoa huu kwa miaka mingi.
Haiyumkini watu hawa wanashabihiana zaidi na wenyeji wa nchi jirani, lakini wanaweza kuwa siyo raia wa nchi hizo.
Ni kweli kuna walio raia wa nchi jirani, lakini pia kuna walio raia wa Tanzania.
Kuna wahamiaji wachache wanaweza kuwa wameingia nchini kinyume cha sheria; hawa wanaweza kuondolewa. Lakini si aina hii ya operesheni yenye uonevu ndani yake.
Mimi ninayeandika haya, baba mzaa babu ni kutoka Nkole kule Uganda. Isitoshe, marehemu baba yangu anamiliki shamba Wilaya ya Lakai hukohuko Uganda; hata bibi yangu mzaa huyo baba amezikwa huko.
Leo utaniambia niondoke nirudi ‘kwetu’ Nkole? Kwetu wapi? Baadhi ya hawa wanaoitwa wahamiaji haramu katika Mkoa wa Kagera, hususan Wilaya ya Missenyi, kinachowaponza ni utajiri wao wa mifugo. Hapa aliye muungwana atakubaliana na ukweli huu.
Wenzetu hawa wana talanta ya ufugaji na wengi wao wamepata ng’ombe wa kuanzisha ufugaji huo kutoka kwa jamii nyingine mkoani humu.
Hii ni talanta yao kama walivyo wenzetu Wachagga katika umahiri wa uchuuzi na biashara. Sisi wakazi wa Kagera tusimame kidete kukataa uporaji huu wa mali za watu kwani uchumi wa mkoa wetu utarudi nyuma.
Tuangalie mfano wa Zimbabwe, yalinyang’anywa mashamba kutoka kwa Wazungu; wakagawiwa wazalendo ambao wameyaacha yakiwa machaka; huku Zimbabwe ikigeuka ombaomba wa chakula.
Tusijidanganye kwamba tukipora mashamba na mifugo ya hawa ndugu zetu wanaoitwa wahamiaji haramu tutafaidika na lolote.
Huu uamuzi unatokana na tofauti za viongozi wa kisiasa ambao hawaathiriki na kadhia hii. Tukubali ukweli kuwa hili ni tatizo la kikoloni.
Tanzania hatuna uhaba wa ardhi. Wale ambao tunao tayari watambuliwe kama raia wa nchi hii. Tusijidananye, hili si tatizo la Kagera tu. Ni la Kigoma, Tanga, Mara, Mtwara na kwingineko kwenye mipaka kati yetu na nchi nyingine.
Kuna wakati kiongozi mkubwa wa nchi hii alituhumiwa kuwa Mmakonde wa Msumbiji! Nina mfano wa diwani mmoja wa zamani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye alihudumu kwa vipindi tofauti wilayani Missenyi, akifadhili chama wakati ni mtu wa jamii ambayo sasa ‘haitakiwi’.
Kumbuka hata Marekani imekubali kuwa maendeleo ya nchi yao yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na ‘wahamiaji haramu’. Tushikamane wana Kagera, mkoa wetu unarudi nyuma.


Mwandishi wa makala hii ni msomaji wa Tanzania Daima na mwanasheria anayepatikana kwa simu; 0754 /0784 397350 au barua pepe; cmuleju@yahoo.com.





[/QUOTE]
 
KUNA watu mkoani Kagera wanaitwa ‘wahamiaji haramu’. Hawa wanaoitwa wahamiaji haramu ni wale wanaoishi miongoni mwa jamii zao zilizogawanywa na wakoloni walipoweka mipaka miongo mingi iliyopita.
Ni muhimu kutambua kuwa sehemu zote za mipakani zina matatizo ya aina hii. Kwa sehemu kubwa matatizo haya yanatokana na kutofahamu sheria za uhamiaji.
Kwa bahati mbaya sana, operesheni za kuhamisha hawa wanaoitwa wahamiaji haramu, zimekuwa zikitokea kwa vipindi tofauti, na ghafla zinatoweka baada ya wahusika wa operesheni hizi kuwa wamenufaika na mali wanazopora kutoka kwa watu hawa, hasa mifugo na wakati mwingine hongo ya fedha.
Kitu ambacho watawala wetu wamekataa kutambua ni ukweli kwamba wakati wakoloni wakiweka mipaka, hawakuangalia kama kabila moja limegawanywa na mpaka.
Walichokifanya ni kuweka hiyo mipaka na kuacha makabila tofauti ya mipakani yakiangukia pande mbili za nchi tofauti.
Isitoshe, wakati mwingine makabila haya yalikuwa chini ya himaya moja kama ilivyo Bunyoro Kitara iliyojumuisha watu wa Kagera na sehemu za nchi jirani.

Tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi za Afrika Mashariki, suala hili limekuwa likiachwa bila msimamo unaojulikana.
Watu wakaendelea na shughuli zao hadi kunapotokea tatizo la kisiasa kati au baina ya nchi zenye mpaka mmoja, basi suala hilo huibuka na kuwataka wale wanaoshabihiana kwa sura na jamii iliyo upande wa pili, kuondoka na kurudi ‘kwao’.
Kwao ni wapi? Vurugu hizi zimekuwa zikiibuka na kutoweka. Ni ukweli kuwa kutojua sheria si utetezi, lakini je, si busara serikali yeyote makini kuwasaidia wananchi wasio na uelewa wa mambo haya ili kuondoa mzozo wa mara kwa mara?
Hawa tunaowaita wahamiaji haramu, wengi wao wanasalitiwa na maumbile yao ya kinasaba.
Mkoa wa Kagera una watu wa jamii ya wafugaji waitwao Wahima ambao wamekuwa katika mkoa huu kwa miaka mingi.
Haiyumkini watu hawa wanashabihiana zaidi na wenyeji wa nchi jirani, lakini wanaweza kuwa siyo raia wa nchi hizo.
Ni kweli kuna walio raia wa nchi jirani, lakini pia kuna walio raia wa Tanzania.
Kuna wahamiaji wachache wanaweza kuwa wameingia nchini kinyume cha sheria; hawa wanaweza kuondolewa. Lakini si aina hii ya operesheni yenye uonevu ndani yake.
Mimi ninayeandika haya, baba mzaa babu ni kutoka Nkole kule Uganda. Isitoshe, marehemu baba yangu anamiliki shamba Wilaya ya Lakai hukohuko Uganda; hata bibi yangu mzaa huyo baba amezikwa huko.
Leo utaniambia niondoke nirudi ‘kwetu’ Nkole? Kwetu wapi? Baadhi ya hawa wanaoitwa wahamiaji haramu katika Mkoa wa Kagera, hususan Wilaya ya Missenyi, kinachowaponza ni utajiri wao wa mifugo. Hapa aliye muungwana atakubaliana na ukweli huu.
Wenzetu hawa wana talanta ya ufugaji na wengi wao wamepata ng’ombe wa kuanzisha ufugaji huo kutoka kwa jamii nyingine mkoani humu.
Hii ni talanta yao kama walivyo wenzetu Wachagga katika umahiri wa uchuuzi na biashara. Sisi wakazi wa Kagera tusimame kidete kukataa uporaji huu wa mali za watu kwani uchumi wa mkoa wetu utarudi nyuma.
Tuangalie mfano wa Zimbabwe, yalinyang’anywa mashamba kutoka kwa Wazungu; wakagawiwa wazalendo ambao wameyaacha yakiwa machaka; huku Zimbabwe ikigeuka ombaomba wa chakula.
Tusijidanganye kwamba tukipora mashamba na mifugo ya hawa ndugu zetu wanaoitwa wahamiaji haramu tutafaidika na lolote.
Huu uamuzi unatokana na tofauti za viongozi wa kisiasa ambao hawaathiriki na kadhia hii. Tukubali ukweli kuwa hili ni tatizo la kikoloni.
Tanzania hatuna uhaba wa ardhi. Wale ambao tunao tayari watambuliwe kama raia wa nchi hii. Tusijidananye, hili si tatizo la Kagera tu. Ni la Kigoma, Tanga, Mara, Mtwara na kwingineko kwenye mipaka kati yetu na nchi nyingine.
Kuna wakati kiongozi mkubwa wa nchi hii alituhumiwa kuwa Mmakonde wa Msumbiji! Nina mfano wa diwani mmoja wa zamani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye alihudumu kwa vipindi tofauti wilayani Missenyi, akifadhili chama wakati ni mtu wa jamii ambayo sasa ‘haitakiwi’.
Kumbuka hata Marekani imekubali kuwa maendeleo ya nchi yao yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na ‘wahamiaji haramu’. Tushikamane wana Kagera, mkoa wetu unarudi nyuma.


Mwandishi wa makala hii ni msomaji wa Tanzania Daima na mwanasheria anayepatikana kwa simu; 0754 /0784 397350 au barua pepe; cmuleju@yahoo.com.





Wewe pia ni Mwenzao nyie ndio mnaopora mali za Wasukuma na kuwanufaisha hao wanyankore na wanyarwandwa mbulula wewe kati ya Msukuma aliyechomewa nyumba na kuporwa mifugo yake na hao wezi wanaokimbia kwao nani unauchungu naye wewe? nchi hii ni yetu hata kama mipaka iliyowekwa na wakoloni ilitugawa basi iwavyo na iwe kwani wewe dada yako akiolewa kwa mme masai ataendelea kusema wewe ni wa muhimu kwake kuliko mumewe? pompompo mtupu wewe mbona hayo mashamba yenu mnagombania tena mliotoka tumbo moja sasa iweje unawatetea waporaji? nina mashaka na wewe ni mporaji mwenzao uliyetumwa ujifanye ni mtanzania kumbe ni mbulula mwenzao tu. Kamata mwizi men
 
Back
Top Bottom