Recent content by Zechie

  1. Z

    JamiiForums Tanzania GENERATOR FOR SALE

    Lipo zanzibar, tukielewana nalileta hadi Dar. M40 maongezi yapo. 0713081204
  2. Z

    JamiiForums Tanzania David Kafulila ndani ya kipindi cha Dakika 45, ITV

    Meremeta vipi? Huo wizimbona hauongelewi? Au mheshimiwa mkapa anaogopwa?
  3. Z

    JamiiForums Tanzania Selcom imerudi tena kwa kishindo, MaxMalipo tupa kule

    Dodoma leo zimegoma, naenda kulala gizani na elfu 20 yangu imeliwa. It's too painful jamani
  4. Z

    JamiiForums Tanzania Selcom imerudi tena kwa kishindo, MaxMalipo tupa kule

    Mmmmm!
  5. Z

    JamiiForums Tanzania Wema, Aunty "Kimenuka" kisa Zari

    Wauza vocha wote hao
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Watu 10 Mashuhuri waliouawa kwa kupigwa Risasi

    Alyah jamani nae kumbuka;- try again na alishiriki romeo must die na jet le
  7. Z

    JamiiForums Tanzania Dream House: Tunachora Ramani za nyumba za kisasa

    Zipo za ku download kibao kwenye net
  8. Z

    JamiiForums Tanzania Kwa muktadha huu: Dr Slaa ikulu hapamfai!

    Lowasa mume wako nini??? Badala yakuongelea maendeleo wewe unaongelea watu!!!!!!! ama kweli bado wewe ni mbumbumbu kabisaaa . . . Jipange mtuwangu
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Kwa muktadha huu: Dr Slaa ikulu hapamfai!

    Acha ujinga, tafuta ajira za kufanya na sio kupewa hela na sisiemu, laptop plus modem na kuanza kutoa kashfa kwa watu wenye heshima zao. Mwambie huyo Jeikei akubali mdahalo huru na Dr.Slaa ili utambue kua Dr. ni level ya juu na uelewa wako mdogo ndio chanzo cha kutomtambua nani ni mtu makini.
  10. Z

    JamiiForums Tanzania Baed vs bed

    Wote maticha walikimbia shule zawagumu!Hawana lolote kutwa wanabishana nani zaidi!
  11. Z

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia ya mabinti kuwafanya Boyfriends zenu baba or walezi wenu

    Duh! poleni dadazetu kwa kupenda kuishi maisha ya Maria Sarapova while nyie chokest tu! wengine waliozaliwa vijijini mmmmmh! ndio usiseme! hata kutaja kwao hawataki na wanajifanya hawapandi daladala eti njoo unichukue na ur private Car . . . Mara naomba hela ya Salon, nataka kwenda Zanzibar...
  12. Z

    JamiiForums Tanzania Kunakitu sio bure UDOM

    Gomeni na nyie mfukuzwe si ndio Serikali mlioipigia kura inavyotaka . . . . !
  13. Z

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete: Rais mwenye kipaji na usikivu

    CHADEMA pekee ndio itatutoa kwenye umaskini, hivi UDOM waki-graduate kila mwaka hadi 2015 wataajiriwa wapi na hii SISIEMU? Kilichopo ni full kudai haki hadi kieleweke! Nakubaliana na kauli ya Mdee @ all but not SISIEMU
  14. Z

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete: Rais mwenye kipaji na usikivu

    Sasha Ahmad | Facebook
Back
Top Bottom