duh!!polen sana mr ilonza!atleast leo umejtahd kuandka v2 vyenye mantiki.Leo siku ya pili college nzima education hamna maji. Hii noma.
are u serious?Mbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi
Hee!kumbe kuna watu wanasoma MD udom?sasa hzo lab na wards za kuvisit zko wapi?au nao watakuwa madaktar wa vitabu,udom kuna raha sana.Mbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi
yani serikali inatengeneza bomu ambalo,moto wake utakua ni kilio kwa watz wengi,con haja ya udom kuwa na makozi mengi hvo yacyokua nyenzo za kujfunzia.Hee!kumbe kuna watu wanasoma MD udom?sasa hzo lab na wards za kuvisit zko wapi?au nao watakuwa madaktar wa vitabu,udom kuna raha sana.
inabidi urudi nyuma ujiulize UDOM ilianzishwa kwanini?
mtaji wa kura 2.inabidi urudi nyuma ujiulize UDOM ilianzishwa kwanini?
Acha majungu leo siku ya tatu amna maji college nzima. Jana wanafunzi waliyachota kwa wajacilia mali km 2. Lengo lao ili na sisi tugome.ilonza sio mwanafunzi wa udom, ni mlinzi.
tunasubiri watu elfu 40,kama babaenu alivowaahidi wakat mnampa hela ya kuchukulia fomu za urais last yrLeo siku ya pili college nzima education hamna maji. Hii noma.
chuo kinapaswa kufungwa....ili kuepuka milipuko ya magonjwa.....mambo haya ya maji yalifanya mwaka fulani mtu apoteze maisha udsmAcha majungu leo siku ya tatu amna maji college nzima. Jana wanafunzi waliyachota kwa wajacilia mali km 2. Lengo lao ili na sisi tugome.
umenena mdau.......na sasa inadhidirika kua hakikupaswa kuanza sasa hadi kitengemae.....km 2 kutafuta maji!!!!!mtaji wa kura 2.